Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Contract signed: Mosley-Mayweather set for May 1 Shane Mosley, the No. 3-ranked fighter in the Yahoo! Sports ratings, has signed his contract to face Floyd Mayweather Jr. in a welterweight...
0 Reactions
2 Replies
980 Views
Wadau wa Tennis tuhabarishaneni yanayojiri huko Australia. The Australian Open is the first of the four Grand Slam tennis tournaments held each year. The tournament is held each January at...
0 Reactions
67 Replies
19K Views
Orange Africa Cup of Nations 10-31 January 2010. Only one week left and kazi itaanza lets talk about it wakuu.
0 Reactions
814 Replies
51K Views
E bwana e Hii itakuwa kwenye Valentines Day, Cowboys Stadium , Arlington, Texas, is the place to be. The cream teams are: East: Chris Bosh (Toronto) *Kevin Garnett (Boston) #Al Horford...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Worgu set to quit Sudan Nigeria star Stephen Worgu says he wants to leave his Sudanese club El Merreikh after only one year. He was recently sentenced to 40 lashes and a fine for...
0 Reactions
15 Replies
18K Views
AC Milan waliutawala mpira kwa kipindi kirefu, huku wakigonga pasi na skills za ajabu... Lakini mwisho wa mechi ''kunguru kanyea manati''... Inter 2-0 Milan. AC Milan bado wana nafasi kubwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimejaribu kuisoma na kuichanganua timu yetu ya taifa na kujiuliza je? nini chanzo cha kutofanya vizuri katika michezo ya kimataifa? je? inawezekana kwamba ni tatizo la kocha kama wengi wetu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kweli wenye visa watu,Kampuni ya IPP Media amepiga stop habari zozote zinazohusu klabu ambayo kwa sasa ni gumzo hapa Afrika mashariki na kati kwa ushindi mfululizo. Kwa mfano ushindi wa simba...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wakati umeenda wapi wana JF? Napata uchungu nikikumbuka raha iliyokuwa inapatikana kwenye michezo wakati ule, nilisoma Tanga na wakati ule tulikuwa na timu mbili daraja la kwanza African Sports...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Timu zetu hazifanyi vizuri, hivi tunashindwa hata kuwa na referees wanaotuwakilisha kwenye mashindano kama CAN-Angola?? je kuna uhusiano kukua kwa mpira na kuwa na mareferee wazuri?? Sioni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Soccer fun's Tunataka kupata kocha wa timu yetu ya taifa kuchukua nafasi ya Maximo ambaye muda wake unamalizia - sasa basi:-- Ni bora kufanya kazi na mtu unayemjua na unajua uwezo wake na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mkenya kashinda hii kitu kama kawaida yao... Sammy Wanjiru of Kenya reacts as he crosses the finish line to win the Chicago Marathon October 11, 2009. By winning Sunday's race, Wanjiru topped...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Jamani kwa mlioona mechi ya angola akitolewa nimefurahisana wakati wimbo wa taifa ukiimbwa goalkeeper mzungu wa angolaaliniacha hoi alipo nynyua kichwa chake na kana kwamba anaona ile kamera...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ikicheza katika uwanja wake wa nyumbani wa Sansiro klabu ya soka yenye mafanikio mengi zaidi ya kimataifa yaani AC Milan iliweza kuibuka na ushindi wa goli 4-0 dhidi ya timu ya Siena. Shujaa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
WIKI iliyopita kulikuwa na msuguano baina ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na klabu za Yanga na Simba. Msuguano huo ulitokana baada ya mechi ya Yanga na African Lyon kuonyeshwa kwenye...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
LUANDA - The deadly attack on the Togo team bus could have been avoided, the Africa Cup of Nations’ local organising committee (COCAN) insisted on Wednesday. Togo’s assistant coach and its squad...
0 Reactions
1 Replies
780 Views
Kuna habari kuwa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF hawataongeza muda wa mkataba wa kuifundisha timu ya taifa ya Tanzania kwa kocha Marcio Maximo utakapokwisha mwezi wa Juni. Hivyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MIMI BINAFSI NAMZIMIA HUYU JAMAA AJE KUMRITHI MAXIMO....WADAU VIPI?(ANAWEZA KUWA BEI POA PIA LAKINI VASTLY EXPERIENCED) African Nations Cup: What Next For Stephen Keshi After Mali Exit...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
By ANTONY KASTRINAKIS Published: Today Add a comment (28) CARLOS TEVEZ last night branded Gary Neville as 'stupid' and a 'bootlicker'. The Manchester City ace launched a vicious attack...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…