Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

PIERLUIGI COLLINA kitu ambacho hatasahau zaidi kwenye kazi yake u referee: "Tulikuwa katika dakika mbili za mwisho za fainali ya Ligi ya Mabingwa na niliwaona wachezaji wa Bayern wakiwa kwenye...
4 Reactions
15 Replies
556 Views
Sina undugu na Mudathir ila hiki ndicho viongozi wa Simba SC wanapaswa kukifanya mapema Jamaa Yuko vizuri ni Mmoja kati ya viungo wachache wanyumbulifu hapa nyumbani Sina mengi mimeona niilete...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Yanga imepangwa kucheza dhidi ya Club Africain ya Tunisia katika Hatua ya Mtoano ya Kombe la Shirikisho. Mechi za kwanza inatarajiwa kuchezwa Novemba 2, 2022 na marudio ni wiki moja baadaye...
37 Reactions
279 Replies
22K Views
[emoji599] TIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA Al ahly.............70million fans Young Africans..35million fans Zamalek.......... 30 million fans Laizer chief .......16million fans Asec...
6 Reactions
120 Replies
12K Views
Katika soka, mfungaji wa goli mara nyingi ndio humiminiwa sifa na kuonekana ni bora, ila ukweli wanaotoa assist mara nyingi ndio hufanya kazi kubwa kumfikishia mpira mfungaji ila anaesifiwa siku...
1 Reactions
12 Replies
786 Views
kwanza hongera sana kwa juhudi zako uwapo uwanjani.ongeza sana bidii kwenye shooting accuracy na stamina ya kukimbia uwanjani,utafika mbali sana.pia nakushauri fedha unazopata usizichezee,jitahidi...
3 Reactions
8 Replies
687 Views
Kumbe bado wapo mashabiki wenye uelewa . Nenda Instagram kwa maelezo zaidi . Nafikiri pamoja na kuto perform pyramid mayele Ana frustration na ile mechi ya Tanzania v DRC alikamatwa vizuri na...
3 Reactions
9 Replies
742 Views
Unacheza mpira bila umakini wowote ule,mradi unapangwa kucheza badi we unacheza tu. Mechi moja unacheza vizuri me hi nyingine unacheza vibaya. Leo umecheza hovyo kabisa, umekosa magoli kijinga...
6 Reactions
10 Replies
1K Views
Sisi wanalunyasi tumuombe msamaha Chama. Nikikumbuka tuliporusha mate mengi kuwapongeza viongozi na kocha kumkataa Chama na kuanza kumsiliba na kumbagaza vibaya kuwa hahitajiki. Na sisi...
5 Reactions
16 Replies
685 Views
Tulisahau kukuwish tarehe 13 tulikuwa na mambo ya msiba. Heri ya kuzaliwa kwa mwamuzi bora zaidi katika historia ya soka Ulimwenguni, Pierluigi Collina ametimiza miaka 64 leo. 🎂🇮🇹🤝 Mwamuzi huyu...
1 Reactions
0 Replies
360 Views
Mdau wa soka, huyu mchezaji amefanikiwa kufunga magoli katika mechi zinazohusisha upinzani wa jadi wa Timu za Mji mmoja ‘Dabi’ na katika ushindani wa timu kubwa zenye upinzani kutoka miji tofauti...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Zipo habari kuwa mshambuliaji Gwede wa Utopolo amelalamika kufanyiwa mambo ya kishirikina na wenzake kambini na kumfanya aonekane butu, Gwede analia kuwa kwenye mechi haoni vizuri goli, lkn kwenye...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
𝙉𝘽𝘾 𝙎𝙏𝘼𝙏𝙄𝙎𝙏𝙄𝘾𝙎 Timu zenye points nyingi ; 1 ◉ 43 — Young Africans 2 ◉ 36 — Simba SC 3 ◉ 35 — Azam FC 4 ◉ 23 — Coastal Union 5 ◉ 22 — KMC Timu zilizoshinda mechi nyingi ; 1 ◉ 14 — Young Africans...
3 Reactions
7 Replies
842 Views
Si mchezaji mbaya, ila kuna mambo kadhaa anayoyakosa na kumfanya kuwa inexperienced player, ila kama angeweza kuongeza juhudi huenda angeonja ladha ya michuano mikubwa ya CAF pengine kutwaa japo...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Azam media wameweka magoli yote mitandaoni, nimepata wasaa wa kuangalia goli la Yanga dk ya kwanza kilichofanyika ni match fixing ya wazi. Angalia video kwa umakini na kwa slow motion, beki wa...
8 Reactions
77 Replies
4K Views
Kazi yangu Kubwa katika huu Uzi ni Kusoma tu Replies ( Mirejesho ) yenu kutokana na Mada husika.
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Nilibahatika kuona mechi zote mbili za RC belouizdad na Al ahly ni Mechi za michongo Mechi za mikakati Sio kwamba belouizdad wana timu nzuri kivile Even ile mechi yao na yanga ni mistake ya yanga...
7 Reactions
32 Replies
2K Views
Tokea juzi kataarifiwa arejee Kambini kuungana na Wenzake Yeye kwa dharau hadi muda huu GENTAMYCINE naandika huu Uzi hajaenda na yuko Kisiwani Zanzibar amekula tu Bata (Starehe) na Mademu wa...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Beki wa Manchester City, Kyle Walker, ameiomba radhi familia yake kwa kufanya uamuzi wa ovyo kufuatia wiki kadhaa za tetesi kuhusu usaliti kwenye ndoa yake. Mchezaji huyo ameliambia gazeti la the...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Nimeangalia mpira leo na JKT hadi natamani kuivunja TV yangu kuwavaa wachezaji na Benchika mwenyewe. Kiwango ni kibovu sana, niliona tangu Kigoma, Tabora, Mwanza na leo pale jeshini mimi kama...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Back
Top Bottom