Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Iko hivi i will be short. mzize ni copy paste ya kibu denis. worthless in front of the goal. ila kwenye swala la mikimbio yupo vyema sana. my views kwa mzize 1. Mzize ni useless player in...
13 Reactions
54 Replies
3K Views
Ligi ya Muungano limerejea sasa litaanza kutimua vumbi 23/4/2024 Kwa Tanzania bara zitashiriki team mbili ambazo ni Simba na Azam pia upande wa Tanzania visiwani zimetoka KMKM naKVZ. Yanga...
6 Reactions
51 Replies
3K Views
After Napoli's spectacular year in the 2022-23 season, Inter Milan have reclaimed their golden sceptre and won a Serie A that they have dominated with an iron fist. No one has been able to even...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salaam wakuu, Makolo poleni na kipigo Kila mtu Huwa na kile kinachomfanya aenjoy kwenye soka la hapa bongo na hivi Huwa havifanani from one person to another Mfano: Mimi Huwa makolo wakikandwa...
3 Reactions
10 Replies
583 Views
[emoji599] BREAKING NEWS: Taarifa zinaeleza kuwa klabu ya Yanga haita tumia dressing room za uwanja wa Mkapa baada ya kuikuta kwenye hali mbaya, ripoti zimefika kwa mratibu wa mchezo (coordinator)...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Muhindi anachungulia sana pochi na akiweka mzigo mkubwa ujue ni malengo ya kibiashara mfano kuinunua timu moja kwa moja. Hebu ona haya klabu maaruufu waarabu wanaweka mizigo ya maana, wana...
10 Reactions
21 Replies
1K Views
Huyu kocha hata mm nilimshangaa ana utoto kwanini alishinda 3 0 akawatoa watoto hao wawili. Akabanangwa 3 3 shukran kwa var iliyokataa hlgoli la 4 la adui. Jamaa anaaminika kumpa nafasi Antony...
0 Reactions
2 Replies
469 Views
Wakuu Hii team ya walevi na wanywa wanzuki yaani inatia huruma Mitandaoni mashabiki hawana Furaha kabisa yaani kila post admin atakayotoa basi wanampopoa tu jamani ..! Kilichobaki ni admin...
2 Reactions
7 Replies
534 Views
"Kiukweli kama kuna Kitu ambacho nawapongeza wana Simba SC ni kuwa na Viongozi wazuri na Mimi nawaomba chonde chonde wala Wasiwabadilishe kwani hawa hawa Viongozi wao wataifikisha Simba SC katika...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Yanga inapaswa kufikiria kuachana na Kennedy Musonda. Tokea aje hapa nchini, Musonda hajatoa kile kilichotegemewa kwa 100%. Ni mchezaji mzuri sana, lakini yapo yanayofikirisha juu yake. Musonda...
8 Reactions
62 Replies
3K Views
Mchezaji wa Simba Saidoo Ntibazonkiza amekuwa kwenye midomo ya mashabiki wengi wa Simba wakiamini anapewa nafasi kubwa kuliko anavyostahili. Leo 22/04/2024 kupitia ukurasa wake wa Instagram...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Bingwa. Yanga Kocha bora. Gamondi Kipa bora. Diarra Beki bora. Yao Kiungo bora. atatoka Yanga MVP . atatoka Yanga Simba sijui mtapata nini msimu huu.
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Kwa Sisi wapenda Mchezo ( Watu wa Mpira ) wala hatuteseki, sasa tatizo kwa ile Mipenda Timu Kwanza na Mpira baadae. Unaumia kufungwa jana kwa Simba SC hadi kuwa na Usununu kwa kila Mtu utadhali...
4 Reactions
7 Replies
755 Views
Mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (CAF Confederation Cup) kati ya USM Alger ya Algeria dhidi ya RS Berkane ya Morocco umeshindikana kufanyika baada ya wageni RS Berkane kuzikataa jezi...
6 Reactions
20 Replies
3K Views
Nadhani tactics ni kama nyenzo inategemea unataka kufanya nini na una nyenzo ya aina gani kwa kufanya nini kama ukikosa Kisu unaweza kutumia msumeno - lakini hauwezi kutumia Kisu ili kukata miti...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu yangu huyu nampa Pole yaani ukweli anatamani kutoka anashindwa afanyaje ndioo maisha yake. Kati ya watu niliwaonea huruma majuzi ni ndugu yangu huyu hatareee sanaaa. Tuendelee kumwombea...
4 Reactions
12 Replies
855 Views
Kuna mstari mwembamba unaotenganisha mchezaji anayejua kukaba na mchezaji anayejituma. Yanga husajili wachezaji wanaojua kucheza katika nafasi zao pia wanaojua kukaba yaani ikimsajili mchezaji...
3 Reactions
5 Replies
716 Views
Licha ya Manchester United kuongoza kwa magoli 3-0 hadi dakika ya 70 dhidi ya Timu ya Coventry City inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza (Championship) lakini hadi dakika ya 90 zinakamilika matokeo...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
1. Beki Israel Mwenda amekuwa mtu wa kufanya makosa sana lakini Benchika anaendelea kumvumilia 2.Inonga Baka amejivunja makusudi na sasa Simba imuachie akaangalie maisha mengine. 3. Che Malone...
11 Reactions
37 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…