Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Manofu, Pawassa, Mahadh, Lunyamila walipotonesha ‘donda’ la Watanzania .Ni katika mechi ya Veterans wa Simba, Yanga U/Taifa .Wapeleka ‘uhondo’ Dodoma Machi 27 NA MICHAEL MAURUS MASHABIKI wa...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Ni ktk mechi ya pili ya ligi kuu ya Italia maarufu kama Serie A. Milan tuko mbele ya Inter kwa tofauti ya pointi mbili. Mechi ya kwanza iliyokuwa chini ya Inter, tuliweza kuwafunga kwa Goli 1-0...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
KOCHA wa Simba Patrick Phiri amesema kikosi chake kitatumia mfumo wa kushambulia kwa kasi lakini kwa tahadhari mno ili kuepuka wapinzani wao TP Mazembe wasipate bao katika pambano lao la...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ikiwa inakabiliwa na mechi ngumu hapo kesho dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya kati,wachezaji wamewekwa kambini hapo Atriums Hotel Sinza lakini cha kushangaza jana jioni kwa geti la nyuma wachezaji hao...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu mnaofuatilia kabumbu. Kuna wakati hapa Jamvini watu walimponda sana MAXIMO kuwa ndio kikwazo kwa maendeleo ya soka, nakumbuka hata mwanasoka mmoja aliingia jamvini na kumponda Maximo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
habari za saa hizi jamani,naombeni mnisaidie kuna mtu nabishana nae hapa,kati ya mwaka 2001 au 2002,simba ilicheza na timu moja kutoka misri,harafu mvua ikanyesha wakati simba inaongoza goli...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
yanga oyeeeeeeeeeeeeeeeee
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jf Vipi matokeo ya mnyama na kagera? Je nafasi yetu kutetea kombe hili ikoje? nawakilisha
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wadau tupenae uhondo live wa mechi kati ya Yanga na Azam.......
0 Reactions
51 Replies
7K Views
Maelfu ya raia wa Mali walijitokeza kuishangilia timu ya Libya katika kufuzu kwa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwenye mji mkuu wa Mali. Mashindano hayo yalifanyika Bamako kutokana na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni kwa muda mrefu sasa ubingwa wa ligi yetu umekua ukipokezana timu za simba na Yanga tu, na kwa jinsi mwaka huu muelekeo wa ligi unavyoendelea, ni wazi ubingwa utaelekea msimbazi au wakiteleza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
29 March 2011 THE African Cup of Nations (AFCON) qualifiers match between Taifa Stars and Central Africa Republic (CAR) played last Saturday at the National Stadium in Dar es Salaam raised...
0 Reactions
0 Replies
939 Views
Japo haiko updated ila kwa kuanzia sio mbaya, tembelea hapo Welcome to the Frontpage
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Leo timu yetu ya taifa ya mpira wa miguu wanaume chini ya miaka 23 imecheza na wenzao wa Kameruni. Matokeo yapoje maana sina apudate yoyote mpaka mda huu. Naomba msaada kwenye tuta!!
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Baada ya Algeria kuilaza Morocco 1-0, sasa kundi D limekuwa ni kundi la kifo, kwani timu zote sasa zina point nne baada ya kucheza mechi tatu kila moja. Msimamo wa kundi d la CAN 2012 qualifiers...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
The Best to ever do it!!:hail::hail:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yaani Mungu anatupenda sana sisi wanatnzania kwa sababu kitendo cha algeria kuipiga moroco kumelifanya kundi letu liwe gumu na wote tubakie kuwa na point 4 sasa inabidi tusigfanye any mistake ili...
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Haya waungwana, Taifa Stars leo inasaka pointi 3 muhimu mikononi mwa C.A.R ambao kwa sasa ndio viongozi wa kundi D, linalojumuisha timu zingine za Algeria, na Morrocco. Tunaomba wadau wanaojua...
0 Reactions
124 Replies
11K Views
SIKU chache baada ya kocha wa Simba, Patrick Phiri kuondoka klabuni hapo akiwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) baada ya mchezo dhidi ya TP Mazembe kwa madai ya kuuguliwa kwao, Zambia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Inasikitisha kuona shirika la habari la Taifa (TBC) linashindwa kuonesha mechi muhimu ya Timu yetu ya Taifa. Na kutegemea shirika binafsi kuonesha.Duniani kote Shirika la umma ndilo linapaswa kuwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom