Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wewe Ceo wa bodi Almasi Kasongo mbona mshamba sana wewe jamaa, hiv kweli Simba itegemee promo ya Yanga hadi ulalamike Clouds kuwa Yanga hawajafanya promo kwa mechi hiyo, Simba haihitaji promo ya...
2 Reactions
3 Replies
617 Views
CAF wanathibitisha ubora wa Yanga kivitendo ndio maana wameiteua kuingia kwenye tuzo zao za kuchagua Timu Bora barani Africa kwa mwaka 2023. Yanga ni timu pekee kwa Ukanda wa Africa Mashariki...
17 Reactions
53 Replies
19K Views
SIMBA SC: Tarehe 20.03.2023 Simba SC waliingia mkataba na VUNJABEI wenye thamani ya Bilioni 2 tu kwa muda wa Miaka miwili (Yaani Misimu Miwili) VUNJABEI alitengeneza jezi kwa misimu miwili yaani...
4 Reactions
78 Replies
4K Views
Ni kivumbi tena, Kagera Sukari wakiwa wenyeji kuwakaribisha wajelajela wa Tanzania. Hadi sasa Dakika ya 45 Wakata Miwa wanaongoza kwa goal 1 lililotupiwa na Chirwa Obrey kwa mkwaju wa penati...
2 Reactions
66 Replies
2K Views
Wachezaji hawa walistahili hii tuzo lakini nyakati hazikuwa sahihi kwao: 1. Thierry Henry 2. Steven Gerald 3. Didier Drogba 4. Samuel Etoo 5. Frank Lampard 6. Robert Lewandowski 7. Arjen Roben...
15 Reactions
69 Replies
3K Views
Usiku wa leo, kuanzia saa 3:00 usiku kutakuwa na hafla ya ugawaji wa Tuzo za Ballon d'Or pale katika ukumbi wa Theatre du Chatelet jijini Paris. Katika hafla hiyo, kutakuwa na mchezaji bora wa...
10 Reactions
263 Replies
17K Views
Hongereni sana Uongozi wa Simba SC kwa Kumbeshimisha Mheshimiwa Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Bw. David Concar kwa Kumzawadia Zawadi ya Jezi yenye Jina lake kwa nyuma. Poleni sana kwa...
10 Reactions
75 Replies
6K Views
Njooni na Utetezi wote juu ya hili na hawa ila tulio karibu na Wachezaji wa Vilabu vikubwa Viwili hivi, Viongozi wao na hasa Wataalam ( Waganga Wao wa Kienyeji' ) tunajua kuwa kwa hawa Wachezaji...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
their personal abilities Kibu Denis ni bora kwa speed and shooting forcing. Na heading Maxi zengeli ana football intelligence saana Ni bora kwa passing Dribbling Finishing Shooting Heading...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari wakuu, Moja kwa moja niende kwenye mada, lakini nitoe angalizo kuwa napenda mada yangu usomwe na watu wenye akili timamu na kujibiwa na watu wenye ufahamu. Binafsi ninahuzunishwa sana na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wageni wa Soka na watoto waliouvamia mchezo huu kwa kusukumwa na shetani la kamari ndio wanaweza kushangazwa na umwamba wanao wekeana nyota wa klabu ya PSG Edinson Cavani raia wa Uruguay na...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Wenyewe ( hasa Watangazaji ) wao Wanasema kuwa hata Rangi za Herufi zao Tatu EFM zina Rangi zinazoshabihiana na Rangi ya Klabu Bora na Kubwa nchini Tanzania na Afrika ya Simba Sports Club...
11 Reactions
90 Replies
4K Views
Haika tena Old Trafford sio theatre of dreams bali imekuwa ni theatre of nightmares. Ni kweli glazers wanazingua, ila tukumbuke ETH ameshatumia 400ml katika usajili, hii 400ml ambayo karibia...
2 Reactions
16 Replies
653 Views
Hari za wakati huu wapenzi na mashabiki wa mpira Tanzania na duniani kote kwa ujumla, Leo ningependa nitoe maoni yangu kuhusiana na Manchester United kama ifuatavyo:– Mpira wa sasa ni tofauti na...
4 Reactions
12 Replies
913 Views
"Hawana hela wasije Uwanjani kwa Mkapa na kutia huruma kwa kusimama katika uzio kwani hawatoingia," Ahmed Ally msemaji wa Simba SC alipokuwa hewani mubashara EFM Radio asubuhi ya leo. Nikiwa kama...
7 Reactions
12 Replies
2K Views
Najua wengi Jana tuliuangalia mpira wa Mamelody vs Al AHLY lakini ni wachache tulioangali Kwa jicho la tatu na kung'amua vipaji haswa katika kikosi kile. 1. Kuna beki mmoja wa kati kitasa haswa...
6 Reactions
76 Replies
6K Views
1. Abdultwalib Mshery 2. Kibwana Shomary 3. Nickson Kibabage 4. Gift Fred 5. Bakari Mwanyeto Magwaya 6. Jonas Mkude 7. Jesus Moloko 8. Zawadi Mauya 9. Hafidh Konkoni 10. Crispin Ngushi 11. Denis...
6 Reactions
90 Replies
8K Views
Klabu ya Yanga imetozwa faini ya Sh 2,000,000 kwa kosa la mashabiki wake kurusha chupa za maji kiwanjani baada ya timu ya Ihefu kufunga bao la pili. Pia kwa kosa la maofisa wa benchi la ufundi wa...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Mechi ya kwanza ya nusu fainali inayowakutanisha wapinzani wawili Al Ahly na Mamelody. Kwenye h2h takwimu zinambeba Mamelody Mechi 5 za mwisho walizokutana, Al Ahly hajapata ushindi wowote zaidi...
7 Reactions
223 Replies
30K Views
Mpango unafanyika baada ya Staa huyo wa Paris Saint-Germain kuijulisha klabu yake kuwa anataka kuondoka licha ya kuwa amesaliwa na mwaka mmoja katika mkataba wake. Neymar alijiunga PSG kwa rekodi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…