Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Harry Kane amewatia gundu wenzie mpaka kombe wamelikosa kama alivyowapelekea gundu Bayern Munich wakakosa ubingwa msimu uliopita na sasa kwa mara nyingine vijana walipambana lakini mkosi aliokuwa...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Uwanja wa Mkwakwani ulikuwapo tangu enzi za Uhuru. Mwaka 1973 au 1974 ulitumika kwenye mashindano ya Taifa Cup. Cha kushangaza siku hizi unaitwa uwanja wa CCM Mkwakwakani ilihali CCM yenyewe...
4 Reactions
11 Replies
993 Views
Kudadadeki ile mianya yote ya Tigo Pesa, Ushirikina na Usaliti wa ndani Mafia wa Timu wameshaiziba hivyo mtakoma.
7 Reactions
16 Replies
10K Views
Wadau hamjamboni nyote? Orodha kamili ya wachezaji wakigeni wa Yanga Wachezaji wa kigeni katika klabu ya Yanga msimu 2024/2025 ◉ Djigui Diarra 🇲🇱 ◉ Yao Attohoula Kouassi 🇨🇮 ◉ Chadrack Issaka...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
VAR SYSTEM 1. Gharama zake ni kiasi gani? Kusimika mtambo wa VAR inagharimu £4.6M sawa na 14.5B Tsh. 2. Inaendeshwa chini ya chombo gani? VAR Huendeshwa chini ya IFAB International Football...
27 Reactions
62 Replies
9K Views
1. Mkulima anayekwenda shambani kulima akitegemea mvua ambayo haiko ndani ya uwezo wake anabeti. 2. Mfanya biashara anayenunua maparachichi na nyanya kwa mkulima akitegemea kuuza kwa mteja ambaye...
21 Reactions
72 Replies
3K Views
CEO atimiza ndoto iliyokuwa ikimnyima usingizi. Baada ya kufanikiwa kupiga naye picha, sasa CEO yuko huru kuachia ngazi. Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC imekubali maombi ya Ofisa Mtendaji Mkuu...
1 Reactions
0 Replies
362 Views
Hawa vijana wa Bongo Fm sijajua ama Kwa kusahau ama Kwa kuona si muhimu wamerusha taarifa hii Kwa kuweka kipande tuu Cha maneno ya Mh waziri Mkuu. Najiuliza sana kipi kinawatisha kumtaja aliyetoa VAR?
2 Reactions
2 Replies
437 Views
Sasa ifike muda Wachezaji wa Tanzania wawe wanapewa Elimu ya kujua Kuzungumza hasa pale Mic zikiwa zimewekwa Midomoni mwao kwa ajili ya Wao kusema lolote. Sijawahi kuona Mchezaji wa Ulaya hata...
1 Reactions
6 Replies
801 Views
Yanga kesho watapangiwa timu ya kuanza nayo preliminary round, wakati wanaume zao Simba watasubiri second round. Kudadadeki
16 Reactions
111 Replies
14K Views
Ligi ianze namuona jirani yangu shabiki wa simba amenenepa sana[emoji22][emoji22] Huyu rafiki yangu mwingine ni kolo kindaki ndaki ameanza kuota na kitambi tangu ligi ilivyoisha I don't want...
13 Reactions
41 Replies
10K Views
On 18 April 2007, Messi scored a goal against Getafe CF which was very similar to Maradona's Goal of the Century, scored against England in the 1986 World Cup. The world's sports press exploded...
6 Reactions
516 Replies
32K Views
Binafsi huwa sibeti na siku nikiamua kubeti huwa nataka nishinde mzigo wa maana. Kwa hiyo ama nitaweka pesa nyingi au nitabeti matokeo ambayo siyo mategemeo ya wengi (yenye odds kubwa sana) kama...
0 Reactions
15 Replies
991 Views
Ni ukweli uliokuwa wazi kwa viwango vibovu vya waamuzi wetu, wanahitaji msaada wa video na kutokana na teknolojia yenyewe inaweza ikawa gharama kidogo. T.F.F waongee na azam tv, ikiwezekana...
15 Reactions
73 Replies
8K Views
Yaani Msipenga leo kajua kweli kutufurahisha Watu ambao hatupendi Shobo na Sifa za Watu Fudenge Wakoloni wetu.
2 Reactions
9 Replies
581 Views
Tanzania hakuna timu tajiri, timu nyingi kama sio zote hazina misuli ya fedha za kusajili wachezaji wazuri sana na mabenchi ya ufundi class ya juu. Timu nyingi zinashindwa kuwalipa makocha na...
20 Reactions
96 Replies
5K Views
Kama kuna mtu ana taarifa za uwepo wa kozi ya ukocha grassroot level katika mkoa wowote ule kwa siku za usoni hivi karibuni anipe taarifa tafadhari. Ahsanteni sana.
1 Reactions
0 Replies
182 Views
Wakuu najua Azam managers huwa wanapita humu jamii kusomasoma na kujua wadau wanasemaje Ombi langu ESPN zipunguzwe bei kule Kuna basketball na American football hizi mambo huwa zina rock sana kwa...
3 Reactions
38 Replies
1K Views
Ukiangalia "efficiency" ya Jean Baleke alipoingia Simba kwa maana ya matumizi sahihi ya nafasi za kufunga magoli, utakubaliana na mimi kuwa jamaa alikuwa suluhisho la matatizo ya ufungaji...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Hongera kwa uongozi wangu wa Yanga kwa kazi inayoendelea mpaka sasa kiukweli kwa kiasi fulani inaridhisha kuimarisha maeneo yaliyokua yanalega lega msimu uliopita. Lakini kuna jambo naona...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
Back
Top Bottom