"Yanga SC, imesajili wachezaji wengi sana ila ni waviwango vya chini sana na bei poa tofauti na Simba SC, ambayo pengine imetumia pesa mara Tatu zaidi ya pesa ambazo Yanga wametumia.
"Yanga...
Yanga amemfunga Azam jana na kuingia final, hongereni lakn timu hawana, Yanga kumfunga azam ni kawaida t, ameshamfunga mara ya 5 Leo, kuna watumishi pale sio waadilifu ndio maana yanga...
Oya mazee hapa mm kiukweli huwa nachanganyikiwa kuona Nani bora ya mwenzake, wengi mnaleta ligi za Messsi na Ronaldo, sijui Haaland na Mbappe ila mimi ligi kuu ni Kati ya Kelvin na Bruno, mmoja...
Tazama penati ama madhambi aliyosababisha beki joash onyango ndani ya penati box, marefa wa CAF hawajang'ata filimbi Bali walifanya kazi zao kiweledi zaidi pasipo kuogopa presha za wachezaji.
Hii...
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma amekutana na kufanya mazungumzo na Kampuni ya kukusanya na kugawa Mirabaha (TAMRISO) pamoja na Viongozi wa Chama cha Muziki wa...
"Nilichogundua 90% ya Waandishi wa Habari za Michezo na Wachambuzi wa Michezo waliokuwa wakishadadia Sakata la Mchezaji Fei Toto na Yanga SC walikuwa katika Payroll ya Yanga SC na pia hawajui...
Baada ya Miaka 13 akichezea spurs na muda mfupi akitumikia Leicester city , Norwich city, Millwall na Leyton orient kwa mkopo hatimaye Harry Kane anakwenda kuchezea Bayern Munich fc.
Dau la...
Nataka mshahara kama wa Azizi KI, mwenzio dk 20 zimetosha kuamua mechi, Wewe dk 90 zote unaruka ruka kiwanjani!
Kuna msemo wa wahenga usiteme big G kwa karanga za kuonjeshwa
Future yako iko...
Timu za Simba na Singida Fountaingate mpaka sasa hazijawasilisha majina ya wachezaji wa Kigeni ndani ya Shirikisho hilo la mpira TFF. Hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kutowaona wachezaji hao kwenye...
By Kondo R Kondo
Ukienda Signal iduna Park uwanja wa nyumbani kabisa wa Borrusia Dortimund utamkuta mtoto wa Nyumbani Marco Reus, fundi alie weka maslahi nyuma loyalty mbele, pale Signal hata...
Uko mashariki ya kati Ronaldo anachezeshwa mashindano yasioleweka mashindano
Ukimuangalia Ronaldo anaonyesha kabisa hapendi kucheza mashindano hayo ila sasa ameshakula vya watu atafanyaje
Haya...
Tatizo lako Kubwa unapenda kusikiliza Ushauri wa Watu wenye Vipesa Uchwara wanaokuzunguka na ambao ndiyo wanakuumiza kila Siku Azam FC yako ikicheza na Yanga SC ila Mawazo yenu Mema na ya Kimaono...
Hatukutegemea kama yanga ingeshinda hii game, matumaini yalikuwa makubwa kwa fei kupiga yale mashuti yake na kuwaprove wrong yanga. Lakini tulichoambulia ni kurembua tu uwanjani
Nimegadhabika...
Taarifa rasmi toka Chamazi zinathibitisha Azam kushusha kocha mpya kutoka Senegal. Yossouph Dabo ni kocha kijana mwenye mafanikio makubwa ambayo yameipaisha Senegal kwenye ulimwengu wa soka ...
"Nilipoenda na Mchezaji wangu Fiston Mayele huko Pyramid FC aliko sasa alishangaa vitu vingi na sasa ni Upimwaji wa Afya ambao kwa Wenzetu walioendelea na hata huko Ulaya ni tofauti na hapa...
Waandishi na wachambuzi wachongo wengi walituinisha mechi ya jana ingekuwa kubwa sana na mechi bora kutokana na usajili wa Azam.
Hata hivyo binafsi ukiniuliza nitakwambia mechi hiyo ilikuwa ni...
Eti matajiri wanaokota mtu cheap kabisa wanampa timu.
Ukiangalia CV yake yote kafundisha timu za under 20 tu. Timu za watoto wa damu changa na akili ndogo kabisa unategemea ataleta nini kwa...
Ni jambo zuri sana sisi wapenzi wa Simba kwenda wengi kwenye tamasha letu la Simba day. Ukweli kuujaza uwanja kuliko Yanga walivyofanya ni njia nyingine sahihi ya kutibu sonona iliyotokana na timu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.