Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Fainali ya Kombe la CRDB itakuwa kati ya timu ya YANGA na AZAM. Uongozi wa TFF ulipendekeza kuwa fainali hiyo uchezwe Mjini Babati lakini kutokana na wingi wa mashabiki/ watazamaji na ukubwa wa...
4 Reactions
11 Replies
492 Views
Kila jambo huwa na zama zake. Kwenye mpira ni hivyo hivyo, clubs hutamba na kupotea. Zama za Man U na Chelsea zimekwisha. Tangu SAF aondoke man u haijafanikiwa kushinda taji la EPL. Usinambie...
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Huenda Mlevi wa upande Mmoja akamfuata Rafiki yake Mlevi HATARI wa upande mwingine au ikawa ni kinyume chake.
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Ligi ya NBC inaendelea leo ambapo Simba SC itapambana na Geita Gold kwenye uwanja wa Chamazi Complex. Simba inatafuta nafasi ya 2 huku Geita Gold ikijinusuru kushuka daraja. Mechi hii itapigwa...
5 Reactions
271 Replies
15K Views
Mpira ni anasa kweli kweliii. Huku Azam wakitamani Simba awe wa pili, simba nao wanatamani Feitoto achukue kiatu cha dhahabu ampite Azizi Ki. Ni mechi nzuri itakayoamua uhalisia nini kiendelee...
5 Reactions
14 Replies
846 Views
Taja mambo 3 Yanga wayafanye katika kusherekea Ubingwa wao ambao watakabidhiwa mei 25,2024
4 Reactions
7 Replies
419 Views
Watu Wenye busara huyaangalia madhara ya matokeo na kuyakinga. Wakati mnapanga fainali ya CRDB federation cup kufanyika Manyara wiki mbili zilizopita ni Wazi hamkuzingatia madhara ya matokeo ya...
10 Reactions
24 Replies
1K Views
Hapa nchini kama tukiacha majungu na unafiki kiungo Kevin Nashon hafanani na kiungo yoyote yule mkabaji, kwa wale walioangala semi final leo baina ya Yanga na Ihefu watakubaliana na mimi kuwa dogo...
8 Reactions
23 Replies
1K Views
I nashangaza unapoona watu wanaokusaidia unawatupa Huyu kijana anajitahidi na anacheza kwa kujituma. Unamuachiaje??
4 Reactions
20 Replies
2K Views
INAONEKANA HII MICHEZO YA KUNYAKUA JUMLA YANGA INAIMUDU SANAA 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗘𝗪𝗔 𝗞𝗢𝗠𝗕𝗘 𝗝𝗨𝗠𝗟𝗔 Kwa mujibu wa kanuni za ligi kuu. ✨ Yanga SC watakabidhiwa kombe hili JUMLA JUMLA na kuliweka kabatini...
5 Reactions
3 Replies
504 Views
[emoji1208] Wanashika nafas ya 210 kwenye rank za FIFA [emoji1208]ushindi wao mkubwa waliupata dhidi ya Liechtensteiner[emoji1150] mwaka 2004 (1-0) [emoji1208]Kipigo kikubwa walikipata mbele ya...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Oleksandr Usyk anakua UNDISPUTED CHAMPION wa kwanza wa Heavyweight (Boxing) kwenye 4 belt Era, mara ya mwisho Undisputed Champion kwenye division hii alikuwa Lennox Lewis mwaka 1999 wakati wa...
9 Reactions
51 Replies
3K Views
Habari wakuu, Mpira wetu umepiga hatua mbili mbele, ila viwanja vyetu vimepiga hatua mbili nyuma. Leo hii Feitoto anachuana na Aziz ki kuchukua kiatu cha mfungaji bora, kipa Rey Matampi...
2 Reactions
2 Replies
421 Views
Leo Mei 21, 2024, JKT Tanzania itacheza mchezo wake dhidi ya Azam FC kwenye uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni. KIla timu inapambana kutetea nafasi yake lakini zaidi Azam wakitafuta kusalia...
5 Reactions
74 Replies
5K Views
Kocha Mauricio Pochettino (52) aliyesaini kandarasi ya kuinoa Chelsea kwa miaka miwili, anaondoka Klabuni hapo kwa makubaliano ya pande zote ikiwa ni mwaka mmoja tangu aanze kuinoa Klabu hiyo ya...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Kushoto ni mwanariadha mkongwe wa zamani Juma Ikangaa (280) na kulia ni mwanariadha Mkongwe Filbert Bayi (331); Ukiwaangalia kwa haraka kwenye picha utadhani ni marafiki , Ila wapo tofauti...
2 Reactions
6 Replies
747 Views
Tanzania ipo kwenye mkakati wa kujenga viwanja vipya vya mpira kwenye mikoa sita vyenye uwezo wa kubeba watu zaidi ya 60,000. Na inasemekana tayari kuna mazungumzo na kampuni moja ya kichana ya...
7 Reactions
51 Replies
4K Views
- NBA imetangaza leo kwamba mlinzi wa Cleveland Cavaliers Donovan Mitchell ametajwa kuwa Mchezaji Bora wa Wiki wa Kanda ya Mashariki kwa Wiki ya 12 (michezo iliyochezwa Jumatatu, Januari 2, hadi...
0 Reactions
3 Replies
485 Views
Aziz Ki hatimaye amemalizana na Yanga na sasa anaenda kucheza South Africa. Bado sijapata uhakika ni timu gani ila kati ya Kaizer Chiefs au Orlando. Yanga wameshindwa mpa ofa anayotaka. Sad part...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
MARA NNE MFULULIZO, MARA SITA KWA MIAKA SABA 2018: Manchester City 🏆 2019: Manchester City 🏆 2020: Liverpool 🏆 2021: Manchester City 🏆 2022: Manchester City 🏆 2023: Manchester City 🏆 2024...
9 Reactions
57 Replies
4K Views
Back
Top Bottom