Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Here you can discuss the richest sports clubs in the world. StadiumZone - Home has a list with the top 400 richest sports clubs in the world, the only African clubs are Al-Ahly, Zamalek, Kaizer...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hawa jamaa ndio wamehost haya mashindano lakini jana wametolewa na Uruguay, tena walikua Full Squad! Football sio mchezo. Copa America: Argentina dumped out Uruguay progress - ESPN Soccernet
0 Reactions
21 Replies
2K Views
The penati was taken, retaken... retaken, retaken.......... retaken......... and retaken cheki hiyo yutyub ‪Most Strange Penalty Kick Ever !‬‏ - YouTube
0 Reactions
0 Replies
918 Views
checki peanati ya jamaa, ila kocha hakuipenda na akaamua kumtoa mchezaji na aksema "... he would be disciplined for the "disrespectful act." hii kali UAE's Awana Diab attempts insane penalty...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sir Alex Ferguson is preparing to send Manchester United on a Champions League revenge mission. Throughout the summer, Ferguson has been forced to endure analysis of May's final, when Barcelona...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Habari zenuu wana jamii mie mgeni katika hii thread ya sports na matumaini paia hiki nicholeta hapa ni geni anyway watu tunapenda sana soccer but in some way or another hii kitu ni very...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna nyepesi nyepesi kibao zimeenea kuwa simba inamtaka Jerrison tegete, Msemaji wa Yanga amekanusha taarifa hizo ila simba wamekaa kimya..kuna msemo usemao ukiona kimya ujue kweli..Je simba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mchezo wa soka ni mchezo wa ajabu sana , maajabu yake ndio yanayoleta msisimko na kuufanya kuwa mchezo unaofuatiliwa na mshabiki wengi kuliko mchezo wowote ule. Gumzo kubwa kwenye ulimwengu...
2 Reactions
0 Replies
4K Views
Hebu wadau nisaidieni, Inapofikia suala la kuuzwa kwa mchezaji,ni nani mwenye uamuzi wa mwisho??ni mchezaji binafsi au ni timu inayommiliki? Na ikitokea utata katika pande mbili inakuaje!!upande...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Brazil yatolewa out na paraguay,yatolewa kwa penalt 2-0,yakosa penalti zote nne mfululizo.Kwa upande mwingine Japan(the barca of women),ndo mabingwa wapya baada ya kuizaba USA kwa mikwaju 3-1 ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wambach, Solo key dramatic US win over Brazil By NANCY ARMOUR, AP National Writer DRESDEN, Germany (AP)-The...
1 Reactions
114 Replies
7K Views
Klabu ya soka ya Abajalo ngilimaa ambayo ndio yenye mafanikio kuliko klabu yoyote ukanda wa Sinza, Ubungo, Mwenge na maeneo ya jirani wameweza kuwapa rrraha mashabiki wao na kukumbuka mafanikio ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mshambuliaji wa Simba Mgosi ambaye ameambiwa wazi kiwango chake kimeshuka na hahitajiki kwenye kikosi cha kocha wa Simba Mganda Moses Basena, ametoa masharti mazito kwa timu inayomuwania ya Villa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mshambuliaji mahiri wa zamani wa Yanga na pia Taifa stars leo amesaini kuichezea Azam FC kuanzia msimu ujao wa 2010/2011 na atakuwa akilipwa mshahara wa 1.2m kwa mwezi na ada yake ya uhamisho ni...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Man Utd top Forbes' rich listJuly 15, 2011 Email Print By ESPNsoccernet staff Manchester United have been named the world's most valuable sports team, according to Forbes magazine's annual top...
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Shalom! Kwenye exclusive interview na gazeti la "Burudani" mapema wiki hii, Nicholaus Musonye katibu mkuu wa CECAFA amekiri kuwa Yanga na Simba ni timu zenye wapenzi wengi sana hapa nchini...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Club kubwa za Yanga na simba ni club zenye wachama wengi nchini. kwa bahati yanga sasa inafadhiliwa na mbunge alienguka katika kura za maoni 2000 Jimbo la Kigamboni. baada ya kuanguka huko Yussuf...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Katika hali inayoashiri sasa kila mtu atafune chake mapema nikiwa mmoja wa waliochangia million kadhaa zilizotangazwa hapo majuzi kwa kweli naona sasa tff inaturudisha fat..kama mkumbakavyo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
By In2EastAfrica - Sat Jul 09, 8:44 pm CECAFA Secretary General Nicholas Musonye The Council of East and Central African Football Associations (CECAFA) has said it is looking into the...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii jamaa wa Emirates wataipenda lakini Old Trafford mmmhhh!!!! Barclays Premier League table Thursday, 23 June 2011 12:39 UK P GD PTS 1 Arsenal 2 Aston Villa 3...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom