Korir, Cherop win Boston Marathon titles
Men's elite field heads out during the start of the 116th running of the Boston Marathon April 16, 2012
By AFP
Posted Monday, April 16...
Kwa muda mrefu sasa nimeshangazwa na propaganda chafu zinazoenezwa na Shaffih Dauda kupitia blog yake pamoja na kipindi cha Sports Extra cha Clouds FM dhidi ya timu ya Yanga.....Shaffih na wenzake...
kocha Mou ameweza kumbamiza pep guadiola 2-1 katika awanja wa camp nou, christiano Ronaldo akitupia Wavu wa pili kwa goli safi la mguu wa kulia,na kutanua wigo wa point toka 4 MPAKA 7.
WENYEVITI wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Said Hamad El Maamry na Muhiddin Ahmad Ndolanga wameteuliwa kuwa Marais wa heshima wa shirikisho hilo, katika Mkutano Mkuu wa TFF...
Timu ya vijana chini ya miaka 20 leo jioni imetufurahisha watanzania kwa kuibajua Sudan magoli 3 kwa 1.Keep up vijana natunaomba dua muweze kulinda ushindi huu kwenye mechi ya ugenini
magoli ya madrid uamefungwa na sami khedira na christino Ronaldo wakati la baka akifunga sanchez, madrid wako kileleni kwa jumla ya point 88 tofauti ya point 7 na barca
kocha Mou ameweza kumbamiza pep guadiola 2-1 katika awanja wa camp nou, christiano Ronaldo akitupia Wavu wa pili kwa goli safi la mguu wa kulia,na kutanua wigo wa point toka 4 MPAKA 7.
Leo Arsenal HAFUNGWI, Madrid INASHINDA, Ronaldo atakuwa MAN OF THE MATCH, mechi ya ARSENAL na CHELSEA kuna uwezekano wa RVP kutengeneza rekodi nyingine leo! Barca na Madrid je hii ni mechi yao ya...
Ndugu, wadau, natamani sana siku moja kuwe na mechi ya mastaa wa La Liga na wenzao wa UK Premier League. Kwanza mechi iwe mwisho wa msimu, pili iongozwe na makocha waliochukua makombe pande zote...
tunafahamu kuwa timu itakayoshika nafasi ya kwanza ktk hatua ya Makundi ya UEFA champions league basi tunapoingia ktk raundi ya pili anatakiwa aanzie ugenini kisha anakuja kumalizia nyumbani...
Simba ilisogea jirani zaidi na ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania 2012 kwa ushindi mnono wa 3-0 dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana, huku watetezi Yanga wakilitema...
Jose Mourinho: "I don't see Chelsea in the final it might be Real Madrid v Barcelona or Bayern v Barcelona but i don't see Chelsea going through to the final."
Timu ya Yanga imeendelea kuboronga kwenye ligi kuu baada ya leo kukubali kulala kwa goli moja mbele ya Kagera Sugar.Pia ndani ya uongozi wa Yanga kumeibuka sintofaham kutokana na vipigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.