Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Siku hiyo ndiyo mtajua kuna tofauti tofauti Kubwa kati ya Kumkaribisha Mgeni 'Kienyeji Kienyeji' katika Park Yard ya Training Ground na Kucheza Kandanda Safi la 'Pira Objective' na ile ya...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Nimeishuhudia Aly ahly kwenye mechi takribani 4 za kiushindani na nilitaka nijiridhishe zaidi kimbinu na kiufundi namna awa mabingwa wa kihistoria wa afrika wanavyocheza kwa sasa, na nilisubilia...
3 Reactions
8 Replies
964 Views
Baada ya 1st leg kumalizika kwa Mamelody kuibuka na ushindi wa bao 1-0 leo ni mchezo wa pili wa marudiano. Mechi inayarajiwa kuwa ngumu kwa dakika zote. Muda wa mechi ni 21:00 Kikosi cha Al...
11 Reactions
352 Replies
23K Views
Ukinipa Joyce lomalosa na kibwana Shomari Basi NALIA NGWENA nitakwenda na kibwana Shomari bila wasiwasi. KIbwana Shomari ni moja kati ya kitasa kilichochongwa na Prof wa mpira na si mwingine Prof...
8 Reactions
48 Replies
2K Views
Team ya wydad Casablanca imetinga hatua ya final ya AFL baada ya kuiondoa Esperance ya Tunisia Sasa Wydad itamngoja mshindi baina ya Al Ahly na Mamelody Uzito wa mechi unaonesha wazi kabisa team...
4 Reactions
57 Replies
4K Views
Jambo wanamichezo na wadau wa football kwa ujumla, NALIA NGWENA the great thinker, mkombozi wa fikra mpya kama mnavyoniita Wanajamiiforums wenye upendo wa dhati, leo naleta hoja kidogo kuhusu...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
π——π—˜π—–π—˜π— π—•π—˜π—₯ 11𝗠𝗔π—₯π—₯π—”π—žπ—˜π—¦π—› Usiku wa Tuzo za Caf 2023.Wananchi tunakwenda kukusanya tuzo zetu Kama ifuatavyo. 1:Mfungaji bora Caf confederation cup.√ 2;Kipa bora√ 3;Goli bora√ Hapa bado ile ya Club...
8 Reactions
31 Replies
1K Views
Match ipo dakika ya 80 Magoli ya Azam yamefungwa na Kipre Jr Silla Allasane diao Kijana wetu bora Fei toto katoa Assist moja safi sana.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Rais wa heshima wa Simba SC Mohamed Dewji jana alitangaza kuteua wajumbe wa bodi ya Baraza la Ushauri la klabu hiyo. Kufuatia uteuzi huo, mchambuzi wa soka Geoff Lea amehoji Wajumbe hao wanaenda...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Wakuu, hawa Azam TV wananichanganya kuhusu nani hasa ni kocha mkuu wa timu ya Azam. Msaada tafadhari.
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Klabu ya Simba SC imetangaza kuingia mkataba wa miaka (3) na kampuni ya Serengeti (SBL) Plisner Lager wenye thamani ya Tsh 1.5 Billion. "Ni ubia wa nguvu kabisa, ubia wa Simba wawili. Hii ni...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
Toka tarehe 27 October 2023, kampuni ya michezo ya kubashiri betpawa inashindwa kutoa (withdraw) pesa kwa wateja wake. Changamoto hii mpaka sasa bado ipo, kiasi kwamba kuna baadhi ya wadau wana...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Balozi wa Uingereza leo alizotembelea timu za Simba kule Bunju na Yanga Jangwani, ilipofika aliulizia Makombe na Medali za Kimataifa, kule Bunju hakupata Kombe wala Medali bali Ahmed Ally akawa na...
20 Reactions
96 Replies
3K Views
"Madhaifu makubwa ya Simba yapo kwa Henock Inonga, ni mchezaji anayependa kukokota mpira na kujaribu kupiga chenga ambazo mara nyingi huwa hazina faida kwa klabu kwa maana ya kimbinu." "Huwa...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Baada ya Francis Nganou kumtandika Lineal Champion ambaye pia ni WBC Super heavyweight champion of the world Tyson Fury (Gypsy king) licha ya kufanyiwa dhuluma ya waziwazi na majaji naona Francis...
0 Reactions
2 Replies
489 Views
Ni katika pambano la Masumbwi lililofanyika jana usiku katika ukumbi wa Boulevard Hall, katika jiji la Riyadh nchini Saudi Arabia. Watu wengi Duniani katika kurasa mbalimbali za mitandao ya...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanajf, leo kuna pambano kubwa duniani kati ya Mweusi Ngannou na Mzungu Fury. Ni pambano kubwa na la kusisimua. Wewe kama mpenzi wa ngumi, ushindi unampa nani? ===== Muktasari: Leo Oktoba 28...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Ebu kabla haujaanza kubishana kwa sababu ushabiki wako kwa Messi, nipatie stats au details za kiwango bora(zaidi ya kushinda kombe la dunia ) ambazo zitamfanya Messi awe tena mshindi wa ballon...
6 Reactions
164 Replies
6K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye usiku wa utoaji tuzo za Ballon jijini Paris, Ufaransa, leo Oktoba 30, 2023. === Ballon d'Or ni tuzo inayoheshimika sana katika ulimwengu wa kandanda, iliyoanzishwa na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…