Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Zilizuka POROJO zisizo na mashiko za kusema kuwa Beki kitasa Dickson Job ni mfupi na Hana hadhi ya kuichezea Yanga sc. Mwamba hakuwajibu Wala hakuteteleka aliacha kazi ionekane, kweli huyu bwana...
7 Reactions
7 Replies
533 Views
Mpira hauchezwi kwenye mwendokasi. Unakaribisha sonona kama usipopata matokeo https://www.youtube.com/watch?v=q5XPwqG7Y-4
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Kwanza suala la uwekezaji na umiliki wa hisa ni suala la kitaalamu na lina misingi yake, Simba hawaifuati. Mkutano Mkuu wa Simba uliridhia Mo kupewa 49% ya hisa za Simba. Ukototozi wa thamani ya...
17 Reactions
74 Replies
6K Views
Mwaka 1969 na Mwaka 1970 Dare es salaam Young Africans iliweka REKODI ya kuwa timu ya kwanza kucheza robo fainali mara mbili mfululizo yaani convectively 69 na 70 mara zote hizo alikutana na...
7 Reactions
31 Replies
1K Views
Kiukweli tusamehe sana MO, Mimi nikiwa wakilisha Mashabiki wenzangu wa Simba. Naomba Utusamehe sana kukusema kuwa wewe ni bahili Mara hujitoi na tukaenda mbali kukulazimisha kuachia Timu...
19 Reactions
62 Replies
3K Views
Lawama la kushindwa kwa Taifa stars AFCON kwanza liende kwa TFF kabla ya sehemu nyingine. Timu zetu kubwa kwenye ligi haziandai Wachezaji wa kuichezea timu ya taifa kwakuwa wamepewa ruksa ya...
12 Reactions
58 Replies
3K Views
Utopolo wako huko Misri wakiwapigia magoti Al Ahly wasiwadhalilishe leo jioni na ushahidi ni jana wameenda kuingia makubaliano ya ushirikiano na Al Ahly eti mashirikiano ya kiuchumi.Yaani Utopolo...
2 Reactions
8 Replies
514 Views
KISA YANGA BENCHI LA UFUNDI NA WACHEZAJI WAKATWA MISHAHARA YAO. Baada ya kipigo kizito kutoka katika klabu ya Yanga sc, klabu ya CR Belouizdad wamekaa kikao Cha dharura kujadili juu ya matokeo...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Maoni Yangu: Mkiambiwa hii timu siyo yenu mnakuja juu, haya sasa hamna cha kumfanyia Mo dewji.
11 Reactions
56 Replies
3K Views
Inaweza kukushangaza kiasi lakini huo ndio uhalisia, licha ya kuongoza kwa kufunga magoli 17 katika Premier League 2023/24 hadi sasa, takwimu zinaonesha Mshambuliaji wa ManchesterCity, Erling...
4 Reactions
7 Replies
823 Views
Full Time: Yanga 1 Al Ahly 0 Mfungaji: Nadir Haroub "Cannavaro" Half Time: Yanga 0 Al Ahly 0 Leo mtoto hatumwi dukani, Natamani kikosi cha Yanga (Tanzania) kiwe hivi: Na wewe unaweza kupendekeza...
1 Reactions
550 Replies
64K Views
Binafsi nisiwafiche kwani sitaki na wala sitamami kwa sasa kwani Kiufundi kwa sasa Simba SC hatuna Kikosi thabiti cha Kucheza na Yanga SC iliyoko Relini na ya Moto kila Idara.
27 Reactions
51 Replies
2K Views
Akihojiwa na vyombo vya habari,kocha wa CAF Gamondi amenukuliwa akisema kuwa ni full show show. Ajaenda Misri kukamilisha ratiba na hajaenda kuuza sura Anasema anaenda kuweka rekodi ya kumfunga...
5 Reactions
17 Replies
768 Views
Baada ya kupoteza mechi ya kwanza dhidi ya Belouizdad kuna maneno mengi ya kiuchambuzi kuwa Yanga walifungua turbo wakati wapo ugenini jambo ambalo limepelekea kufungwa magoli. Baada ya mechi ile...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Took a ride to the end of the lane………Where no one ever goes……. Ended up on a broken train with nobody I know……But the pain and the longing’s the same……. When you’re dyin’……Now I’m lost, and I’m...
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Hii Yanga ipo siku itakuja ifanye watu wazima wazichape tena Live na camera za Azam tena watu wenye heshima zao kama wachezaji na kocha. Leo kocha alinyakua chupa akataka kumtwanga nalo mchezaji...
25 Reactions
60 Replies
4K Views
Miaka ya 2000 Mwanzoni, Mpira wa Uingereza—ligi fuatiliwa zaidi duniani—ulikuwa umetawaliwa na Klabu Mbili tu; ARSENAL na MANCHESTER UNITED. Liverpool alikuwa msindikizaji, Manchester City...
21 Reactions
45 Replies
3K Views
Mwaka 1979 kulitokea maajabu ya soka ambayo mpaka leo bado hayajaweza kurudiwa katika historia ya soka la Afrika. Simba ilicheza mchezo wa Klabu Bingwa Afrika na timu ya Mufulira Wanderers ya...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Hawa wanakuja kwa watu alafu wanajiamini namna hii ? Yana wanawaita Simba hivi hivi, hata hawaogopi kabisa. Je, hii ni ishara Gani Kwa makolo [emoji1607] @bintiiringo #WasafiSports
11 Reactions
121 Replies
5K Views
Ninasikitishwa na ujinga huu ambao unataka kuwa fasheni kwa sasa katika soka letu. Nijuavyo, wachezaji wa Simba ni aina ya wachezaji ambao sifa zikiwalevya wanaanza kucheza upumbavu wa show game...
9 Reactions
5 Replies
670 Views
Back
Top Bottom