Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Karibuni tuangalie live game kati ya MAN CITY VS NEWCASTLE UTD mida hii. Game limeanza muda huu LINK Manchester City vs Newcastle United Live Stream Online
0 Reactions
1 Replies
1K Views
:poaRooney's stunning overhead kick for Manchester United against Manchester City in February is one of the 10 nominees.Barcelona's Lionel Messi is also in the running for his goal against Arsenal.
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Katika hali ya kustaajabisha na ambayo mwenyekiti wa tff tenga anaendeelea kuiendekeza kwa kugaiwa kamgao cha kipumbavu ile mechi ya simba na yanga ya ngao ambayo walisema asilimia 10 inakwenda...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
timu ya yanga sasa wanamiliki website ya kisasa zaidi kila kitu kuhusu yanga kinapatikana humo www.youngafricans.co.tz
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu wapenda ngumi hili pambano la kukata shoka linaanza si mda mrefu. Wale wanaotaka kuona kwa bure nendeni: http://www.magictv.co/ Powa tuungane pamoja tuzungumzie pambano.
0 Reactions
83 Replies
8K Views
Timu ya Netball ya Ofisi ya Waziri Mkuu imetolewa kwenye mashindano ya SHIMIWI na kufutiwa ushindi wa mechi zao zote 4 kwa kuchezesha wachezaji ambao si watumishi wa Ofisi hiyo, wamechezesha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
chagueni rais mwingine kwanza jamaa ni haini aliua soka letu kipindi cha FAT
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haya mechi iliyokuwa ikifanyika uwanja wa taifa kati ya Taifa Stars dhidi ya Chad imekwisha, timu ya Chad imeibuka kifua mbele kwa goli 1 na Taifa Stars 0,pamoja na kufungwa Taifa Stars inaendelea...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
TAIFA Stars ilithubutu kuifunga Chad kwao, leo iifunge timu hiyo Uwanja wa Taifa Dar es Salaam ili isonge mbele. Hivyo ndivyo unavyoweza kuzungumza mtihani muhimu kwa timu ya soka ya Taifa...
0 Reactions
172 Replies
24K Views
leo nilitegemea tbc1 wangeonyesha mechi kati ya gabon na tz,lakini wameweka kipindi tofauti.Basi ngoja nicheki mechi kati ya kenya na shelisheli live.SAWASAWA!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Polisi wa Uingereza wanachunguza barua ya vitisho iliyotumwa kwa mchezaji wa QPR Anton Ferdinand. Maafisa wa Polisi wa Metropolitan wamekataa kueleza kilichoandikwa katika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naibu waziri wa habari na michezo leo kanitolea mpya pale aliposema "Vyama vinavyoshiriki premier ligue vianzishe viwanja vyao vya mpira" akitolea mfano timu za Mtibwa, Azam na Yanga. Halafu pale...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I saw this Article on-line I was all prepared to preview the Champions League this morning or perhaps review some of the Premier League’s brilliant performers from the past weekend (Sturridge...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani nilikuwa nimejilaza kwenye kuchi baada ya uchovu wa kutwa nzima. Usingizi ulikuwa mtamu sana na wenye ndoto za kitoto. Katikati ya usingizi mnono nashtushwa na makelele ya mashabiki wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
najiuliza sana na sasa niwaulize wadau wa soka, hivi stars imeimprove ama Chad ni vibonde? Poulsen atatatetea kibarua kesho maana nahisi kama ugenini ilikuwa kakobe!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Carlos Tevez ameshindwa kufika mazoezini katika klabu yake ya Manchester City siku ya Jumatano asubuhi. Tevez akwepa mazoezi na kwenda kwao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
na Dina Ismail HABARI ndiyo hiyo! Mabingwa wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, Yanga imemsajili kiungo wa zamani wa Simba, Athuman Idd ‘Chuji’ kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kikosi cha Simba cha sasa hivi kinanikumbusha timu ya kipindi cha nyuma cha Wekundu wa Msimbazi wakati ndio mpira unapigwa kihuakika. Ongeza wengine tujikumbushe soka lilivyokuwa tamu. Hata watani...
1 Reactions
65 Replies
19K Views
Joe Frazier poses in February 1968 during a workout for his title bout against Buster Mathis at the new Madison Square Garden
1 Reactions
57 Replies
15K Views
Welcome to WEMBLEY, the friedly between the two has just begun. updates to come!
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom