Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Ratiba ya robo fainali -fainali ya ligi ya mabingwa ulaya imetoka,na kuonyesha njia rahisi kwa Real,kufika fainali! Imepangwa hivi:- AC MILAN VS BARCELONA,CHELSEA VS BENFICA. Washindi wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
akihojiwa baada ya mechi ya yanga na Jkt oljoro,bw joshua nassari(MB) ametamka wazi kuwa yeye ni mshabiki wa timu ya simba. Source:SUNRISE RADIO
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Jamani Yanga ndio wameianza ligi sasa, wanaongoza 3-1 kipindi cha pili kinaendelea
0 Reactions
8 Replies
2K Views
So far ni dk 2 zimebaki mpira kwisha pengine chelsea wanaweza kuongeza tuendela kuomba wapenzi wa chelsea kila la kheri mashabiki wote
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari wanajamvi! Inasemekana kuwa kwenye michuano hii,endapo mchezaji mmoja wa club anapopewa kadi nyekundu basi ni vigumu kutolewa kwa kadi nyingine nyekundu kwenye hiyo hiyo club. Ushauri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwanaume mmoja anayekadiliwa kuwa na umri kati ya 20-25 amekutwa amekufa ndani ya nyumba ya kulala wageni(guest)maeneo ya sinza,baada ya kumpekua alikutwa na pasi ya kusafiria ya Nigeria na akiwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kama unawakumbuka taja majina ya wachezaji hawa
1 Reactions
22 Replies
9K Views
Taarifa za leo kutoka TFF zimethibitisha kwamba katika mechi moja iliyochezwa tarehe wikiendi iliyopita, timu zilizocheza ziliambulia TZS 68,000/= kila moja (USD 42), kati ya TZS 460,000+...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Simba 1 na Moro 0 goli limefungwa dakika ya 16 na Mafisango Azam FC 1 na Mtibwa 1 wafungaji Salum Swedi na Mrisho Ngasa FT Simba 3 na Moro 0 FT Azam FC 1 Na Mtibwa 1 Simba Bingwa...................
2 Reactions
68 Replies
7K Views
Arsenal striker scoops award after an outstanding year for the Gunners that has seen him shoot to the top of the Premeir League scoring charts. The Netherlands international has scored 27...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi jamani hakuna wameru,waarusha, Wairak au watanzania wowowte wanakidhi vigezo vya kushiriki marathon. Kigezo nimesikia mtangazaji akisema ni uwezo wa kukimbia kwa muda wa masaa mawili na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu mr 2 "SUGU" wale virus uliokuwa unascun kule kwnye entertainment kwa mafanikio makubwa, wenginewamekimbilia huku kwenye Soka, * wamejibadilisha *rangi sasa wana rangi nyekundu na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Timu ya Newcastle united imezidi kuchanja mbuga kwenye ligi kuu ya uingereza baada ya leo ijumaa kuichapa Swansea city mabao 2 bila na kufanikiwa kufikisha point 56.Mabao yote ya Newcastle united...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Veronica Campbell-Brown has overcome grinding poverty to become one of the greatest Olympians that Jamaica has ever produced. The 29-year-old Jamaican sprinter has had to overcome grinding...
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Jinamizi la Hasheem Thabeet kubaki bench imeanza kuwa hadithi baada ya timu mpya kumpa nafasi ya kuwa katika kundi la Starts na hivyo kujiimarisha katika nafasi ambayo inampa uweza wa kudaka...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
yan nawasha mashabiki wa man city,wanaona man utd hawana uwezo wa kuwafunga,bt kumbukeni msimu uliopita goli la rooney lile la tik taka.sasa ndio itakuwa hivyo,kaeni mkijua kuwa man utd ndio...
0 Reactions
1 Replies
849 Views
Huyu alikua mwanamieleka miaka ya 80 pamoja na marehemu power Bernado. Atakua mtu mzima sasa. Yuko wapi sasa?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Fabrice Muamba: 'I ran upfield to try and get on the end of a cross from Martin Petrov on our left wing and as I ran back into midfield I felt very slightly dizzy. 'It wasn't a normal...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Annuncio vobis gaudium magnum! (I announce to u the great joy!) Madrid are the new La liga champions! Hail Mourinho, Master of Tactics, the Special One. Viva Ronaldo viva!
0 Reactions
0 Replies
579 Views
Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba, kocha wa timu ya Yanga, bwana Papic ametamka kutoifundisha timu hiyo tena akihojiwa baada ya kuifunga Polisi mabao 3 - 1. Habari nazifatilia...
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Back
Top Bottom