AMEWAJIBU WANAOULIZA IKULU ALIFATA NINI.
Mtangazaji wa kituo cha utangazaji cha Redio na Television Tv E JEMEDARI Saidi, amejibu hoja za wanayanga ambao walikua wanahoji kua jana alifanya nini...
Kwa moto anaouonesha Diarra ....the screen protector or mdaka mishale ( Kwa makolo mlio kimbia kusoma shule)
Naona kabisa akitua pale man united....basi Manchester united wanaweza kuwa ni timu...
USMA yuko hoi, hajiwezi anapumulia mashine anaweza hata kushuka daraja huyu ni mpinzani mwepesi sana ni aibu kushindwa kumfunga mtu kama huyu.
Halafu unakosa Kombe kwa mpinzani kama huyo...
Jana nimemsikiliza kwa makini Hersi akitoa speech pale Ikulu, sikutamani kabisa amalize, very composure and calm.
Huyu jamaa ni big brain, ana kipawa cha uongozi, mama ampe kitengo aisaidie nchi...
UONGOZI wa Young Africans Sports Club umetoa taarifa ya kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Me. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa hafla ya kuipongeza klabu hiyo kwa kucheza mchezo wa...
Sisi wakereketwa Mwananchi anauliza kabla ya maombi yenu kumuomba Rais upanuzi wa eneo la Jangwani kwa ajili ya kujenga Kiwanja cha kisasa hajayafikiria mtupe mrejesho wa lile eneo alilowapa RC...
Ni vizuri pia tukawajuza umate umate utakaoingizwa na hizi timu 2 baada ya kutinga Hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho na Klabu Bingwa Afrika, mgawanyo ndio huu;
Yanga: Milioni 820...
Naombea Azam au timu yoyote nje ya Yanga na Simba ifanye vizuri mashindano ya kimataifa ili kupunguza siasa
Kwa siasa hizi zinazo endelea nawaombea mabaya Yanga na Simba, wasifike kokote kule...
Baada ya Simba sc kuachana na mchezaji kijana tegemezi wa timu ya Taifa Ghana Agustine Okrah.
Za ndani kabisa ambazo NALIA NGWENA nimezipata kutoka kwa kiongozi wa Simba mwandamizi kanipenyezea...
Kwa sasa Simba amebaki kujificha nyuma ya Wydad, AlAhyl na "wakubwa" wengine kulingana na kamusi yake binafsi
Ukimbana kidogo kwenye kanyampasira, utasikia "mpaka mcheze siuji na Wydad, sijui Al...
Mara baada ya tamko la Rais, na after dinner Magogoni, kulikuwa na vichuguu vya hapa na pale kama mchwaz vichuguu namaanisha mikutano isiyo rasmi na baadae kichuguu kikuu ambacho muhandisi...
Kuna watu wanaeneza uongo kwa kudai kuwa CAF CUP waliyofika fainali Simba ndiyo Shirikisho leo hii Siyo kweli.
Mwaka 1993 barani Afrika kulikuwa na mashindano aina tatu
1. Kulikuwa na Champions...
Binafsi nikiri wazi mbali ya kujaribu kuponda mafanikio ya watani zetu Yanga kwa ajili tu ya uhasimu tulionao, lakini nina uhakika sisi kama wanasimba na wanamichezo wapenda mpira wa miguu...
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Ameandaa hafla ya kuwapongeza Wananchi, Young Africans SC kwa hatua waliyofikia kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika ambapo...
Wale jamaa wana kila mbinu za kuhakikisha kombe linabakia kwenye ardhi yao, week ikiyopita nikiandika hapa mkanibeza.
Yale mafataki yalikuwa yanapigwa kwa vipindi maalumu siyo kama sisi...
Hivi kuipa heshima Taifa la Tanzania ni kurudi na medani ya CAFCC tu? kwamba hata waliofika robo fainali CAFCL kombe la wakubwa huku wakiwa Visit Tanzania hakuonekana kuitangaza na kuiletea...
Jana katika hafla ya kuipongeza timu ya Yanga ikulu Dar es Salaam, Rais Samia Suluhu ametegua siri ya mapenzi na ushabiki wa timu anayoishabikia Rais wa TFF Walace Karia.
Kwa muda mrefu Karia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.