Ni kama Simba sc haikwenda kushinda ule mchezo ila makosa ya wachezaji baadhi yakapekekea Simba sc kuondoka na ushindi,.
1. Baleke: Nimeona magoli aliyeshinda huyu jamaa nikama vile...
Utasikia mara oh, SEMAJI la CAF. Kwa kizungu ina maana ya SPOKES PERSON wa CAF. Hii nafasi kaipata lini? Au tuseme, Afisa MAELEZO wa CAF. Kapata lini ajira hiyo? Au ni pale tunapodhihirisha kwamba...
Wale mnaosema Haaland ni bonge la mtu basi mje muone jitu la miraba minne huku.
Pichani ni mcheza kikapu wa NBA ambaye ni Msenegal akiwa na wachezaji wa Man City akiwemo Haaland.
Msimu ulioisha alimkanyaga teke la usoni kiungo wa Yanga Sure boy nusura amuuwe na refarii alimwangalia tu. Hata kamati ya nidhamu ya TFF nayo haikuto adhabu yoyote.
Tulipiga kelele sana...
Muda mfupi baada ya kuondoka Singida Fountain Gate FC, Kocha Ernest Middendorp ameweka wazi sababu ambayo imemuondoa kwenye klabu hiyo.
Akizungumza katika mahojiano na Mtangazaji Robert Marawa...
Mfumo wa Robartinho hautaki uchezaji wa aina Clatous Chama na Moses Phili. Chama anafunga kwa kutumia juhudi zake binafsi sio mfumo wa Robertihno. Kocha anataka mpira wa kasi tofauti na Chama na...
Baada ya gemu ya jana mashabiki wa Coastal Union wamejitokeza na kutishia kusoma albadir viongozi wao kwa maelezo yao kwamba wameuza gemu.
Shabiki mmoja akiongea kwa uchungu amenukuliwa akisema...
Hawa marefa wataibeba Simba paka lini? Mbona tunaona wachezaji wengine wakifanyiwa rafu mbaya ila hatuoni red card zikitolewa?
Rejea mchezo wa jana kati ya Yanga vs Namungo Lomalisa Mutambala...
Mambo yanazidi kuwa magumu kwa Man Utd chini ya ten Hag.
Style of play hakuna, team's identity hakuna, the drive and force ya wachezaji hakuna.
Ni jembe yupi ungependa achukue usukani pale Man Utd.
Habari Wana jf
Leo nmefaikiwa kufanya utabiri Kwa kumtumia mdudu Kwa kinyakyusa anaitwa (sonda kipake).
Ni mdudu (buu) in English (pupa) anajifungia kwenye vijiti vidogo vidogo vilivyotengenezwa...
Leo saa 10:00 jioni Simba SC itakuwa kibaruani kucheza dhidi ya Coastal Union katika dimba la Uhuru Dar es Salaam.
Ni mchezo wa raundi ya tatu ya NBC Premier League ambapo kila timu inahitaji...
Mashabiki na wapenzi wengi wa Yanga watapata kisukari kwa utamu wanaoupata kutoka Yanga....hili ni tatizo lidhibitiwe.
Lakini pia wale wa upande wa pili Wana kila dalili ya matatizo ya afya ya...
Natoa pole kwa beki wangu Inonga Baka, kitendo kilichofanywa na Hijja Ugando mchezaji wa zamani wa Simba hakikuwa cha makusudi wala dhamira ovu, Ugando alikuwa katika pilika za kumtoka Inonga ili...
Kila msimu kumekuwa na wachezaji kutoka timu ndogo wanaoonekana wametumwa kwa kazi maalum ya kuumiza key players pale Simba.
Kwa mujibu wa msemaji wa Coastal, kuna watu undercover walikuwa nyuma...
Droo ya kupanga makundi fainali za Afcon 2023 zitakazofanyika nchini Ivory Coast mwakani itafanyika Oktoba 12 na Tanzania ipo katika pot 4 na timu za Guinea Bissau, Msumbuji, Namibia, Angola na...
Yes hakuna anayebisha Coastal wagosi wa kaya waja leo waondoka leo ni tawi la Simba, Simba wakiwa wanauhitaji wa magoli yoyote au pointi tatu mbele ya Wagosi andika vema lazima malengo yao...
MABAO mawili aliyofunga dhidi ya Power Dynamos huko Zambia, yamemfanya Clatous Chama azidi kuinyemelea rekodi ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa Ligi ya Mabingwa Afrika inayoshikiliwa na nyota...
Kwa mara ya kwanza Getafe wameuza jezi nyingi zenye jina la Mason Greenwood mgongoni ndani ya wiki moja kuliko walizouza kwa mchezaji yeyote katika historia ya klabu hiyo.
Mkopo wa Greenwood huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.