Soka mmecheza vizuri, mmeshinda Mechi ya ugenini dakika ya 87. Mnashangilia goli mnampiga kocha wa Mbeya City ngumi!! Hii Mechi refa akiivunja hapa kwamba Mbeya city hawana kocha kwenye benchi na...
Habari za Ijumaa ndugu zangu!
Mashabiki wenzangu wa Man United?
Polen sana kwa kuendelea kua Interestered na Kila Player na Kuishia kuwaweka kwenye list wakati Team zingine zikisajili.
Leo naomba...
Sijajua viongozi wa yanga wametumia vigezo gani kumchukuwa huyu kocha kiukweli
Ila any way acha tuone kwanza kwa watu ambao wanafatilia mpira Watakubaliana na mimi kwa jinsi yanga inavyo cheza kwa...
Haiwezekani Mbeya City kila wanachokifanya mipira inapaa kama sio kugonga miamba.
Kwa aina hii ya ukamiaji jumlisha na sayansi ya jadi kuna timu kubwa zita-struggle msimu ujao pale katika dimba...
Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) Patrice Motsepe amethibitisha kuwa michuano ya African Super League itaanza kutimua vumbi mwezi Oktoba mwaka huu na kuongeza kwamba kutakuwa na jina...
Nakumbuka baada ya mafanikio makubwa 2012/13 viongozi wengi kutoka Halmashauri za Miji tofauti mikubwa na midogo, walisafiri kilomita nyingi kwenda Mbeya kujifunza jinsi gani Halmashauri ya jiji...
BREAKING:Kwa mujibu wa jarida la Depor finanzas la Turkey [emoji1250], hizi ndizo klabu zenye ushawishi Mkubwa Afrika katika mtandao wa twitter kwa mwezi May 2023
1. 1.86M - [emoji1093] Al Ahly...
Ruben Neves katika umri wa miaka 26 huku Barcelona wakiwa wanamuhitaji amechagua kwenda zake Uarabuni.
Huko Chelsea lundo la wachezaji wako mbioni kuelekea Uarabuni. Alianza Ngolo Kante, na sasa...
Ni Mchezaji ambaye sijui Mpuuzi gani ndani ya Simba SC alishauri atolewe kwa Mkopo.
Said Hamis Ndemla ni Kiungp mwenye Kipaji kikubwa cha Soka na ana Faida kadhaa Kukaba, Kupiga Mashuti ni mzuri...
Miaka kumi ya kiungo mkabaji wa Simba hatimae imefikia tamati, utakumbukwa kwa kuwa mmoja ya wachezaji wazawa waliopata namba kwenye ile timu iliyojaa mastaa kiasi cha kuchukua ubingwa mara nne...
Kutokana na Mjadala alio Uanzisha zakazakazi Afisa habari wa Azam FC.
Kuwa Yanga sio Bingwa Mara(29)bali Yanga ni Bingwa Mara(22)na Simba bingwa Mara 21.
Mjadala Umekuwa Mkubwa Wengi wakikosoa...
Mchambuzi ni mtu makini na mtaalamu wa fani husika kwa weledi wa kiwango cha juu. Bongo hatunao watu wa aina hii mfano wa Dkt. Leakey Abdallah wa kizazi cha zamani na kwa kizazi cha sasa mfano wa...
Benard Morrison ni kama Ex aliyeondoka kwa dharau sana na kila tulipokutana nae alitudhihaki.
Je, unakubali kumpokea Morrison katika klabu yetu tena? Morrison anaenda kucheza nafasi ya nani?
GENTAMYCINE naujua Mpira, Nimecheza Mpira, Nauchambua Mpira na Jicho Kali na Tukuka la Kumjua Mchezaji na nikipointi huwa sibahatishi ila Tajiri Wewe umeshindwa kunifuata PM hapa ili tuwasiliane...
Bernard Morrison aachwa Rasmi na Yanga SC.
Kama klabu imethubutu mazima kuachana na huyu mwamba basi nina uhakika kuna kitu kinapikwa jikoni.
Nafahamu kuwa alikuwa option ya muda mfupi katika...
Gaël Bigirimana ni raia wa Burundi anayejiunga na Mabingwa wa kihistoria wa Tanzania akitokea Glentoran FC iliyopo United Kingdom.
Yanga SC wamekamilisha dili hilo kwa dau lisilowekwa bayana...
Kuna tangazo huwa linasikika kwenye redio kwamba Brazuka wakishirikiana na academi moja huko Marekani watakuwa wakizunguka mikoani kwa ajili ya kusaka vipaji vya mpira kwa vijana.
Jinsi ya...