Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ikiwa deal za timu hizi zitatimia Basi kuelekea Msimu ujao Washambuliaji wa yanga na Simba watakuwa hivi Yanga 11 lilepo 10 ngoma 9 mayele 7 kizumbi Simba 11 adebayoh 10 chama 9 beleke 11...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Uingereza Bi. Katherine Grainger ambapo amesema wamevutiwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Familia yote ya GSM kama ilivyo familia ya Dewji Na Bakhresa ni wana Simba GSM yupo yanga kibiashara na anatamani Kuisupport Simba ila Mo hawezi kumpa hiyo nafasi. Aliyemleta GSM Yanga ni mbia...
10 Reactions
65 Replies
7K Views
[emoji1][emoji1] nyie watu hii timu ipo serious kweli wakati Yanga mwisho wa msimu wana medali 4 na vikombe 3 ila bado wana Kiu ya mafanikio, Simba kwao ni tofauti kabisa. Kuonyesha hilo wao...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Haya Maupuuzi yenu mnayoyafanya sasa Kutuvutia Mashabiki wenu (GENTAMYCINE nikiwemo) yatatuingia vyema Mashabiki wenu pale tu tukisia Timu (Simba SC) imesajili Watu (Wachezaji wa Kazi) tupu ili...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Mwanariadha wa Kimataifa Gabriel Gerald Geay ashinda mbio za Boston 10K (B.A.A 10K) na kuweka muda wake bora wa 27:49 huko Boston, nchini Marekani Jumapili, tarehe 25 Juni 2023. The B.A.A. 10K...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
- π—¨π—žπ—ͺπ—˜π—Ÿπ—œ π— π—–π—›π—¨π—‘π—šπ—¨. Klabu ya Simba inaongozwa Kwa Propaganda hapo awali ilipokuwa inaingia mkataba na M-Bet, Simba hawakuweka bayana kuwa huo mkataba unathamani ya kiasi gani, Yanga SC walipoingia...
4 Reactions
10 Replies
967 Views
TFF na Bodi ya ligi sijui masuaala ya Michezo Kama hii huwa mnayabariki?? Mbeya City walinyongwa hadharani marefa walikua upande wa mashujaa (hakuna haki kwa Mbeya City) Hakuna offside lakini...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Lile golikipa linaloonekana kwenye social media likidaka mishale hadi hewa ya gesi ya oksijeni aisee kama ni kweli nyanda yule amesajiliwa, basi msimu ujao mnyama hata asipoweka beki nyuma kuko...
6 Reactions
32 Replies
3K Views
Leo ni mechi ya mwisho ya PlayOff kati ya Mashujaa na Mbeya City. Mechi ipo live hapa Mbeya 0-0 Mashujaa. Mbeya City ipo kwenye hatihati ya kushuka daraja baada ya kula kichapo cha 3-1 huko...
3 Reactions
182 Replies
10K Views
Msimu uliopita tumekuwa na timu iliyofanya vzr sana. Tumepoteza mechi moja tu Tumeruhusu magoli machache zaid ya yoyote. Tumefunga magoli mengi zaid ya yoyote. Tumekuwa bora sana bahati mbaya...
12 Reactions
22 Replies
2K Views
Nimesikia mahojiano ya simu yaliyofanywa kwenye kituo kimoja cha redio cha Wasafi kufuatia tetesi zinazoenea za Yanga kufungiwa usajili. Ally Kamwe ameonekana kusikitishwa na uvumi huo na kuuita...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
[emoji599]HAJI MANARA YANGA WANAWEZA KUINUNUA SIMBA Anaandika HAJI MANARA "Hakuna Shortcut katika kufanikiwa,na lazma tubadilike, tuishi Kiuhalisia na tuache porojo,Washabiki wetu wa leo sio...
3 Reactions
47 Replies
3K Views
Kama mnavyojua weekend iliyopita klabu ya Yanga ilifanya mkutano mkuu wa wanachama wake na moja ya ajenda ya mkutano ilikuwa kutoa ripoti ya mapato na matumizi ya mwaka 2022-2023. Kumezuka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Prize Money for Some African Leagues! Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬ Premier League Winner N100 Million ($216,037) South Africa πŸ‡ΏπŸ‡¦ PSL Winner R15 Million ( $800, 565) Morocco πŸ‡²πŸ‡¦ Botola Winner MAD 3 Million (...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Ukitaka kupata habari za super league basi ukazitafute kwenye magroup ta whatsapp ya mashabiki wa simba au utazisikia kwa Ahmed Ally au Try Again kwenye mkutano wa Simba. Official page ya CAF...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Team ya Azam kwa sasa imekuwa chini ya Uangalizi wa mtoto wa Bakhresa anayeitwa Yusuf. Huyu kwa kipindi kirefu alikuwa nje ya nchi. aliirudi ili aje aisimamie Azam Sports Club baada ya kuwa inasua...
4 Reactions
19 Replies
3K Views
Nilisema kuwa akikoswakoswa katika Derby ya Kariakoo (Simba na Yanga) basi atanasa katika Matokeo ya Mechi ya awali ya Club Africaine kama akifungwa au akitoka Sare na asiponaswa hapo anaenda...
10 Reactions
42 Replies
4K Views
Haya mambo yangekuwa Simba kelele zingekuwa za kutosha. Endeleeni tu === Rais wa Yanga Eng. Hersi Said wakati anahutubia kwenye Mkutano Mkuu amesema, kwa msimu wa 2022|23 klabu ya Yanga...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Cristiano Ronaldo a boy from Madeira ureno Hadi kuwa superstar wa DUNIA kwenye mtandao unaotumiwa na watu wengi duniani Instagram, kuhama kwake ulaya kwenda uarabuni kumeleta mabadiliko kadhaa...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…