Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Majira ya saa 1:00 usiku, mabingwa watetezi wa taji, Yanga SC watashuka dimbani kumenyana na Azam Fc katika muendelezo wa ligi kuu ya NBC. Yanga itashuka dimbani kutafuta alama 3 huku Azam Fc...
1 Reactions
604 Replies
32K Views
Ahmedy Ally anawadanganya Sana wanasimba na kuwaona kuwa ni wajinga na wasiojua chochote kuhusu mpira. Kama tu kumfunga Power dynamo ulishindwa alipokuja nyumbani kwako je utaweza kumfunga Al...
3 Reactions
5 Replies
552 Views
Mlete mthunguuu Ni muda wa wanamichezo kufurahi na memes zetu za kimichezo
7 Reactions
52 Replies
3K Views
Nyota wa Real Madrid, Vinicius Junior ametoa pongezi kwa Sevilla kwa kuchukua hatua haraka kumtoa na kumripoti shabiki wake kwa mamlaka kwa madai ya kumtusi kwa ubaguzi wa rangi. Taarifa ya...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimefatilia mashindano ya AFL ambayo kimsingi yanahusisha team ngumu zaidi za Africa. Katika kuangalia kwangu naona kiwango Cha Yanga na Simba kwa hivi Sasa wanaweza kucheza na team yoyote Ile na...
4 Reactions
21 Replies
724 Views
Mama alitangaza goli moja sh mil 10. Bila kusema kwamba hiyo hela ni timu ikishinda tu, baada ya kuona simba imeshinda magoli mawili Msigwa akatangaza hela ni timu ikishinda tu. Tunajua mama ni...
10 Reactions
76 Replies
5K Views
Nasikitika kwamba siwezi kununua jezi kwa sababu huku mikoani zimejaa jezi ambazo hazina kiwango. Kuna mahali ilifikia nikaamini huenda wapinzani wanazalisha jezi za hovyo ili kuharibu brand ya...
1 Reactions
1 Replies
384 Views
Kocha wa zamani wa Arsenal ambaye kwa sasa ni Mkuu wa maendeleo ya soka wa FIFA, Arsene WENGER tayari ametua nchini Tanzania kwa ajili ya kuitazama mechi ya ufunguzi wa Mashindano ya African...
11 Reactions
32 Replies
5K Views
Jana tumeshuhudia kwa macho yetu Uwanja ukiwa mtupu maeneo mengi na hata baada ya ile fungulia Mbwa ya saa 11 jioni ili watu wajaze Uwanja but still Uwanja haukujaa. Ahmed Ally na viongozi wako...
12 Reactions
117 Replies
7K Views
Kwa kuwa Yanga wana mechi na waarabu wa Sudan AL-HILAL nikalazimika kwenda kupekuwa pekuwa kwenye kumbu kumbu za CAF kama Yanga wamewahi kufanya jambo lolote dhidi ya waarabu hapo Taifa...
6 Reactions
24 Replies
3K Views
Haya ni maoni ya mchambuzi maarufu kwenye kituo flani Cha redio "Hawa Al Ahly[emoji1093]siku wakikutana Yanga SC[emoji1241]pale kwa makapa watapasuliwa za kutosha kwa sababu kuna muda wanajisahau...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Sijawahi kuona watu wanaumia kiwango hiki. Hili timu wanafanya kila wawezalo kujilinganisha na Simba na kutaka wawe juu ya Simba ila kila wakijaribu wanakwama. Wanaumia Simba kutoa sare na...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Baada ya kushuhudia match ya ufunguzi wa michuano bora hapo jana kwenye dimba la Benjamín Mkapa Ufunguzi wa michuano yenye thamani zaidi Africa inayojulikana kwa jina la African Football League...
10 Reactions
144 Replies
10K Views
Ni mimi pekee naona hafai kuwa msemaji wa club? Sijui, naona kama hafai. Hana hamasa. Sijui ni muonekano wake wa kishamba au sauti? What's ur views?
0 Reactions
38 Replies
2K Views
Nilishangaa sana kuimbwa kwa nyimbo yenye maudhui ya mke mtu sumu kwenye ufunguzi wa jukwaa kubwa kama la African Football League linalotazamwa na dunia nzima. Kuweka nyimbo za vigodoro kwenye...
4 Reactions
50 Replies
3K Views
Nina uhakika na najua Wengi wenu Kiufundi hili hamkuliona na kuna baadhi hamtonielewa kwani inahitaji Jicho la uhakika Kuliona na Kujua. Mpaka hivi sasa ( yaani leo hii ) najiuliza nini kilimkuta...
9 Reactions
35 Replies
4K Views
Kazi inaenda kumalizika Misri, Tukitumia mapungufu waliyoonyesha hapa kwa Mkapa tunatoboa Al Ahly ni wepesi tu, tunawaweza
16 Reactions
73 Replies
5K Views
Hii ni mara ya pili hawapeani mikono kila wanapofanyiwa substitution hawapeani mikono kabisa. Simba vs Coastal Union Kapombe na Mwenda walipishana kwa mbali Sana. Na game ya Simba SC vs Al Ahly...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Kuna siku nilikuwa nabishana tu na mfanyakazi wa Azam, nilimwambia kwamba kamera za HD wanazotumia Multi Choice ni tofauti na wanazotumia Azam, na wanazotumia Multi Choice ni tofauti na zile...
10 Reactions
25 Replies
2K Views
Back
Top Bottom