Marumo Gallants FC ndiyo Timu pekee ambayo ikifungwa Ugenini hata Goli 4 Kwao Afrika Kusini wana Uwezo wa Kukufunga Goli 5 na 6.
Kudadadeki.
Kila la Kheri Marumo Gallants FC leo.
ANGALIZO
Kwa...
"Nimewaambia Wachezaji wangu kuwa Mechi hii ya leo ni ngumu Kwetu kwakuwa tunacheza na Timu ngumu na yenye Wachezaji mahiri hivyo tuache kufanya Makosa yasiyo ya lazima na tutumie nafasi zetu...
Kama leo umeshindwa Kuifunga Timu Dhaifu kutoka Nigeria (japo Ulibahatisha) Kumfunga Kwao (huku Wewe leo ukiwa Nyumbani) ndiyo uweze Kupambana na Klabu isiyotaka Masihara katika Hatua hii na...
"Simba ana point 64 amebakisha mechi 3 atashinda zote na kufikisha point 73 na magoli mengiiiiiii
Yanga ana point 71 amebakisha mechi 3 ata droo 2 na atafungwa1 jumla anafikisha point 73 sawa na...
Hayawi hayawi yamekuwa ,
Leo ni siku nyingine tena tunakutana kuangalia mchezo wa papatupapatu kati ya UTO na Malumo,
Leo utopolo watapata matokeo yatakayowashangaza ,ambayo hawajawahi kufikiria...
Tunatia aibu kama taifa kuwa na waandishi wa aina hii. TCRA iinue kiwango cha vyuo vinavyotoa taaluma ya habari, wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya habari na watu wanaofanya kazi za habari...
Unatuharibia image,hako kamchezo ulikuwa nako ukiwa Simba sasa umekakwta jangwani,Sisi tuna timu imara hatuitaji kupuliza dawa kwenye mabasi na dressing room za wapinzani.
Unatuharibia sana
Hello family,
Hongereni Yanga na Mungu awape heri na fanaka kwenye haya mashindano ya CafCC.
Inshallah nguvu moja na upendo
For our country and for sports.
Wadiz
Timu ya Marumo kutoka A. Kusini imewasili Asubui ya leo, na wamelikataa gari waliloandaliwa na wenyeji wao Yanga.
Ikumbukwe siku chache mwenyej kapigwa faini kwa kosa la kupulizia sumu kweny gari...
Wakuu sitaki hata salamu, Kwa Hali ya mambo ilipofikia ni wazi kuwa ili Simba isonge mbele ni lazima maamuzi magumu yafanyike.
Uamuzi wa kwanza ni mwekezaji wetu Mohamed Dewji anapaswa kukaa...
JINSI ambavyo maisha yanakwenda kasi. Niliwahi kusema mahala. Hatimaye tumefika Mei tukiwa na sakata la Fei Toto mkononi mwetu. Anaitwa mwanasoka lakini hachezi soka la ushindani tangu Desemba...
Nikiwa Kama shabiki mwandamizi wa Yanga sc ndani ya Jamii forum, naomba nichukue fursa/nafasi hii adhimu kuwa karibisha mashabiki wa Simba sc kuja kushuhudia yanga ikikata tiketi yake mapema...
Simple logic ni kuwa Watu wanasema Clatous Chama anacheza chini ya kiwango kwenye big games, niwaulize swali kuna mechi ambayo Simba wamecheza vizuri then Chama hajaperform? Timu kama imeshikwa...
Mwanachama Maarufu hapa JamiiForums anayeongoza kwa Kuchukiwa bila sababu yoyote ila amebarikiwa Vingi na Mwenyezi Mungu aitwae GENTAMYCINE akitoka BAN yake apewe Heshima yake ya Kipekee hapa...
Wiki hii ni wiki ya mashindano ya kimataifa kwa ngazi ya vilabu ikiwa ni hatua ya nusu fainali. Kama timu yako haijafanikiwa kufika hatua hii kwa msimu huu basi pole na kusubiria kujipanga kwa...
Naam kumekuwa na propaganda za hapa na pale, za chini chini na za juu juu, zikisambazwa na wanasimba Lia Lia.
Hiyo inatokana baada yakuona timu yao aka chuo Cha wastaafu Simba ikiipunga mkono wa...
Picha: Vinicius Junior
Picha: Ducapel Moloko
Turejee kwa Hawa wachezaji wawili ambao mmoja anatokea Kwa mabingwa wa ulaya Real Madrid na mwingine anatokea Kwa bingwa wa TAnzania Young African...
Kabla ya yote acha kwanza nitumie neno ili la kifaransa ambao moise katumbi alipenda kutumia kwa mazembe Yake
L’Imposible ce n’est pas à young africa
Young africa tous puisant
Na kuambia ivi...
Nayasubiri Maoni yenu ili niyawasilishe Kwake kupitia Demu wake wa Kitanzania anayempenda hakuna mfano aishiye Keko mita chache tu na Kiwanda cha Pombe Moja Kali ambayo Ukiinywa ni lazima Umkunjie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.