Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Nachotaka kusema. Ata bila ya mapungufu ya Arajiga Yanga walikuwa na nafasi kubwa ya kushinda leo. Lkn Kama mtu wa mpira nilijua mechi itakuwa nzuri nilitaka kuona jinsi Yanga wanavyofungua...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Yanga Wana Timu bora Sana Mechi Ya KMC Mkude, SUREBOY na Mwamunyeto walikuwa Jukwani, mechi iliyofwata waliingia kwenye kikosi moja kwa moja hii ni Players Quality Management kutoka kwa Gamondi...
5 Reactions
22 Replies
3K Views
TAARIFA KWA UMMA Kocha wetu Hans van der Pluijm hatutaendelea nae. Timu yetu itakuwa chini ya kocha Msaidizi Mathias Lule mpaka pale itakapoamuliwa vinginevyo. --- PRESS RELEASE RE; COACH HANS...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni vizuri pia kuweka kumbukumbu sawa kwa kutunza risiti, ni kwamba mabingwa wa kihistoria Yanga awakwenda kuweka kambi uturuki wala Misri bali waliweka kambi yao pale Avic town kigamboni Dar es...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Tulisha ambiwa tupige picha mapema msimamo wa ligi kabla mambo hayajabadilika Sasa mambo yashaharibika Kama hukupiga basi subiri msimu wa 2024/2025 Kwa Wanayanga haina haja kabisa.
3 Reactions
3 Replies
466 Views
Karibuni NBA fans, Let us share the joy and passion of this game. https://www.nba.com/
1 Reactions
17 Replies
489 Views
Mshambuliaji huyo raia wa Ubelgiji anatarajiwa kutua Roma kwa mkopo wa Pauni Milioni akiungana na kocha Jose Mourinho waliyewahi kufanya kazi pamoja miaka kadhaa iliyopita. Kukamilisha usajili...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wawekezaji nawasalimu kwa jina la 1x bet kazi iendele Nawakaribisha kwenye chanel yangu ya kushibisha mitaa na vijiji kwa odd 2 kila cku Join hapa 2️⃣ odds⚽️ #mitaa ishibe Odd ni bure siuzi...
1 Reactions
0 Replies
657 Views
Despite problems such as; 1. inconsistency 2. winning useless matches 3. poor leadership structure 4. talent wasteful club 5. no yearly plans 6. lack of football board members 7. ceo shule hana...
3 Reactions
8 Replies
826 Views
Game hio inachezwa leo pale Chamazi, mashabiki wa Azam karibuni kwa updates Kikosi cha team bora Azam FC. 0' match imeanza hapa chamazi 11' Dubeeeeeeee, Azam wanapata uongozi mapema hapa 35'...
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Kwa upande wangu naona ni thank you halali kabisa, Peter Banda aka "wonder kid" ni mchezaji mwenye kipaji kikubwa ila kipaji chake kikubwa hakijaisaidia Simba SC. Labda ni kutokana na majeruhi ya...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Hakika Sir Alex alikuwa mwalimu wa mpira. Siku kama ya leo, miaka 12 iliyopita, Sir Alex Ferguson aliiongoza Man Utd kuinyoa Arsenal 8-2. Ni pambano la kukumbukwa sana. Arsenal ilikuwa chini ya...
2 Reactions
5 Replies
798 Views
Gamondi na Robertihno ni makocha wa kiwango kikubwa sana kuwepo kwenye ligi ya Tanzania. TFF lazima ione namna nzuri ya kuzipongeza Yanga na Simba kwa kuthubutu kuleta makocha ya viwango hivi, pia...
3 Reactions
5 Replies
933 Views
Huu mpira unatisha paid za hapa na pale na mikakati ya magoli. Mimi Kama shabiki wa wanalunyasi nahamia Yanga. Nimechoshwa na masimango na maneno ya mo kutusimanga kuhusu hela zake huku tunacheza...
51 Reactions
72 Replies
4K Views
Siku Azam FC wanacheza na Bahir Dar nilishangaa sana aina ya uchezaji wa Feisal Salum (Fei Toto). Wakati wote alipokuwa anapiga mipira ya adhabu alikuwa ni lazima asogeze mpira mbele. Alipokuwa...
14 Reactions
17 Replies
2K Views
Je tumuweke kwenye kundi la kumpa muda? Tumuweke kwenye kundi la waliofeli? Tumuweke kwenye kundi la overrated? Majibu yote mkumbuke ndio kwanza ana miaka 21, twende kazi...
6 Reactions
49 Replies
5K Views
Inasemekana Aubin Kramo ameuomba uongozi wa klabu ya Simba wamruhusu aondoke kwenye klabu hiyo arudi kwao au wamtoe kwa mkopo kwa sababu kuna mambo hayaelewi kwenye timu hiyo, kila inapofika siku...
8 Reactions
26 Replies
3K Views
- Hivi ndivyo Erik ten Hag anakosea, siku zake zinahesabika Ange wa Tottenham amekuja juzi tu na team inacheza kwa kujuana lakin Man utd hakuna a uniform style. Team haina confidence, team...
1 Reactions
13 Replies
941 Views
Azam complex ni uwanja wa Azam, kama uchawi unacheza mpira Azam walikuwa na muda wa kufanya kafara zote kama Popoma mkuu anavyoamini uchawi unacheza mpira. Wakati Yanga wametulia kimya Avic town...
23 Reactions
41 Replies
3K Views
El Merreikh wameondoa kituo cha kazi pale Rwanda baada ya kufuzu hatua ya awali na sasa wamechagua kiwanja cha Morroco kama kituo cha kazi kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga. El Merreikh wanaona...
12 Reactions
51 Replies
6K Views
Back
Top Bottom