Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Taarifa kutoka Club ya soka ya Yanga inaeleza kwamba, timu hiyo imemsajili Aziz Andambwile ili kumrithi Aziz Ki, anayetajwa kuondoka baada ya mkataba wake kumalizika na huku Yanga ikishindwa...
12 Reactions
48 Replies
7K Views
Simba itagongwa vibaya msimu mpya. Ukweli kocha ni mbovu sana. Zaidi ya Matola. Usajili Yanga waliwadanganya na kuuza wachezaji muhimu. Makosa ilifanya AAZAM miaka 8 nyuma Simba imefanya sasa...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Yaan kama kuna mchezaji nimemheshimu msimu huu n mkude Mkude anajua fursa Mkude alipoitwa Yanga, Simba walimbeza sana sana Wakamdharau lakini akaisaidia yanga Leo hii viongozi wa mashabiki...
9 Reactions
14 Replies
982 Views
Haitwi Lomalisa Mutambala bali anaitwa Joyce Lomalisa Mutambala kutoka Klabu ya Bravos Do Marquis ya nchini Angola. Bila shaka Msimu huu mtatengeneza na Jezi za Sketi na Blauzi ili Wanawake (...
14 Reactions
116 Replies
7K Views
Fahari wawili hawakai zizi moja, kipindi Feisal yuko Yanga kuna watu walimuona Aziz ki ni wa kawaida sana, ila kiukweli Feisal alikuwa akipambana mno, waliishia kutupiana majeen tu, Feisal akaona...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Aziz Ki, amewasili nchini alfajiri ya leo Julai 10, 2024 akitokea mapumzikoni kwao Burkina Faso kwa Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia lakini akatoka kimkakati uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Baada ya Simba kuongoza katika kundi lililokuwa na timu za Al ahyl na As Vita ambayo ilikuwa na wachezaji hodari kwa kumfunga nje ndani na kisha kutolewa kwa tofauti ya goli moja na Kaizer Chief...
0 Reactions
4 Replies
415 Views
Nipeni Bilioni Saba ili nibakie hamtaki naenda kwa Madiba au kwa Farao na mkinikera zaidi nabakia hapa hapa kwa Tunasuka Upya Kikosi Kikali Sports Club ili muumie zaidi na Wao nitawaomba wanipe tu...
16 Reactions
58 Replies
3K Views
Habari, Kwa muda mrefu sasa nimejaribu kufahamu na kujua chimbuko na historia ya jina YANGA lakini sijapata jibu. Pia napata tabu kujua tofauti kati ya Yanga na Young Africans kutumiwa na timu...
2 Reactions
14 Replies
870 Views
Hakika pesa inamwagika msimu huu pale msimbazi Kigwangala yuko wapi atoe pongezi ?
12 Reactions
51 Replies
3K Views
Leo nasema hapa hamtokuja Kuamini tu Macho na Masikio yenu kwa hii Simba SC mnayoidharau kwa Usajili wake ila Mimi kama GENTAMYCINE nawaambia hapa hapa kuwa tegemee kuiona Simba SC yenye kwenda...
10 Reactions
36 Replies
2K Views
kuna wa klabu moja nasikia pamoja na mikogo yake yote popote pale alipo analipwa shilingi laki tano tu ya mafungu
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Kila.la kheri
1 Reactions
7 Replies
620 Views
Habari Mwana Michezo. Mpira kama tujuavyo ni Mchezo wenye Matukio mbalimbali ambayo huacha kumbukumbu katika Akili zetu. Kwa kulitambua hilo Leo hii nimeonelea nianzishe huu Uzi, hapa utakutana...
5 Reactions
140 Replies
2K Views
Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa...
6 Reactions
62 Replies
2K Views
Inasemekana huyu ndiye mlipaji mkuu wa Yanga , ndiyo benki ya timu , ni Mwenyekiti lakini zaidi ni mgombea pekee wa Uenyekiti kwenye uchaguzi ujao . Katika kipindi chake tumeona Yanga ikipaa...
8 Reactions
89 Replies
8K Views
Mshambuliaji wa ManchesterUnited, Mason Greenwood anawaniwa na Marseille ya Ufaransa na kama atasajiliwa anaweza kuungana na staa wa zamani wa United, Alexis Sanchez. Greenwood aliyeichezea...
1 Reactions
0 Replies
382 Views
Uongozi wa klabu ya Simba umempa mkataba wa miaka miwili aliyekuwa kocha msaidizi wa Raja Casablanca, Fadlu David ambaye inaelezwa atatua nchini Ijumaa sambamba na wasaidizi wake. Kocha huyo...
6 Reactions
8 Replies
936 Views
Yaani wenye Simba SC tumerejea na kuombana Msamaha na kulishana Yamini halafu Msimu ujao isibebe Vikombe?
2 Reactions
4 Replies
418 Views
Yanga 1.Diarra 2.Yao 3.Kibabage 4.Bacca 5.Job 6.Aucho 7.Nzengeli 8.Mudathir 9.Dube 10.Aziz Ki 11.Chama Simba 1.Ayoub 2.Kapombe 3.Tshabalala 4.Chamou Karaboue 5.Che Malone 6.Debora Mavambo...
10 Reactions
42 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…