Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

MCHUNGAJI MASHIMO ATOA TAMKO BAADA YA AHMED ALLY KUMKATIA SIMU "Nimeona watu wa simba wanajisifu wapo juu wamesahau kuna mtu aliewafanya wawepo hapo juu, wamesahau kwamba mimi ndio nlisema simba...
9 Reactions
100 Replies
5K Views
Timu hii ya Simba inayo kazi moja tu, Kujenga Uwezo wa kushinda game. Sisi zote ni mashahidi, kwenye timu hii, nia ipo, nguvu ipo, ari ipo, kasi ipo, tatizo ni uwezo mdogo sijui ni wa kufikiri au...
3 Reactions
6 Replies
551 Views
Majirani zetu Wakenya na Waganda kupitia mitandao ya kijamii wapongeza namna Tanzania ilivyoandaa sherehe za ufunguzi wa African Football League na kushauri Tanzania ipewe sherehe za ufunguzi na...
24 Reactions
34 Replies
4K Views
Ukiliangalia kwa umakini utagundua kubwa Simba ina timu isiyoweza kufurukuta kwenye mashindano makubwa ya kimataifa. Kikosi chake ni dhaifu sana hasa katikati na nyuma. Hawana mlinda mlango wa...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Nilikuwa nawashangaa sana mashabiki wa hii timu walivyokuwa wanatamba sana mitaani wakijiapiza kumfunga Aly ahly goli za kutosha! Lakini kwa wale wanaojitambua tulikuwa tunajua madhaifu ya...
9 Reactions
58 Replies
3K Views
Habari wakuu, Shida ni nini pale Simba, kwanini hatupandishi mashambulizi na tukipata mpira tunacheza sana pasi za nyuma. Kipindi cha pili ilibidi mpaka Che Fondoh Marlone awe anapandisha...
0 Reactions
6 Replies
504 Views
GENTAMYCINE najua kuwa Kipa Aishi Manula anakula na baadhi ya Viongozi Waandamizi wa Simba SC na ndiyo maana hata akiharibu analindwa nao kwa nguvu Kubwa. GENTAMYCINE najua kuwa Kipa Aishi Manula...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Kwa waliofuatilia mpira wa jana kati ya Simba vs Al ahly nani mnyama?. Wewe ubashiri wako ulimpa nani?. Mimi nilimpa simba pale sokabet bwana nikiwa na uhakika atamuua mwarabu. Lakini tuipe...
1 Reactions
2 Replies
337 Views
Hi everyone... Jana ilikua uzinduzi wa michuano mipya na mikubwa zaidi kwa sasa barani Afrika yaani Africa football league... Sherehe zilifana sana, watu walijitokeza Kwa wingi Sana tena mapema...
8 Reactions
12 Replies
803 Views
Habari wakuu, Hutakiwi kuwa kwenye tension kwa kiasi kile, na hatukuwa na haja ya kuwa panic kwa kuwa tayari tulikuwa tukiongoza kwa bao mbili zidi ya upinzani. Unapopanic unasababisha loose ya...
0 Reactions
5 Replies
348 Views
Ndugu zangu wa TANESCO na Wizara yenye dhamana ya Nishati nchini leo ni Ufunguzi wa Mashindano ya AFL yanayozinduliwa hapa kwetu Tanzania. Ninyi wote mnaohusika ni wenzetu na tunaishi nanyi...
4 Reactions
15 Replies
878 Views
Wala simlaumu Kipa Ali Salim kwa Kufungwa Goli zile Mbili ( hasa lile la Pili ) kama ambavyo Wengi wenu mnamlaumu ila GENTAMYCINE nalia na Beki wetu Henock Inonga ambaye zaidi ya mara Mbili hapa...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Wadau Baada ya kukesha usiku mzima nikipiga Dua Ili timu yetu ( ayubu fc) ishinde Chaajabu asubuhi hii nimejiegesha kidogo huku usingizi ukinichukua ... after while nimeota ndoto Kuna watu...
8 Reactions
49 Replies
2K Views
Mimi ni die fan wa Young African, timu yenye soka safi East Africa 😃 na mabingwa wa makombe Tanzania Bara kama hautaki meza godoro, lakini pia napenda sana music na nina-sikio zuri sana kwenye...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Sina mengi, lakini nimesikitishwa na kilio cha haji Manara. Huyu ni mtanzania mwenzetu, analipa Kodi na anayohaki ya kuishi kwa uhuru ikiwemo ukiendesha biashara halali. Lawama zake anazielekeza...
11 Reactions
41 Replies
4K Views
Mpira umekuwa ndio dini yetu rasmi Watanzania. Umetufanya na unazidi kutufanya kuwa wapumbavu kupindukia. Sisi ni kizazi kilichopotea kina tangatanga kama kuku aliye katwa kichwa. Uwepo wetu...
12 Reactions
44 Replies
2K Views
Rekodi za Rivers United inayoenda kucheza na Yanga Kombe la Shirikisho CAF Champions League: 2 appearances 2017 – First Round 2022 – second Round CAF Confederation Cup: 3 appearances 2017 –...
4 Reactions
19 Replies
4K Views
Muwekezaji wa Simba Mohamed Dewji ameshare picha ya pamoja katika mtandao wa twitter akiwa pamoja na raisi wa FIFA Giani Infantinno huku ikisemekana kuwa Rais huyo wa shirikisho la soka duniani...
8 Reactions
35 Replies
3K Views
Naona Kuna watu wanajizima data. Matokeo ya Simba yanawafanya Wanajisahau kwamba muda si mrefu Hawa jamaa watarudi Tena bongo. USHAURI: KUWA NA AKIBA YA MANENO NI JAMBO ZURI SANA, JITAHIDI...
9 Reactions
25 Replies
1K Views
Back
Top Bottom