𝗠𝗔𝗪𝗔𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗧𝗨 𝗬𝗔𝗛𝗘𝗦𝗛𝗜𝗠𝗜𝗪𝗘
Almost tunamaliza mwaka chini ya Robertinho lakini mpaka sasa hatuna identify ya mpira tunao utaka, hatuna kikosi cha kwanza na wala hatuchezi vizuri.
Msimu ulio pita...
"Tunaenda kucheza mchezo mzuri, hayo matokeo hatutaangalia kimsingi hata tukipata hayo matokeo Ila tuonekane tumecheza vizuri".
But kila la kheri Namungo
Ronaldo Luis Nazario Délima mzaliwa was Rio Dejaneiro mnamo 1976 September 18 ni Moja kiumbe hatari na gwiji la kihistoria katika Mchezo wa soka ndani na nje ya Brazil kuwahi kutokea.
Kati ya...
Najua ukiwa chizi huwezi kuona kweli nyingi zaidi ya kuwa na picha ya uongo kuhusu we mwenyewe. Kuna magonjwa ya akili yanasababisha kitu kinachoitwa "Delusion of grandeur", mtu kujisikia ni...
Mechi za karibuni Simba imeshinda au imetoa sare.. haijapoteza.. Sasa matusi yalenga nini!?
Yaani kinachoumiza Simba ni matokeo ya yanga.. Ina maana kwa kiwango hiki cha Simba na ingetokea yanga...
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ametoa kicheko hicho alipoulizwa swali wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kiwango cha wapinzani wao, Manchester United jinsi walivyoanza msimu...
Kuna taarifa za kusikitisha za vifo vya mashabiki wa Namungo wakielekea Dar kwenye match ya Yanga vs Namungo Leo ambapo gari lao lilipata ajali njiani
Leo mabingwa yanga watakutana na namungo saa...
Msemaji wetu ni hodari wa maneno akasema kipa wetu anaweza kusoma gazeti wakat mechi ikiendelea.
Sasa imekuaje karuhusu goli 2 na hata gazeti lenyewe hakusoma!
Je, akisoma gazeti itakuwaje siku...
Aisee huyu kijana sijajua kama anatafuta Kiki au Coastal Union imebadilika kiasi hiki, kwamba Mwinyi Zahera ameibadilisha Coastal au uwepo wachezaji wa kigeni umeibadilisha Coastal au uwepo wa...
Tayari umeshajulikana na Uongozi umeita Wazee Kusoma Kitabu kwa Wachezaji wote Wazawa Washirikina ( wale wale ) wa kutoka Zanzibar waliosoma Kitabu Kipindi kile cha Simba Taliban ( waliokuwa...
Wakuu kwa mara nyingine nipo hapa kwenye jukwaa la michezo kushea mawili matatu kuhusu mambo ya michezo na mazoezi. Kuna mwamko mkubwa sana wa wananchi kupenda michezo na kujihusisha na matukio...
Waziri wa michezo wa Rwanda Akipokea kwa niaba ya Raisi Kagame .
https://m.youtube.com/watch?v=OKCQOPb1DkM
Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said mapema leo ametoa zawadi ya jezi kwa Rais wa Rwanda...
Lile garasha limesajiliwa billion 3. ($1.3 milion).
Mishahara ya wachezaji Yanga Ni bilion 2.7 kwa mwaka (ndio kikosi Bora kwa Sasa Tanzania)
Izo ela za kumleta huyu jamaa katoa mo na kamtuma...
Kutokana na ubora wa Yanga natamani kwenye hatua ya makundi ipangwe kucheza dhidi ya Mamelod sundown, Al Ahly au Raja casablanca.
Tusipangiwe na vitimu vya Simba, Power dynamos au Bamako
Moja kati ya sifa kuu ya kocha mzuri basi Lazima ajue kupanga kikosi kinachoanza mechi. Sasa huyu mbwiga hajui hata selection ya fist eleven yake.
Kocha Hana mbinu, hawezi kusoma mchezo kadri...
𝐑𝐄𝐒𝐏𝐄𝐂𝐓 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐍𝐂𝐇𝐈[emoji617]🫡
Dakika ya 12 ya mchezo wetu wa Jumatano dhidi ya Namungo FC, tutasimama kwa Dakika 1 kuwashukuru Wanachama, Mashabiki na Wapenzi wa Klabu yetu waliosafiri kwenda...
"Aubin Kramo anasumbuliwa na goti, huenda tatizo lake lilianzia ASEC [emoji1081] lakini limekuja kujitokeza Simba. Tumempa ruhusa kwenda Nchini kwao (Ivory coast) kujitibu zaidi kisha atarejea...
Mtanzania Novatus Miroshi ametua Ukraine katika Klabu ya Shakhtar kwa mkopo kutokea zulte waregem ya ubelgiji.
Hii itampa fursa ya kukipiga UEFA ambapo wamepangwa na barca, porto na royal antwerp...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.