Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kipindi cha pili simba anaongoza 2 -0
3 Reactions
69 Replies
4K Views
Simba kuwapa watu dozi nzito ni kawaida yake, kama kuna timu yeyeto hapa bongo haijawahi kufungwa goli sita upite mbele.
2 Reactions
12 Replies
592 Views
Kila la Kheri National Al Ahly FC mechi yao ya mwisho ya CAFCL huko Kwao Weekend hii japo bado sijajua anacheza na nani.
6 Reactions
50 Replies
2K Views
Mshindi ni Mkenya, ila kwenye Malipo anakuwa Mtanzania…!
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Mudathir Yahya: Nyota Inayong'ara wa Young Africans SC here is why?? # Uwanjani: Uchezaji wa Kusisimua Mudathir Yahya amekuwa akiwasha moto uwanjani. Uwezo wake wa kubadilisha mwelekeo, kuona...
4 Reactions
88 Replies
4K Views
"Tunawaahidi na kuwahakikishia Wanasimba kama kuna kitu kinahitajika hata kiwe kinapatikana chini ya bahari tutakifanya ili Simba iende robo fainali. Jumamosi ni kwenda kumalizia kazi."- Meneja wa...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Jamani, eti makundi huwa wanapangaje hatua ya Robo Fainali?
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimesikitishwa na kauli ya msemaji wa Simba sc (Ahmedy Ally) kutamka kuwa "ushindi wa Yanga dhidi ya mwarabu ashukuliwe MO dewji" Mwisho wa kunukuu. Hoja Yangu ni kwamba Yanga watamshukuru vipi...
9 Reactions
12 Replies
918 Views
Klabu ya @simbasctanzania imethibitisha kuwa siku ya tarehe 28/2/2024 watacheza mchezo wao wa ASFC dhidi ya TRA kwenye Uwanja wa Azam Complex. Mchezo huo utakuwa pia ni sehemu ya maandalizi ya...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa Langu Pendwa hapa Jf Jukwaa la Sports. Ni siku takribani 3 saiv zimepita toka Team Bora kwa sasa Young Africans alimaarufu kama Yanga imbamize Mwarabu goli 4 pale kwa Mkapa na...
8 Reactions
42 Replies
2K Views
Salaam waku. Kama kawaida mchambuzi wenu hapa jf sports lazima niwaletee uchambuzi wa mechi kati ya simba na Galaxy Mechi itakuwa na tension kubwa sana ambayo haijawahi shuhudiwa kwakuwa team...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Siku tuliyoichagua ya Jumamosi ni mbaya kwetu Kinujumu (Kiushirikina) na hata tarehe yenyewe ya Pili/Mbili nayo mbaya sana kwetu. Kafara kubwa na la hatari linatakiwa kufanyika vinginevyo...
8 Reactions
42 Replies
3K Views
Baada ya ushindi wa kishindo walioupata mabingwa watetezi wa ligi ya Tanzania bara The almighty Yanga afrika dhidi ya mabepari CR Belouizdad kumeibuka hali ya kuweweseka kwa baadhi ya wachambuzi...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Mafanikio ya Yanga yatawafanya Simba wazidi kuweweseka, hii ni kwa sababu wao wanafanya siasa za mpira kama mandonga alivyokuwa anafanya siasa za ngumi; Yanga inafanya Objective football ; and...
11 Reactions
19 Replies
1K Views
ORODHA ya Vilabu Bora Afrika 2023 (CAF Club Ranking) Rank za caf ngazi ya vilabuCAF rankings,Vilabu 20 bora afrika 2023,Nafasi ya Simba Afrika 2023Nafasi ya yanga afrika 2023,Yanga ranking in...
4 Reactions
12 Replies
3K Views
Walianza na propaganda za Yanga kushiriki kombe la looser (shirikisho), wakatoka hapo yanga ikagonga mpaka fainali uku timu zikichapwa ipasavyo wakasema wamekutana na timu dhaifu, lakini wale wale...
28 Reactions
27 Replies
2K Views
Mnaacha kutulia Kuandaa Litimu lenu la Tigo Pesa Muamala FC ijiandae Kimkakati ili ishinde Mechi ngumu na muhimu nyie Kutwa tu mpo katika Maredio mnatamba, mnajisifu, mnawazogoa ambao wamewazidi...
10 Reactions
112 Replies
7K Views
Bwana Alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.Ameen --- Klabu ya Soka ya Azam, imetangaza kifo cha aliyekuwa daktari wa timu hiyo, Mwanandi Mwankemwa, kilichotokea leo jioni katika...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Kwanza niseme mimi si shabiki wa simba wala si shabiki wa yanga, ila ni shabiki wa mpira na timu zote hizi mbili nazifuatilia kuanzia mashindani ya ndani kwa maana NBC premier league. Azam...
29 Reactions
64 Replies
5K Views
Back
Top Bottom