Al Merrekh ya Sudan baada ya kutinga hatua inayofata wameamua kutumia uwanja wa Rwanda kama nyumbani kwahivyo watakutana na Yanga tarehe 15/9/23.
Yanga kama atatulia anaweza fuzu kwa maana ana...
Mchezaji wat imu ya Taifa ya Wanawake ya Hispania, Jenni Hermoso amedai kuwa haikuwa hiyari yake kumruhusu Rais wa Shirikisho la Soka la Hispania (RFEF), Luis Rubiales kumbusu mdomoni baada ya...
Haya wale wale mliowaalika Simba Day ndio watakuwa Washindani wenu CAFCL baada ya kuwaondoa African Sports ya Namibia Kwa faida ya goli la ugenini.
CAF CHAMPIONS LEAGUE
FT: Power Dynamos 🇿🇲 1-0...
Vita ipo kwenye rasha rasha. Hiki ni kipindi cha kutanguliza migambo. Kuna migambo wanakufa kuna migambo wanajaribu kusogea.
Jeshi kamili lipo armory linajikoki
Katika dakika ya 7' tu mchezaji Max hakuwa na chaguo jingine zaidi ya kutoa zawadi kwa mashabiki wake waliojitokeza kwa wingi wakiwa kwenye style yake ya uchomekeaji wa Jezi.
Amini nakwambia! Unatumia pesa nyingi sana katika timu hii Wachezaji wanalipwa Kwa wakati wanakula
Ila sasa wanacheza ovyo ovyo, yaani mchezaji hana nguvu za kukimbia uwanjani ndo nini
Fukuza...
Yanga siipendi na ninaichukua hadi siku ya kiama lkn kwa namna nilivoiona El Merreikh Leo ikishinda kwa taabu na kwa vile El Mereikh itaanzia kwao na kwao wamechagua kuwa ni Rwanda, naamini...
"ROBERTINHO HAMTAKI NGOMA "
Inaelezwa kwamba Robertinho hafurahii kumtumia Fabrice Ngoma kwenye eneo la kiungo Mkabaji kwasababu sio eneo lake asilia na yeye anataka kiungo mkabaji asilia hivyo...
Cristiano Ronaldo alifunga hat-trick wakati timu yake ya Al-Nassr ikipata ushindi wao wa kwanza wa Saudi Pro League msimu huu kwa kuwafunga Al Fateh 5-0 Ijumaa hii usiku.
Mbali na RonaLdo...
Saivi inabidi kila mchezaji awhile deli la ice cream na ukwaju wakaauze maana ndicho walichonakiza
Haiwezekani timu inakila kitu afu mpira hauonekani
1. Uwanja
2. Pesa mishahara minono
3. Kambi...
Dakika 4 za awali, Manchester United ilikuwa nyuma kwa magoli 2-0 dhidi ya NottinghamForest wakati Arsenal ilikuwa nyuma kwa goli 1-0 dhidi ya Fulham.
Hadi filimbi ya mwisho ya michezo hiyo ya...
Mwenendo wa Yanga tangu msimu mpya uanze unafurahisha. Wamecheza mechi mbili kwenye Ngao ya jamii (vs Azam na Simba) bila kuruhusu goli (ndani ya dk 90), wakaja kucheza mechi ya awali ya ligi ya...
Timu ya Al Merikh ya Sudan imefanikiwa kusonga mbele hatua ya mtoano ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa faida ya bao la ugenini dhidi ya Otoho d'Oyo ya Jamhuri ya Congo baada ya kutoka...
Nadhani tumeona yaliyowakuta Azam jana, ila najiuliza ni kwanini timu za Tanzania zikienda matuta na timu za nje michuano ya kimataifa ni lazima sisi tupigwe?
Mara ya mwisho kushinda matuta sijui...
wakijikusanya kutoka Hotelini Kariakoo kwenda kucheza na Yanga Chamazi kwenye CAF sasa Angalia Mbwembwe za Upande wa Pili utadhani wanaenda kucheza na Mamelod hivi Zingatia Room hapa Bed &...
Hao Bahir ni kama Asas tu, hawana lolote, shida yenu walamba askirimu mmeuza uwanja, uwanja huo wameshauharibu watakaocheza kesho, hiyo Bahir ingekutana na Simba ya Fabrice Ngoma, mngeita maji mma...
MWANASPOTI linajua kabla ya jua kuzama leo Jumatano Juni 7, Feisal Salum 'Fei Toto' atatambulishwa rasmi ndani ya Azam.
Licha ya Azam kufanya siri, lakini Mwanaspoti linajua klabu hiyo...
Timu ya AL Nassr inazidi kujipatia Umaarufu mkubwa Duniani kutokana na Uwekezaji wake kwa namba mbili yaani CR7 na SM10.
Hawa viumbe wamejitengenezea Ulimwengu wao ambao unawapa kila...
Uwanja wa Chamazi sio mali yenu tena, mliowakaribisha hadi jikoni wameshauharibu uwanja huo, ndio maana wenzenu wameuchagua uwanja wa chamazi kama home ground, yaani Yanga wacheze uwanja wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.