Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Niko hapa kuthibitisha kuwa Fadlu Davids ni kocha mpya ajaye Simba SC Raia huyo wa Afrika Kusini ni kocha msaidizi wa Raja Casablanca
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Na cha Kushangaza pia za South Afrika anapewa kila Mwezi, ila za Ilala anapewa kwa Awamu Tano na hata Kukopwa.
11 Reactions
101 Replies
14K Views
Yusuf Mehboob Manji alikuwa ni mmoja wa Wafadhili waliowahi Kuifadhili Yanga Afrika kwa Mafanikio Makubwa. Baadhi ya Wachezaji aliowahi kuwasajili alikuwepo Kiungo Kamusoko mzimbabwe aliyetesa...
2 Reactions
6 Replies
668 Views
"Yanga hawatokuwa na kazi kubwa kwasababu kubwa ya wachezaji wao wote tayari wapo kwenye mfumo na hata Hawa wachezaji wapya wanaijua ligi vizuri. Kwa upande wa Simba wao Wana kazi kubwa ya kufanya...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Hawa wapo kimya ila wamejipanga vyema. Naona wazi akichukua nafasi ya pili. Azam wameleta magalasa ya huko South America nadhani nafasi ya pili ataisikia redioni. Mbumbumbu a.k.a zoazoa fc au...
10 Reactions
33 Replies
11K Views
1. Jina: Clara Luvanga Miaka: 19 Timu: Alnassr FC- Saudi Arabia Nafasi: Mshambuliaji 2. Jina: Opah Clement Miaka: 23 Timu: Besiktas- Uturuki Nafasi: Mshambuliaji 3. Jina: Aisha Masaka Miaka...
4 Reactions
5 Replies
865 Views
Toka nizaliwe sijawahi kuona au kusikia mcheza mpira mkubwa Tanzania ligi kuu ni mpare kwanini? Naomba serikali ifanye utafiti.
10 Reactions
117 Replies
3K Views
Ni Winga mwenye mapafu ya mbwa... Nasemajeee, Nasemajeee! Watu hawataingiza timu uwanjani..! Mbele Upawa, Nyuma Mwiko
8 Reactions
11 Replies
672 Views
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka mitandaoni. Toa Maoni yako
13 Reactions
28 Replies
2K Views
Mcheza mieleka na mwigizaji maarufu kutoka Marekani John Cena, ametangaza kustaafu kushiriki katika Mashindano ya Mieleka (WWE) wakati wa hafla ya WWE Money in the Bank iliyofanyika Canada tarehe...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Timu zitakoshiriki klabu bingwa msimu mpya tayari zimeshathibitishwa, ambapo kutakuwa na jumla ya timu 59. Katika timu hizo 59, ni timu 5 pekee ndio zitakazoanzia hatua ya pili ambapo ni Al...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Na huu ndo uhalisia uliopoi •Matumizi ya Yanga yanatia mashaka kidogo,timu ina ratiba nyingi zisizokuwa na faida ..mfano kugawia supu mashabiki kisa kuifunga simba ni matumizi mabaya ya hela ...
11 Reactions
24 Replies
1K Views
Amevaa jezi ya Yanga leo
13 Reactions
29 Replies
6K Views
Tukiwa tunaelekea mwishoni kabisa kukamilisha duru ya mzunguko wa pili wa ligi kuu ya Tanzania,almaarufu kama NBC PREMIER LEAGUE,naomba niwakumbushe mashabiki wa Simba na Yanga ili ikiwezekana...
4 Reactions
11 Replies
889 Views
Nawachukia Waingereza kwakuwa wana tabia zile zile za Kelele, Propaganda nyingi, Ujivuni, Dharau na Sifa kama za Mashabiki wa Klabu Moja Kubwa na nisiyoipenda kuliko hata Shetani hapa Afrika...
2 Reactions
38 Replies
787 Views
Kuna mchezo utakuwa unafanyika kwa wachezaji sio bure, kwa sababu naangalia mechi baina ya APR vs Singida Black Stars michuano ya cecafa usiku huu pale chamazi, Tadeo Lwanga anacheza vizuri t...
4 Reactions
7 Replies
622 Views
Kiuongo Mshambuliaji wa Yanga Aziz Ki amewambia viongozi wake kama wanamuhitaji kuendelea kusalia klabu hapo basi wanapaswa kumpa mkataba wenye thamani wa Dola laki 5. Ofa ya Yanga kwa Aziz Ki ni...
10 Reactions
80 Replies
7K Views
Kwako Rais wa TFF, Shikamoo popote ulipo. Nichukue muda wangu nisikuchoshe sana, hapa nchini kumekuwa na aina kadhaa za wasemaji wa mpira. 1. Wasemaji viherere. 2.Wasemaji wapiga domo...
3 Reactions
6 Replies
649 Views
Bado tupo nae sana mwamba huyu wale mliokuwa mnasema anaondoka mwamba haondoki na ataendelea kuwapiga mashuti makali sana 😂😁. Mwamba kabakia Yanga SC Cc ephen_ Is here to Stay 🔥 🟡 🟢 Baaasi...
22 Reactions
87 Replies
11K Views
Kaeni tayari beki bora wa kushoto msimu ujao wa 2022/23 atatambulishwa leo usiku.
1 Reactions
8 Replies
811 Views
Back
Top Bottom