Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Juzi katika mechi ya Yanga vs Al Ahly uwanja wa Mkapa, mashabiki wa Yanga waling'oa viti na kuwarushia mashabiki waliokuwa wanaishangilia Al Ahly. Inteligensia yangu imeniambia kuwa mashabiki wa...
10 Reactions
125 Replies
7K Views
458KB Messi kawadhalilisha sana wachezaji 😄😄
1 Reactions
2 Replies
649 Views
Muneria Wins Malaga Marathon in Spain as Kenyans Rule Road Races in Busy Weekend for Athletics The 2016 Africa Cross Country bronze medalist Charles Muneria clocked a personal best of 2:08:54 to...
0 Reactions
7 Replies
794 Views
Leo ni Desemba Mosi 2023, tumeingia mwezi wa mwisho kwa mwaka huu! Ni member gani amenogesha zaidi jukwaa hili kwa mwaka huu? Karibuni.
4 Reactions
115 Replies
4K Views
Wakuu sasa ni mwaka wa 3 kama sikosei ligi ya Tanzania kuwepo kwenye rank ya ligi bora Africa, lakini timu zetu zinakosea wapi? Tukiweka ushabiki msimu uliopita Yanga walifika fainali ya...
1 Reactions
11 Replies
729 Views
Baada ya mechi ya Medeama vs Yanga kumekuwa na kelele nyingi kuhusu goli la clear offside la Kibabage, ila wengi walifumbia macho matukio kadhaa ambayo refa alimezea ambayo yangewapa faida...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Klabu ya Yanga wamekuwa wa kuzodoa zodoa tena kwenye media , wasemaji wamejenga chuki kuliko washabiki, wamefanya chuki kubwa sana. Yanga wamesababisha Simba nayo ianze kujibu na kuonekana wajinga...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Uongozi wa Namungo Fc unapenda kumshukuru Kocha Denis Kitambi kwa muda wote aliotumikia Timu kwa ushirikiano mkubwa ndani ya Timu yetu. Namungo Fc inamtakia kila la kheri Kocha Denis Kitambi...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Waandaaji wa haya mashindano yaliyowaibua Simba Queens kama washindi wa ngao ya jamii 2023! Kutoa 5Mil kwa mshindi wa kwanza ni dharau kubwa. Hata mashindano ya ndondo cup wasingetoa pesa hiyo...
10 Reactions
29 Replies
2K Views
Wakuu ukweli usemwe hata kama ni mnazi wa club husika, Kwa usajili wa kocha Benchikha kuja Simba naona ni hasara au kutumia pesa vibaya japo in anyway sihusiki kumlipa Hakika hii ni hasara kubwa...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Huwa inatokea na itatokea kesho! Nimeweka akiba ya maneno!
1 Reactions
6 Replies
594 Views
Kwenye vilabu bora hayupo Bingwa wa Shirikisho ambaye ndo huyo huyo bingwa wa Super Cup Africa (USM Algiers). Lakini kwenye makocha 3 bora kocha wao yupo. Vigezo gani wameangalia hapo? Sent...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Timu ya Singida Fountain Gate imefanikiwa kunasa usajili wa beki wa pembeni matata kutoka timu ya Jwaneng Galaxy ya Botswana inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika. Kijana huyo ambae alikuwa...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Medeama, uongozi wa klabu ya Yanga umeliandikia barua Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) KULALAMIKA uamuzi mbaya ulioonyeshwa na mwamuzi aliyechezesha mchezo...
10 Reactions
77 Replies
6K Views
Mshika remote wa vichwa vya fans wa Yanga tunaomba uwaset Uto wajadili bila jazba na matusi
8 Reactions
45 Replies
3K Views
Hivii huuu refa hapaswi kuwajibika/kuwajibishwa kwa maamuzi mbovu ya kuwanyima goli Yanga akisema lilikuwa ni goli la offside? Vipi na yule mshika kibendera nae hapaswi kuwajibika? Kwa maneno...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeiondolea Yanga adhabu ya kufungiwa kusajili wachezaji baada ya kukamilisha malipo ya aliyekuwa mchezaji wake Gael Bigirimana. Awali mchezaji...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Salaam Wana JF Kama expert wa soka naona ni Bora Kwa timu ya Simba kuwekeza nguvu zote kwenye kombe la mapinduzi litakalofanyika January kuliko kuendelea kukupoteza muda kwenye champions, ambako...
5 Reactions
28 Replies
1K Views
Wydad Umepigaje Hapo? Kipindi Cha Pili Sub ya kuingia Chama,Phiri,Miqqusone na Mzamiru ilikuwa na maana hii 1.Kuongeza Kasi kwenye eneo la mwisho labuwanja(zone C) 2.Kuongeza ubunifu (Chama)...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Haipiti siku bila kuona watu wameivaa hii jezi, naona imeuzwa sana, kwanini?
10 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom