Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

UEFA announces that the 2012-15 free-to-air media rights for the UEFA Champions League and UEFA Europa League in sub-Saharan Africa have been awarded to Star Times. Source: Star Times awarded...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
hey wadau wa michezo Je Tanzania tuna mikakati yeyote kwenye olympic za london 2012. I mean kuna kilichobadilika baada ya olymic za bejing Michezo gani tunatarajia kushiriki? wananamichezo...
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Jamani aliye na matokeo ya mechi ya watani hao wajadi atujuze! Kumbuka kuna vijana wetu huko Samatta,Ochang!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Simba na mfanyakazi wa Shirika la Bima ya Taifa (NIC), Jimmy David Ngonya amefariki asubuhi hii. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi~AMEN na pia...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Tanzania itaanza kuitafuta nafasi yakucheza Fainali za World cup 2014 kwakucheza na Chad tukipita hapo tutaingia kwenye kundi litakalo zijumuisha:SUDAN,MORROCO,GAMBIA,IVORYCOAST.kazi kwa Paulsen.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jumatano Sheikh Mansour amefikia kiwango cha £400million na kuweka record ya Club za uingeleza baada ya kumnunua mchezaji mahiri Sergio Aguero wa Algentina kwa pound 38million. sawa na 152billion...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kama umesikia clouds fm leo kuna kijana wetu wamesajiliwa dc motema pembe amekuwa akiomba watu ovyo kwa simu namba za viongozi wa tff wamsaidie itumwe itc wakati akiulizwa hilo mgosi anasema...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Katika mechi ya kirafiki iliyokuwa ikisubiliwa kwa hamu na wapenzi wa soka duniani ,manchester imeibuka na ushindi wa 2-1,mabao ya man utd yamefungwa na LUIS NANI,na OWEN,na bao la barca...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mashabiki wa simba wameanza kula kuku baada ya kusikia habari kwamba yule mchezaji kipenzi wa yanga aliewasumbua sana sana amechomoa kurudi yanga...si mwingine ni hamis kiiza..habari zinasema...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Ilikuwa ni katika mechi kati ya Santos na Flamengo. Ronaldinho alifunga magoli 3. Ila kinachokumbukwa zaidi ni goli hili la Neymar. VIDEO: Brazilian will cost gazillions after wonder goal - The...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ingawa ni mchezo wa kirafiki mashabilki wengi wanahamu ya kusubiri matokeo ya mechi ya barca na man u itakayopigwa marekani mida ya saa saba leo usiku kwa wapenzi wenzangu wa barca msihofu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ILi kucheza world cup tunahitaji kocha mwenye kufundisha timu kucheza hadhai ya ligi kuu za ulaya magharibi. Huwezi kucheza world cup ikiwa kocha wako ndiyo wa kufundisha timu daraja la nne. Ivory...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa walioa kuwa jiran na mh wetu ambae kama si mkono wa mungu leo hiia ngekuwa anaitwa mh mwakalebela najiuliza huyu bwana mechi ya simba na yanga ilipoisha wakahesabu ngawila siku inayofwata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukiniuliza who is my Best player ambaye nimefanikiwa kumuona nitakujibu Rivaldo, Enzi za kina pele sikufanikiwa kuona match zake . ukiniuliza who is my best HIT MAN! Moja moja bila kufikiria...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii ilikuwa ni mwezi wa April, 2011 Hapo chini ndivyo walivyomuelezea, MF – Nizar Khalfan (Vancouver Whitecaps): They don’t come more dynamic than the Tanzanian, who has the pace to be dangerous...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwa mliosikia vipindi vya michezo mchezo wa hisani kati ya simba an yanga wanadai mapato yatakayopatikana 10,per yatasaidia waliaothirika na cancer ya matiti..kama mnakumbuka kuna mechi kama hii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau tunaomba matokeo ya hii mechi kwa yeyote anaefahamu
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani, Jamani Gazeti la Mwananchi la leo July 22, 2011 limeripoti kuitwa kwa Gaudance Mwaikimba na Haruna Moshi "Boban" kwenye timu ya U - 23. Hivi kweli hii mijamaa mi under 23???
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hatimaye kocha wa manchester united,amefanikisha ule mpango wake wa kupata mechi ya kirafiki na barcelona itakayopigwa tarehe 30,mwezi huu.ili adhihilishe kuwa siku ile aliotewa tu!yasije yakawa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wanajamvi wenzangu ambao ni wakongwe kidogo na wafuatiliaji wa soka, bila shaka tutakua tunakumbuka kwamba kulikua na timu ilikua inajulikana zaidi kama kiboko ya vigogo. Nayo ni Reli ya...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom