Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mawinga wa Al Ahly wa kushoto na kulia watawauliza maswali magumu sana Shomari kapombe na Zimbwe Jr. Fabrice Ngoma na Muzamiru (kiungo Punda) watakua na kazi kubwa na ndiyo uchochoro utakao...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
Hawa wachezaji wawiili bado wanauhasama kabisa inaonyesha bado wanadukuduku mioyoni mwao. Angalia pale anapotoka kapombe huwa hawapeani mikono wala kukumbatiana hii ni hatari kwa timu ya simba
0 Reactions
3 Replies
951 Views
Habari zenu. Kuna vitu vya msingi vya kufanya hapa dunia sio kila mda mnaongelea mpir,mpira tu, Nawapa ushuhuda wangu mwanzoni nilikuwa na chukua dakika 6 kupiga bao la 1 ila baada ya...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Salam JF, " Siwezi sema nina furaha sana nikiwa hapa, ndoto zangu siku moja niwe moja kati ya wachezaji wakubwa Afrika, na naamini hili nitalifanikisha nikiwa timu na bora yenye kushiriki...
0 Reactions
8 Replies
997 Views
Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri. Mechi...
32 Reactions
2K Replies
88K Views
Kwasisi wachambuzi Kila tukiitazama hii mechi unaona inabend upande mmoja yaani Ayubu fc watakula nyingi. Possibility ya Simba kushinda ni sawa Taifa stars kuchukua Kombe la AFCON Al ahly Wana...
12 Reactions
75 Replies
3K Views
Leo nmerudia kutazama mechi ya Al ahly na Simba kwanza niwapongeze Wana Simba Kwa kuhimili mikikimikiki ya waarabu japo wangekua makini Al ahly wangeshinda goal 7 Back to the topic Magoli...
6 Reactions
76 Replies
4K Views
Ukibisha unataka tu Kubisha ila Al Ahly FC wako dunia yao Kimpira kwani Wanajua na wataendelea Kuujua kutokana na Kujipanga Kwao katika kila Sekta. Kama si bahati jana ( na nahisi hata Babu yetu...
25 Reactions
52 Replies
6K Views
Maadui wa mnyama SIMBA hasa baadhi ya wanayanga wasiojitambua waliomba dua zote SIMBA ifungwe Wakafanya kila aina ya fitina mpaka majungu na masufuria bila kusahau ulozi. Mpira una matokeo matatu...
28 Reactions
56 Replies
3K Views
Huyu Pasta keshakula Sadaka ya Asha Bakari buree na ushindi haujapatikana 😆😆😆😆😆 ASHA BARAKA AIOKOA SIMBA KWA KUTOA SADAKA Mchungaji mashimo aibuka tena kwa kuitabilia SIMBA kushinda leo baada ya...
0 Reactions
5 Replies
692 Views
Lengo nione Ligi ya Ulaya kama England na Ligi Kuu hapa Tanzania. Hawa jamaa hapa dukani kwao wauza madishi siwaamini, nataka ninunue dishi. Au la ninunue DStv?
0 Reactions
43 Replies
2K Views
Kikosi cha Simba kimeondoka jioni ya leo kuelekea nchini Misri kwenye mchezo wa marudiano siku ya jumanne. Wengi wametoa tathmini zao, wengine wakimshambulia Somba Onana wakisema hana hadhi ya...
1 Reactions
6 Replies
723 Views
Mtangazaji maarufu pale mjini usafini .....haya ni maoni yake "Sitaki kuwa Mnafiki Siioni Simba ikishinda Mchezo wake Dhidi ya Al Ahly Tayari Nimebeti Al Ahly wanashinda Dhidi ya Simba SC, na...
6 Reactions
50 Replies
2K Views
Leo hii tu ndani ya mechi 6, 4 watu wamekula umeme .. Ngoja tusubiri London dk ngapi zijazo kama kutakua salama.
0 Reactions
0 Replies
231 Views
Hiki ndio kinakwenda kutokea michezo hiyo ikikamilika kuchezwa nyumbani na ugenini. Simba atatolewa, kisha Yanga atakuja kumtoa AL Ahly. Yanga atashinda mchezo mmoja nyumbani au ugenini, na...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Black Engineering kutoka nchini Italia Massimo Fogliati ambao...
2 Reactions
6 Replies
407 Views
Habari wakuu, Nadhani imefikia pahala Simba haina budi kutafuta suluhisho za beki hizi kongwe zitokazo pembeni. Hii kutokana na kuchoka kimwili mpaka kiakili haswa linapokuja suala la maamuzi...
8 Reactions
33 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Piga kura hapa ili tumalize huu utata humu jukwaani, timu gani ina mashabiki wengi kati ya Simba (Wenye nchi) na Young Africans/Yanga (Wananchi)? Usipoteze kura yako.
8 Reactions
70 Replies
3K Views
Sijui ni mimi tu ninaye liona tatizo hili lililopo Simba, kiufupi Kapombe amekuwa tatizo kwenye safu ya ulinzi ya Simba. Sijui ni kiwango kushuka au kuna mambo hayamuendei sawa kwenye familia...
12 Reactions
47 Replies
4K Views
Wadau wa vitasa, hii siyo ya kukosa. Je Volkanovski atalipiza kisasi leo? Au Warussi wataondoka na ushindi kwa mara ya pili? Majibu ni leo usiku mida ya saa tatu ya kibongo [East Africa Time...
1 Reactions
2 Replies
311 Views
Back
Top Bottom