Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

NBCPL: Hii hapa ratiba ya NBC Premier League mechi za mzunguko wa kwanza ambazo zitaanza kutimua vumbi Agosti 15, 2023.
4 Reactions
18 Replies
2K Views
UNAPOKUWA Aishi Manula nyakati hizi unakuwa na wasiwasi mwingi. Wakati upo kwako Kitunda unaambiwa kwamba Simba imepeleka golikipa kutoka Brazil katika kambi yao ya Uturuki. Moyo wako unapatwa na...
3 Reactions
2 Replies
755 Views
TFF yatoa tena List ya Yanga wachezaji wenye vibali.. Kucheza Ngao ✍️✍️✍️
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Rasmus Hojlund ambaye alitambulishwa wiki iliyopita kuwa mchezaji mpya wa Manchester United ana majeraha ya mgongo lakini inadaiwa kuwa suala lake linaweza kuwa kubwa zaidi licha ya klabu kutoweka...
0 Reactions
5 Replies
862 Views
Wakuu Kumbe sababu kubwa ya yule mzambia Phiri kutopangwa Mara kwa Mara ni sababu ana mgomo na anawadai chake Simba. Kwa kuwa klabu hiyo imezoea kuendeshwa kihuni basi kila anayedai chake...
10 Reactions
53 Replies
3K Views
Siku zote kocha huwa analaumiwa kwa matokeo mabaya kutokana na yeye ndie anaefundisha na kuchagua wachezaji wa kuanza kwenye kikosi. Sasa nyinyi mnaolazimisha Phiri apangwe, je, akipangwa na...
2 Reactions
13 Replies
851 Views
Simba itapumzika kwa kipindi cha mwezi mmoja kucheza ligi ya bongo kuanzia oktoba 20 hadi November ili iweze kushiriki vyema kombe la Super League. Hata hivyo Simba wawe makini sana kwani baada...
8 Reactions
44 Replies
3K Views
Habari ya siku, mimi si mwenueji sana hapa Dar nauliza wapi yalipo maduka ya vunjabei hapa jijini mfano kama lipo kariakoo, au sinza naomba mnitajie sinza eneo gani au kkoo eneo gani
0 Reactions
5 Replies
759 Views
What a Free kick 🐐🐐🔥🔥🤔🤔
7 Reactions
40 Replies
2K Views
Habari wanamichezo, ikiwa siku kadhaa zimesalia kuelekea ufunguzi wa pazia jipya la ligi kuu Tanzania bara. Ikiwa ni mechi ya vigogo wanne waliobora kwa Tanzania hapa nazungumzia Yanga, Simba...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Mchezo wetu na Singida ni mgumu, kuna mikakati hiyo inafanyika Mkwakwani kuhakikisha fainal hatuchezi. Mambo ya nje ya uwanja ni mengi, mara wamekwenda Mabokweni, mara wako Pangani, mara wako...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Ni Siku Kubwa, Siku ya wenye Nchi, wengi Wanaifahamu kama "Simba Day". Tutakuwa "LIVE AND DIRECT" Hapa Kijiwe cha Soka "JAMII SPORTS" Kukuletea yote vanaondelea kutokea pale Benjamini Mkapa katika...
32 Reactions
1K Replies
62K Views
Friends and our Weak Enemies, Husikeni na kichwa Cha habari hapo juu. Siasa za Afrika ni Kwa waafrika, demokrasia ya waafrika ni Kwa waafrika, hawezi kuja muarabu,au muhindi,au mzungu eti aje...
8 Reactions
56 Replies
3K Views
Natabiri lawama ya kwanza kabisa itakuwa hii:- TFF kwanini imeweka ngao ya hisani kugombaniwa na timu nne. Wameona kila mwaka tunabeba sisi wakaamua kuleta hujuma. Baada ya lawama hiyo , lawama...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Huyu kocha wa Simba mimi sijawahi kumuelewa. Binafsi huwa sipendi watu wenye maneno mengi kuliko vitendo. Huyu Babu anaonekana kuwa na chuki wa wachezaji na kuwabagua. Ndio maana ujio wake pale...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, Kwanza naomba nitangulize pongezi zangu moja kwa moja kwenye bodi ya usajili simba kwa kusajili wachezaji wa level za juu kabisa na waliokomaa kwenye michuano na ligi kubwa barani...
4 Reactions
4 Replies
686 Views
Wakuu, Hizi timu zinaendeshwa kihuni sana sometimes! Wakati sisi Simba pamoja na raha tulizopata kwa usajili first class lakini tusisahau swala la ujenzi wa uwanja Bunju ni kama limekufa na...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Kesho nawaombea kwa Mungu mshinde, na sisi wananchi tupo kimya, tuwaache wengine wao watambe sisi tusubiri matokeo tu.
1 Reactions
2 Replies
954 Views
Mayele ana miss " Njaa" . N jaa ya kutaka kufun ga magoli mengi ndani ya mechi moja. Mayele akifunga goli moja kwenye mechi huwa anaridhika kabisa na huwa haonekani kama...
6 Reactions
53 Replies
6K Views
KIUNGO mshambuliaji wa klabu ya Simba Clatous Chota Chama, ataukosa mchezo wa ufunguzi wa michuano mifupi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Singida Fountain Gate, kutokana na kufungiwa michezo mitatu...
8 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom