Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakuu Sasa tunapata picha kuwa amrouche ni dalali wa wachezaji na ana wachezaji wake maalumu. Kipindi cha mwanzo alimuacha Kevin John sababu ya nidhamu hilo tukaamini maana huyu hata kabla ya...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Wachezaji wafuatao hawana msaada ndani ya Yanga sc na wanapaswa kufukuzwa mwishoni mwa msimu huu Joseph Guede '_ huyu hata kwa kumuangalia tu ni mtu mzima tena mzee, mchezaji kalegea kama mpiga...
10 Reactions
23 Replies
1K Views
Lazima itasemwa kuwa wamefungwa Kwa kuwa refa Herry Sasalli huwa hawapendi.
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Na nawaombeni leo kabla ya Mechi kuanza kuweni makini kuangalia nini Watafanya au Kitafanyika ila Mpira ukianza tu watakuwa Wanakwepana. Pia kuna uwezekano mkubwa Wote wakafunga Magoli kwa Timu...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Kama mashabiki wa Yanga sc tutaendelea kumfumbia macho huyu kocha, tutajikuta tunaupoteza ubingwa katika mazingira ya kijinga sana. Niwakati wa wanayanga kupaza sauti zetu kuashiria kutilia shaka...
2 Reactions
6 Replies
337 Views
Habari Ya Usiku Wana JF hivi Scout Ya simba Sc iliangalia nini zaid kwa huyu FREDI. HIVI KUNA MTU BADO ANASHAWISHI WATU WAMUELEWE FREDY? Unaweza kutumia Nguvu nyingi kuwashawishi mashabiki...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Dah eti hii timu iliifunga Simba mabao 5 1, wajinga wakubwa nyie, wahuni wakubwa nyie, wezi wakubwa, majambazi wa soka nyie, wanyela wakubwa. Azam mmefanya uzalendo sana leo, japokuwa mmeshinda...
3 Reactions
17 Replies
870 Views
Wanaspoti wenzangu kutokana na kilichototokea leo naombeni nipewe ratiba ya Vipindi vya michezo kwa Siku ya kesho kwa redio zote. Lakini ningependa kushauri wanaspoti wenzangu hasa wale wayanga...
0 Reactions
6 Replies
508 Views
Kipekee niwapongeze Azam fc, mlidhamiria hatimaye mmepata cha kusema, kumfunga bingwa si haba... Feisal Salum hatimaye umepooza maumivu, hongera pia! Mwisho kabisa niwaonye Makolo, kihere here...
1 Reactions
13 Replies
585 Views
Manchester United imefanikiwa kuingia Nusu Fainali ya Kombe la FA (FA Cup 2023/24) kwa ushindi wa magoli 4-3 dhidi ya Liverpool kwenye Uwanja wa Old Trafford, mchezo ambao umechezwa dakika 120...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
...[emoji3538] π™ˆπ™€π˜Ύπ™ƒπ™„ π™”π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό LIVE UPDATES:................... MATCH DAY [emoji759]️[emoji460]️[emoji460]️[emoji460]️ YANGA [emoji617]vs AZAM [emoji843][emoji836]️ BENJAMIN MKAPA[emoji909] SAA...
7 Reactions
100 Replies
6K Views
Mbio za Kiatu cha #UfungajiBora wa NBC Premier League msimu huu zinaendelea kupamba moto na mpaka sasa kileleni yupo Feisal Salum wa Azam Fc ambaye hapo jana alifikisha magoli 11 na anayemfuatia...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Yaani mashabiki ni watu wa ajabu sana, yaani kisa Azam kufungwa na Yanga na wao kuwashindwa basi inachukuliwa kama Azam wanafungwa na Yangs kwa kupenda. Kwanza hakuns derby tamu inayokuwa na...
2 Reactions
6 Replies
571 Views
Wananchiiiii πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ nikisema nyie ni mazuzu nitakuwa nakosea? Eti uwanja mpaka siku mkiuchomoa huo mwiko ndio mtakuwa na akili. Hivi uwanja wenu utakuwa unaingiza mashabiki wangapi? Contractor...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Machi 10, 2024 Chama cha Mpira wa Miguu Tanzania [TFF] KUMB: Ombi la Haraka la Uchunguzi wa Ushindani wa Haki katika Ligi Kuu ya NBC Mpendwa Mheshimiwa/Bibi, Tunakuandikia kukuletea jambo...
12 Reactions
52 Replies
3K Views
Nimeona kwenye mitandao ya kijamii kuhusu suala la Dickson Job kuacha kuitwa timu ya Taifa na kauli iliyotolewa na Kocha . Nimeona jinsi watu wanavyoporomosha matusi . Ninaamini ni mashabiki wa...
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Kiungo wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga klabu ya El Geish ya ligi kuu ya Misri Himid Mao, akemea vikali vitendo vya shabiki au mchezaji kwenda kutoa mataulo ya makipa golini katika ligi...
4 Reactions
69 Replies
3K Views
Habari njema Tumeipokea kupitia Ujumbe wa Rais wa Club: Injinia Hersi. Uwanja utajengwa kwa Udhamini wa moja kwa moja wa GSM. #Daimambelenyumamwiko#
12 Reactions
58 Replies
4K Views
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imewafungia kwa miezi sita kuingia viwanjani kwenye michezo ya michuano yote ya TFF, mashabiki wanne walioonekana kupitia video kwenye mitandao ya kijamii...
3 Reactions
62 Replies
4K Views
"Maisha Bila unafiki hayaendi ,wakati nazungumza wakati wa AFL kuwa Al Ahly wako unga mashabiki wa Simba SC walinishambulia Kwa kuwa nilisema Ahly alikuwa anacheza tu dhidi ya Simba SC ,lakini...
7 Reactions
24 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…