Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) imesema linafanya uchunguzi baada ya kupata malalamiko kutoka kwa Wadau wa Cameroon wakitaka kuchunguzwa kwa mwenendo usiofaa wa Samuel Eto’o ambaye ni Rais wa...
Kwema Wakuu,
Na declare interest, Mimi ni mshabiki na mwanachama hai wa Simba Sport Club, hivyo Tahadhari na ushauri huu ninautoa Kwa nia njema kabisa Kwa lengo la kujenga timu yetu.
Watani zetu...
Habari wanajf
Simba inakuwa na shida sana hasa anapokosekana Chama, Chama analeta utofauti mkubwa sana kwenye kikosi mechi ya jana ilikosekana utulivu kuanzia katikati ya uwanja mpaka mbele...
Nashangaa mashabiki wa Simba na baadhi ya uto kuponda kiwango cha Simba bila kuangalia uwezo wa mpinzani wake.
Tukumbuke hii ni 2023 sio 2007, timu zimewekeza zinawachezaji wazuri tuu wenye hadhi...
Ligu kuu pendwa ya uingereza inaenda kuanza ijumaa hii, kwa wapenzi wa fantasy tupeane code za min league tuoneshane umwamba
Pia mwenye code ya east africa radio fantasy atupie hapa tujoin
Wengine hatutaki mikelele ya kina Sheikh Yahya Wa mitandaoni Juu ya nani atashinda kwenye Derby ya Kariakoo.
Tusubiri siku ifike tuone nani atakuwa mshindi.
Kumekuwa na huu utaratibu wa muda mrefu wa timu za Simba na Yanga kuhakikisha nahodha na wakati mwingine nahodha msaidizi ni Watanzania. Sijajuaga dhana hii ilijengwa kwa sababu gani ila naona...
Mchezaji wa Timu A akioneshwa Kadi Nyekundu ya moja kwa moja wakati wa upigaji wa penati kwenye mechi ya kutafuta mshindi, utaratibu unatakiwa kufuatwa baada ya hapo ni mchezaji wa Timu B mmoja...
Ni jambo lililokuwa wazi toka usajili wao mpaka leo wamecheza na singida big stars...kuwa simba hakuna walichosajili...ila ilikuwa ukifungulia redio au kila kituo cha TV wakizungumzia michezo...
Wakuu,
Imagine leo Simba pamoja na mafanikio ya kila aina ikiwemo ushindi na mpira safi leo alafu kuna mashabiki wanalalamika kwamba kocha kwanini hampangi Phiri!
Kweli game ya bonanza, pamoja...
Hali si shwari katika viunga vya Msimbazi kwenye unyama mwingi baada ya kujitokeza kwa hali ya sintofahamu juu ya mahusiano hafifu yaliyopo kati ya mchezaji Moses Phiri na Uongozi na pamoja na...
Kwa wale wapenzi wa mchezo wa Fantasy Premium League, huu utakuwa uzi wetu wa kubadilishana mawazo nakuona namna ya kupata hiyo nafasi ya kwende Uingereza kuangalia mpira game kadhaa za uchaguzi wako.
Ni picha la kutisha sana muuaji wa jangwani yupo tena kwa ajili ya kazi hiyo.
Hofu kubwa imetanda katika mioyo ya wana jangwani kwa kuwa hawajui hatma yao kwa sasa na wameanza kutumia njia yao...
Rushwa tunaona kwenye hii ya singida na simba. Inaenda kushusha adhi ya ligi yetu. Refa asipochukuliwa amna maana ya kuwa ligi bora.
Shameful shameful shameful, tunaomba huyu refa achunguzwe...
Beki huyo wa kati wa Manchester United, Harry Maguire bado hajatoa majibu kama atajiunga na West Ham United au ataendelea kubaki United kupigania nafasi ya kucheza licha ya Klabu zote kukubaliana...
Na HAJI S. MANARA
Salaam
Kiasili Haji Manara sio mtu dhaifu anayeweza kukalia kimya shutuma zinazokuja kwake binafsi au taasisi anayoingoza na kuifanyia kazi, ni aina ya mtu anayejua thamani ya...
Nawatakieni uvumilivu mwema kwa matokeo yoyote yale (yasiyo ya Kufurahisha) ya Leo Jumatano na Kesho Alhamisi.
Mkifanikiwa sawa ila hali si nzuri kivile kinyota kwa wana Kariakoo wote au mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.