Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakuu hii mnaionaje?[emoji848][emoji848]
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwenendo wa Simba sio mzuri kwa hii miaka miwili sasa kutokana na Viongozi kutosimama imara. Pia Viongozi wa Simba kuruhusu Jeneza kuingia Uwanjani Siku ya Simba Day ilikuwa sio nzuri kwa...
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Nawapongeza watani zetu, ingawa roho inauma kwa mafanikio ya soka lenu lilivyokua kwa kasi Kwenye ushabiki nitasema nyinyi ni wabovu ila mbungi ikipigwa nakubari kuwa mlijifunza kutoka kwa 🦁 na...
10 Reactions
29 Replies
1K Views
Hili sio kundi la wanamuziki wa Westlife Hawa wakifanya makubwa sana kwenye ulimwengu wa soka Unakumbuka nini?
0 Reactions
6 Replies
506 Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameungana na Watanzania kuipongeza klabu ya Yanga kwa hatua ya nusu fainali waliyofikia katika mashindano ya kombe la Shirikisho...
1 Reactions
17 Replies
881 Views
Titizo kubwa la simba ni kujiita giant wa league Ya Tanzania na afrika mashariki Wote mnajua giant ni mmoja tu wa Tanzania na afrika mashariki ambaye ni yanga pekee yake Ndo timu pekee yenye...
3 Reactions
11 Replies
793 Views
Nadhani kwa wakati huu kuliko kilabu ya Simba kukaa tu bila any specific mission au kazi maalum (uzururaji) ingeweza kusaidia nchi katika kutoa maoni na kuhamasisha wananchi kuhusu katiba mpya...
1 Reactions
8 Replies
401 Views
Hapa ni Dimba la kisiba Rungwe. Tungekuwa na serikali yenye maono ungejengwa uwanja mzuri sana hapo na hoteli kubwa sana hapo. Tungepata fedha mingi sana. Mpaka sasa hatuna uwanja unaoweza kupiga...
1 Reactions
8 Replies
662 Views
Awali ilidaiwa kuwa mchakato wa nyota huyo wa Paris Saint-Germain, Lionel Messi (35) kusaini mkataba wa Pauni Milioni 522 (Tsh. Trilioni 1.5) umekamilika na anaweza kujiunga na Klabu ya Al-Hilal...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Bernard Morrisson BM3, the gifted one, King of Football ni mchezaji mwenye kasi/pace/speed na jitihada ya dhati ambayo Yanga ilikuwa inaikosa kwa muda mrefu,Benard Morrisson anajua kucheza kikubwa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Yanga baada ya kuonekana anaenda semi final simba wakatoka huko waliko wakasema washawahi cheza fainal ya Confederation Cup inachekeshesha sana. Hivi niulize nani anauzi au ana taarfa inayosema...
15 Reactions
40 Replies
2K Views
Binafsi Ligi ya Bongo ninaona ni ligi dhaifu, kwa mfano mpira anaoupiga Raja Casablanca , ukija kwenye ligi yao anashika nafasi ya Tano. Nini Tafsiri yake? Hapa kwetu Simba iwe mbovu vipi...
15 Reactions
25 Replies
3K Views
Salaam wakuu, hapa nataka mapendekezo ya wana michezo ni wachezaji gani SIMBA unahisi inawahitaji ili iwe bora zaidi msimu ujao, Binafsi napendekeza 1. Feisal Salum (feitoto) 2. Singano claude...
4 Reactions
65 Replies
8K Views
Unaweza kuwa na timu Bora lakini rekodi mbaya za Kocha dhidi ya timu pinzani zikakuangusha. Dylan Kerr hajawahi kuifunga Yanga SC. Msimu wa 2015/2016 akiwa Simba SC, Mchezo wa kwanza kafa 2-0...
2 Reactions
7 Replies
825 Views
Mayele ni mchezi mzuri sana ni mmoja wa wachezaji bora kabisa kuwahi kucheza ktk ligi yetu, katika top 3 ya washambuliaji bora zaidi kutoka nje ya nchi mayele ni mmoja wapo. Kwa namna anavyocheza...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Timu inamilikiwa na anayesifiwa Tajiri Afrika halafu ndani yake kuna Uswahili Uliotukuka huku hata nae Tajiri akiwa ni Mswahili hivyo hivyo. Timu inamilikiwa na Tajiri wa Kawaida tu GSM huku...
38 Reactions
67 Replies
4K Views
Nashindwa kuelewaa kitu kimoja yanga akicheza na tp mazembe anasemwa sana Simba, Yanga akicheza na malumo anasema simba sijaelewa kwani simba ndo anashiriki hayo mashindano? Sijapendaaa✅✅
0 Reactions
8 Replies
582 Views
Yaani dakika ya 11 kashapigwa mbili za chap. Iko wapi heshima ya nusu fainali jamani? Hawa jamaa wamepenya vipi mpaka wakafika nusu? Nawachukulia kama marumo gallants ya ulaya
10 Reactions
52 Replies
2K Views
Maana si kwa pira lile tulilopigiwa, tunaamini kabisa kule south tunaenda kukamilisha ratiba tu. Kinachokwenda kuiua Yanga kule south ni hivi hapa chini... 1. Game plan yao, ukiwaangalia vizuri...
2 Reactions
45 Replies
2K Views
Huu ni ukweli Tanzania Hakuna timu ambayo inaweza kuleta kombe lolote la africa zaidi ya yanga Yanga ndo timu kubwa Tanzania. Kama real madrid alivyo timu kubwa Spain Na wengine wengi Apa na...
9 Reactions
50 Replies
3K Views
Back
Top Bottom