Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Winga Jadon Sancho amedai sio kweli kuwa amekuwa hapati nafasi ya kucheza kwenye kikosi cha Manchester United kwa sababu hajaonesha kiwango kizuri kama kocha wake, Erik ten Hag alivyodai bali...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
𝙃𝘼𝙏𝙐𝙆𝙐𝙈𝙐𝙄𝘽𝘼 𝙉𝙂𝙊𝙈𝘼' Akizungumza na AzamSports , Try again amesema kuwa, vilabu vingine vinataka umaarufu tu kupitia Simba. Simba SC haikumuiba Fabrice Ngoma Airport, tayari walikuwa...
5 Reactions
23 Replies
3K Views
Ideology na a mastered system hadi sasa havija onekana. Chemistry ya team, utambulisho na team plan ya hadi sasa havionekani kuwa vimeshawekwa kimkakati. Usajili wa Antony, ulikuwa ni moja ya...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
=== Greatest of all time Leo ni Sikukuu ya Soka. Mnyama Mkubwa Mwituni. Simba SC itakuwa ikishuka dimbani kuwakabili Singida FG FC katika dimba la Mkwakwani pale jijini Tanga. Simba ambayo...
23 Reactions
1K Replies
61K Views
Mimi huwa napenda kuobserve sana mambo, kwa hiyo mtanisamehe nikiwa naleta hoja ninazoitaga "hoja fukunyuku". Mechi ya kwanza lazima wangetaka iwepo Al Alhy au Wydad. Nimeedit huu uzi baada ya...
7 Reactions
45 Replies
3K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa kocha msaidizi wa Manchester city mikel arteta atakuja kuwa kocha mkubwa hapo baadae kutokana na vitu vifuatavyo. 1. Kuimudu kwa asilimia zote nafasi ya kumshauri...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
N the space of 24 hours for Manchester United: Reports that the Glazers aren't now selling up United fans' favourite CB gets injured 3-1 loss to Arsenal ten Hag calls out £73m Jadon Sancho in an...
1 Reactions
2 Replies
614 Views
Wamiliki hao wa klabu hiyo ya England wanatarajiwa kuchukua uamuzi huo kutokana na Wanunuaji kutofikia kiwango cha bei ambacho wanakitaka, ambapo wao wanataka Pauni Bilioni 10 (Tsh. Trilioni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Narudia tena, hakuna makundi ni mtoano mpaka mwisho!! African Football League (AFL) The draw for the Inaugural AFL competition...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri! Kiufupi ni...
7 Reactions
47 Replies
5K Views
Yanga wamekuwa na tabia ya kuomba mechi zao ziahirishwe pale wanapokuwa na mfululizo wa mechi . Ni juzi juzi tu hapa tulikuwa tunajadili ni kwa nini mechi ya Yanga vs KMC iliahirishwa ilhali Yanga...
6 Reactions
29 Replies
3K Views
Yanga atacheza na El Merreikh katika uwanja wa Kigali Pele ambao Zamani ulikuwa ukifahamika zaidi kama uwanja wa Nyamirambo. Huu ni uwanja unaotumiwa zaidi na klabu ya Rayon na APR kwa nyakati...
13 Reactions
71 Replies
5K Views
Na hapa GENTAMYCINE nawaonya wazi kuwa acheni kudhani kuwa Winga Machachari Aubin Kramo karogwa na Yanga SC ila ukweli ni kwamba Karogwa na Mchezaji Mmoja maarufu wa Simba SC kipenzi cha Kocha ila...
7 Reactions
27 Replies
3K Views
Ni wazi sasa ligi yetu inazidi kukosa ubora, timu nyingi ukiacha Simba na Yanga, ni zinazidi kuwa dhaifu, angalia tu zinavyocheza mechi za ndani na za kimataifa. Azam imetolewa na timu kibonde...
20 Reactions
89 Replies
4K Views
Hatutaki baadaye kuja na zile swaga za kushiba makande ya mchana na kuanza kuangalia upepo umelalia wapi ndio mnaibuka! Inatakiwa tujue mapema hii timu ni ya aina gani ili kusudi tuweke...
25 Reactions
49 Replies
3K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika(CAF) limetangaza rasmi tarehe za kuanza kwa mashindano mpira wa miguu maarufu kama African Super League. Mashindano hayo yataanza tarehe 20 Octoba na...
7 Reactions
38 Replies
4K Views
Ni wazi mashabiki wengi wa Yanga wanaamini kazi imeisha, kilichobaki ni kumaliza kazi Dar. Mimi niko kinyume, kazi ndio imeanza, mpaka sasa hatuna deni na wachezaji wetu na benchi la ufundi kwa...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Sijui mmetolea wapi hili Jina Kuitwa Timu ya Taifa Uganda GIFT FRED mmewaonaje Waganda yaani mtu hajacheza toka aje anagugumia tu hata kumdhamini mmemuweka benchi wenyewe now mnasema Uongo Kaitwa...
0 Reactions
1 Replies
811 Views
Tutakuka hivi. Hawa tutawakalia hivi
2 Reactions
3 Replies
594 Views
Timu ya Soka ya Getafe ya Spain imemsajili mshambuliaji Mason Greenwood kutoka Manchester United kwa mkopo kwa Msimu mmoja Greenwood alisimamishwa Kucheza ligi Kuu ya Uingereza EPL tokea Januari...
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Back
Top Bottom