Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

kocha jose mourinho huenda akafungiwa mechi 12 kutokana na kitendo chake cha utovu wa nidhamu ktk ile mechi ya super cup dhidi ya barcelona,ili iwe fundisho na ndio chanzo cha wachezaji wake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MILAN (AP) - A representative for Russian club Anzhi Makhachkala has announced a deal with Inter Milan for Samuel Eto'o that should make the Cameroon striker the highest paid footballer in the...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Licha ya jana kuchapwa na Simba SC, nawapa saaaana hongera maana wameingia tena kwenye rekodi; jana Mabingwa wa Kagame ambao impliedly in Mabingwa wa Afrika Mashariki, Sudan na Pembe ya Africa...
4 Reactions
44 Replies
5K Views
Ismail Aden Rage aongea (Michuzi blog - YouTube
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakali wa soka na takwimu, kati ya hawa wawili nani alikuwa zaidi?
0 Reactions
69 Replies
8K Views
According to Newspaper, the Ravens have agreed to terms with offensive tackle Mark LeVoir. Mark LeVoir will wear Chad Ochocinco Patriots Jersey and play for Baltimore Ravens in 2011. Aaron Wilson...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
This is special to föotball Nazists to air your views on man u squard vs arsenal who is going to win on sunday game in OT ? as archy enemy clubs in english premiear league!
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Atleast alipokuwepo maximo impact ilionekana,tukapanda hadi nafasi ya 89,sasa ndo tunazidi kuporomoka siku hadi siku,kwanin tusifundishwe na wazawa kwa kiswahili labda lugha ndo tatizo,hebu...
0 Reactions
0 Replies
924 Views
simba 2-0,okwi na mafisango mpira unaendelea
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani hivi kiss fm kipi kimewashinda? Yaani mkitangaza mpira hakuna kinachosikika zaidi ya makelele ya mashabiki,mvula na wewe unaboar kwani si ukae mahali ambapo hakuna mashabiki, jana...
0 Reactions
1 Replies
887 Views
Simba 2 Yanga(kandambili) nunge. Majigambo ya bure wamelalia kichapo cha pakamwizi.Simba hoyeeeeeee!
0 Reactions
32 Replies
3K Views
La Liga strike to go ahead as talks collapse in Spain​ The opening Primera and Segunda matches have been postponedPlayers in Spain's top two divisions will strike on the first day of the...
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Michezo ya Universaide inafanyika huko China. Kuna habari za kuchekesha sana kuhusu ushiriki wa timu. Tanzania maofisa watatu, wachezaji wawili Kenya maofisa watatu, wachezaji 19 Uganda...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA) limeruhusu Shirikisho la Mpira wa Miguu Jamhuri ya Afrika ya Kati kutoa Hati ya Uhamisho ya Kimataifa (ITC) kwa mchezaji Gervais Anold Kago...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, nilikuwa napitia mtandao wa espnsoccernet nikakutana na hii habari. Mwandishi amezungumzia issue ya mikel obi, timu ya cameroon na mechi ya yanga na simba. Kumbe kikwete alikuwepo uwanjani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani naomba mnifahamishe web inayoonesha ligi kuu uingereza
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kocha wa real madrid jose amekili kuwa barca ni noma! baada ya kupata kipigo cha mabao 3-2,ktk mechi ya marudiano ya super cup.Japo madrid waliendeleza ule ubabe wao wa kiatu mtu;MESI bado...
1 Reactions
28 Replies
4K Views
Mtanange wa Super Cup baina ya Barca na Real Madrid umeanza. Dakika ya 13 Real Madrid wanapata goli kupitia Ozil. Taarifa zitaendelea kila baada ya tukio muhimu uwanjani.
0 Reactions
113 Replies
7K Views
Wana Yanga wenzangu, nafikiri umefika wakati sasa wa kubadili rangi ya uzi wetu ili uendane na wakati bila kubagua utashi wa mtu. Nimeamua kutoa dukuduku langu hilo kwani inamuwia vigumu sana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mechi ya kuwania nafasi ya kucheza CAN 2012 kati ya Taifa star na Algeria imehamishiwa kwenye uwanja wa CCM kirumba baada ya Wizara kuzuia usitumike kwa michezo ili ufanyiwe marekebisho kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom