Zambia wamefanya jambo ambalo limewashitusha wengi. Wengi walisema kama siyo Ivory Coast basi itakuwa Ghana. Mambo yamekuwa kinyume kabisa. Leo ule usemi usemao umdhaniaye ndiye siye umetimizwa...
Ama kwa hakika ushindi ni mtamu sana,wale wenye mapenzi ya dhati na si ya dharura kama wakati una nafasi ya kuangalia hiyo tv. Kuna viwanja zambia wananchi...
Ligi imenoga wapendwa, Azam yuko pointi mbili nyuma ya vinara, Simba, wakiwa na michezo sawa.
Yanga Afrika yuko nafasi ya tatu, akiwa na pointi 31, moja nyuma ya Azam, lakini akiwa na faida ya...
nadhani wachezaji wa kiafrika wangewekeza juhudi zao katika soka kama wanavyokuwa busy na nywele na mapambo mengine usoni kama hereni na kujipaka rangi chini ya macho (Salomon Kalou), tungepata...
Gettyimages
Zambia coach Herve Renard has likened himself to Real Madrid coach Jose Mourinho, boasting that he is the chosen one.
The Frenchman has every reason to be a happy man after having...
Ndugu zangu,
Ukitaka kuukata na kuuangusha mbuyu usianze kufikiria unene wake. Jana usiku jirani zetu Zambia wameafanya maajabu ya soka. Vijana wa Chipolopolo wamatwaa ubingwa wa Afrika kwa...
Forget Plan B, the world wants Mayweather v Pacquiao Mayweather and Pacquiao are both in action soon, but frustratingly not against each other, writes boxing legend Barry McGuigan...
Impressed Tanzanian gives Zambia national soccer team cash
February 8, 2012 | Filed under: Breaking News | Posted by: editor
A Tanzanian national and businessman based in Dar es Salaam, Azim...
Hebu angalia kwenye links hapa chini na useme mwenyewe!
https://p.twimg.com/AlYyfMeCMAACLdA.jpg
https://p.twimg.com/AlYzEMbCIAE6vQc.jpg
yfrog Fullsize - http://www.yfrog.com/obtuqtsj
Shame on him!
Wakuu wa salaam aleikhum. Nikisubiria mchezo wa Zambia na Ivory coast king'amuzi kimekata KBCpekee. Niangalie chanel gani? I have the star times and free to air receiver. Hapa nimepata presha...
Nahisi leo akuna atakae lalamika jamani kuhusu ushindi wa man u
wameshinda kihalali ingawa makosa madogomadogo kwa refa ayakosekani
zuri zaidi ni lile wimbi la ushindi wa penati sasaa basi...
leo,man utd imeshinda kwa haki,atakaye sema imebebwa atakuwa na lake jambo.jamani rio fedinand amechoka apumzike.Ila huyu suarez ubaguzi umo kwenye damu!kwani alipofunga bao ana ibusu ngozi yake...
Yanga wako kwenye mchakato wa kutafuta nyimbo ya timu..
sasa kwa nini wasitumie ile nyyimbo ya pepe kale aliyowaimbia?
na je nyimbo za r&b kweli zitawafaa?
au kwanini wasiwaambie sikinde ambao...
Wakuu kwa kuangalia live tv ligi zote(including payable ones),kucheki TV thousands of HD Channels(movies,series,comedy,news etc) Please go to www.firstrow.tv and prove it for yourself
Arantxa Sánchez-Vicario accuses parents of taking her £38m fortune
• Former women's world No1 says parents made her 'suffer'
• Mother attacks 'lies' designed to 'hurt and humiliate...
Thomas Vermaelen is set to make his long-awaited return from injury in Arsenal's reserve match against Manchester United on Thursday
Vermaelen has been given the green light to play in the match...
Safari ya kuelekea kwenye Superbowl XLVI (2012) kule Indianapolis, Indiana ndiyo inaanza rasmi Jumamosi ambapo kutakuwa na mechi zifuatazo:
1.Detroit VS New Orleans
2.Atlanta VS New York...
Source: Sky News Live,BBC Live and CNN Live Now.
Updates:
Capello steps down as England's coach
England coach Fabio Capello said he "absolutely" disagreed with the decision to strip John...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.