ILE filamu ambayo ilionekana kutoeleweka hatimaye imemalizika kirahisi. Pengine kuliko tulivyofikiria. Ilionekana kama ingekuwa filamu ngumu bila ya kujua nani angekuwa mshindi. Ilimalizika...
Ni kawaida kwa kocha yeyote kulinda heshima yake baada ya mafanikio makubwa kwenye carrier ya kazi yake.
Kocha Nabi amelifanya hilo jambo kwa uweledi mkubwa sana akiwa na klabu ya yanga, kapata...
Unpopular opinions; Wengi wanaamini Haaland ni mchezaji mzuri sana, ni forward hatari sana, lakini napenda kuwaambia Haaland ni mzigo mzito ndani ya Man City.
City wakiwa na Haaland mbele...
Mimi nikiwa mzoefu wa ligi hii ya bongo tangu enzi za akina Prof Madundo Mtambo akichezea Reli ya Morogoro, Jimmy Mored kule Tukuyu na wengine wengi ambao nikiwataja humu ntawachosha kwa sababu...
Timu ya Taifa ipo na imeshachaguliwa ila kwa sasa tumeificha ikiendelea na Mazoezi dhidi ya Niger Jumapili ijayo na hatutakitaja kwa sasa" amesema Rais wa TFF Wallace Karia.
Chanzo: Sports...
Wala usipanick kuondoka kwa Nabi, hii ni changamoto mpya kwako, pambana nayo ana kwa ana na wenzio. Bahati nzuri unazungukwa na wataalamu, tafuteni kocha mpya maana hili mlilijua
Yanga kupitia 'Yanga Sc app' imesisitiza kuwa Kocha Nabi anaendelea kuwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo. Hii ni tofauti na uvumi uliosambaa leo hii kuwa timu hiyo inaachana na Nabi.
Katika taarifa ya...
Eti Chelsea wanataka pound 80m kwa ajili ya Mount!
Dogo mwenyewe kabakiza less than a year kwenye mkataba wako. Mount mwenyewe sio slick kivile, hajawa bora hivi karibuni.
FCC (The fair competition commission) kwenye mauzo yaliyofanyika ya kuuzwa Singida Big Stars kwenda Singida Fountain gates FC sijaona kabsa sehemu yeyote kama walishiriki huu mchakato wa mauziano...
Nimemsikiliza msemaji wa Yanga Ali Kamwe akitangaza kwamba Haji Manara ndio mratibu wa safari za Aljeria. Sote tunafahamu kwamba Haji amefungiwa kujihusisha na masuala ya soka
Nimemsikiliza Fei...
Kwasasa kuna watu wanabaki kusonya sonya tu wengine kutoa visababu vya kujifariji, mara mashindano waliofeli, mara ooh Yanga imecheza na vibonde mara zinaletwa historia za miaka 47 huko lakini...
Kama wewe ni mwananchi njoo tuwashauri viongozi juu ya mambo yafuatayo:
1. Usajili wa wachezaji, je wansajili nani na wamuache nani msimu ujao?
2. Je, kocha yupi aongezwe ambae kwa sasa hawana...
Kocha wa Taifa stars tayali yupo kambini na kikosi chake Ina maana kikosi kimeitwa kimya kimya.
Source: EFM radio
Kwa Nini wameita kimya kimya wanaficha Nini haswa au Kuna mchezaji Kama FEISAL...
Nimeona nami Mjukuu wa Chief Hangaya nichangie kidogo katika hili kwani nimeona wachambuzi njaa wengi pamoja na yule semaji lenye mikosi Tanzania a.k.a Popoma la MUM bwana Ahamed Ally Kisauti...
Hii ndo maana ya timu ya Wananchi....ni mwendo wa tuzo tu
Rais wa Klabu Eng Hersi Said Leo amepokea Tuzo Maalum kutoka kwa Waziri wa Afya, Mhe. Ummy Mwalimu kwa kuwa Taasisi 𝐢𝐧𝐚𝐲𝐨𝐭𝐚𝐦𝐛𝐮𝐥𝐢𝐤𝐚 𝐑𝐚𝐬𝐦𝐢...
Ligi inapanda Ubora, Tuzo banda la video.
Kutoka Johari Rotana mpaka kwenye ‘Banda la Video’ pamoja na maelezo ya kujivunia kwamba tunafanya kwenye ukumbi wetu lakini ulipaswa kuwa uliokamilika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.