Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Aaron Ramsey (Serial Killer) 1/5/2011 Score vs Man utd. 4Hours Later Osama Bin Laden Dies. 2/10/2011 Score vs Tottenham. 72Hours Later Steve Jobs Dies. 19/10/2011 Score vs Marseille. 12Hours...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
makocha wetu wanatakiwa kujifunza kitu kutoka kwa Jose Mourinho (kocha wa real madrid) kwa kuwapenda na kuwaheshimu wachezaji, kwasababu tunajenga timu na siyo kupayuka na kuwakoromea wachezaji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
makocha wetu wanatakiwa kujifunza kitu kutoka kwa Jose Mourinho (kocha wa real madrid) kwa kuwapenda na kuwaheshimu wachezaji, kwasababu tunajenga timu na siyo kupayuka na kuwakoromea wachezaji...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Wafuatiliaji a wadau wa michezo Ushiriki wetu au ushidnani wetu kwenye hii michezo ukoje? Tuna ttarhet ya medali ngapi? Michezo gani tutashirki/ tutashindana . Kwa ninisio pungufu au zaidi ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni ya 145 kwa ranking ya mwezi huu wa april 2012. Source FIFA.com - The FIFA/Coca-Cola World Ranking - Ranking Table
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Welcome to Facebook - Log In, Sign Up or Learn More usisahau ku like tu KAMA WEWE NI MPENZI WA MANCHESTER UNITED
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunasikitika sana na huyu kocha wetu kutuwekea kina phil jones, clevery...leo tumechemsha 1-0.
0 Reactions
0 Replies
824 Views
wachezaji wa kibongo wanahitaji semina elekezi ili wafike kama wengine..... hawana nidhamu ya mchezo hawana nidhamu binafsi mdfano angalia kwenye hii tube..dakika 7.26...mchezaji huyu namba 5...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Just sending out word to all you sporty lot about the Tigo Ngorongoro half marathon in Karatu happening this Saturday. The best part, apart from the run, is that it is raising awareness about...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
red card plus penati dhidi QPR babu amekiri ashley young alikuwa offside.HIvi ingekuwa bongo refa angekuwa anatoka kweli?
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Baada ya goli la jana alilofunga dhidi ya Getafe katika ushindi wa Barcelona wa mabao 4-0,Lionel Messi amefikisha mabao 61 katika mashindano yote msimu huu.Sasa anamzidi kwa mabao mawili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu si mtu. Ila ni ndege aina ya mwewe, mali ya timu ya soka ya SL Benfica, yenye maskani yake katika uwanja wa Luz mjini Lisboa, Ureno. Yeye huruka kuzunguka uwanjani na kuja kutua katika nembo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sijui kwa nini marefa wanapokosea ktk mechi wachezao man utd kila mtu anadai wanapendelewa, lakini makosa kama hayo yanapotokea 'to the advantage of teams other than man utd', watu wana-mute 'as...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hakuna pressure bado tuna advantage ya kuchukua la liga na uefa mechi ya valencia bahati haikuwa kwetu
0 Reactions
3 Replies
992 Views
wadau naomba mnijuze ilivyokuwa mpaka mwamuzi alivyoamua kumshushia kipondo mchezaji ktk ligi ya DRFA hii inasikitisha sana kama sio kuchekesha wa Tanzania tuna vijimambo sana
0 Reactions
2 Replies
714 Views
Wakuu leo j3 ya pasaka niko nyumbani nikiwa napitia gazeti la mwananchi nimekutana na habari iliyo nifanya niandike hapa. Katikati ya gazeti kuna jarida la mwananch 2 ambalo ni maalum kwa habari...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa yeyote mwenye taarifa za mapokezi ya wanamsimbazi leo alfajiri atujuze hali imekuwaje
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Antonio Cassano anamfanyani tena Strasser?
0 Reactions
10 Replies
927 Views
Kesho ndo kesho ni kivumbi kikali kati ya Arsenal(the gunners) na matajiri wa jiji la manchester (manchester city) unafikiri hii mechi itaishaje?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom