Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yanga wana kikosi kizuri sana cha kushindana ligi ya ndani hilo halina ubishi, lipo dhahiri shahiri wala hatupingi ila kuna tatizo mahali kwenye michuano ya kimataifa. Mfano Simba walienda kambi...
11 Reactions
50 Replies
4K Views
Kumbuka mimi ni mtu wa mpira na nilishacheza mpira katika kiwango cha juu sana mpaka nikapewa jina la ALPHONCE MODESTE SIMBA ANAPITA KUENDA ROBO KWA HESABU HIZI ZIFUATAZO KATIKA MECHI NNE ZA...
17 Reactions
64 Replies
6K Views
Habarini Wanamichezo, Mimi ni Mshabiki wa Simba Damu, lakini kwa mahali ilipofikia timu yetu inakera, inachosha na inaboa Nimekuwa nasafiri kwasababu ya kuishabikia Simba popote iendapo lakini...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Kocha na benchi la ufundi la Simba sc pamoja na mashabiki wa Simba bado hawajarudi mchezoni toka wafe kiume kule uarabuni. Mbaya zaidi na namungo kapiga kwenye mshono /kadroo na Simba hicho...
7 Reactions
84 Replies
4K Views
Mkiruhusu Wachezaji wafuatao watakuwa wanachezea sana Vipigo vyangu kwani ndiyo Wanatugharimu pakubwa Simba SC ila kwa Unafiki na Upopoma wetu tunajifanya hatujui na hatuoni..... 1. Clatous Chama...
9 Reactions
17 Replies
2K Views
Najua baada ya matokeo ya leo kauli zenu Wanasimba zitakazotapakaa ni kwamba mtajiandaa kwa msimu ujao, licha ya kua mlisema nguvu zenu mumezielekeza fa[emoji23][emoji23] Ningeomba niwatoe...
12 Reactions
8 Replies
810 Views
Ndugu Mo Dewji, Salim Tryagain na Mutaza Mangungu, Nini mnaweza kutuambia mashabiki tukawaelewa baada ya leo kuhitimisha msimu Simba ikikosa makombe yote? Simba imekosa ubingwa wa ngao ya Jamii...
11 Reactions
42 Replies
3K Views
Nilibebwa kwa kupokezana kutosha shule ya Msingi hadi nyumbani kwetu kilomita 5 nikiwa darasa la nne. Wanafunzi wa kutoka mtaani kwetu walinibeba kama shukurani na pongezi kwa kumpiga jiwe la...
3 Reactions
88 Replies
3K Views
Robertinho bado ni kocha mwenye mapungufu mengi, wanaomfananisha na Nabi naona wanasukumwa na mihemko ya kishabiki na sio uhalisia. Mechi na Namungo akupaswa kufanya utoto kama ule eti...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Viongozi wa klabu ya Simba SC wanafikiria kuhamishia mechi zake za kombe la shirikisho barani Afrika (CAF CC) katika uwanja wa Aman uliopo Zanzibar (kwa mechi za nyumbani) Sent using Jamii Forums...
5 Reactions
51 Replies
5K Views
1) Fumua timu yote. Wakubaki hawazidi 8 nao wapigwe mkwara. Mfano inonga anazidisha mbwembwe kwenye wakati usio muafaka. 2) Fumua benchi lote la ufundi. Hakuna kocha hapo. Kocha anashindwa kusoma...
10 Reactions
28 Replies
2K Views
Najua matusi na kejeli zitamwagika Kama mvua ya mawe baada tu NALIA NGWENA kuzungumza ukweli huu mchungu usiopingika. Zimeibuka kelele nyingi zakumtukuza Jean Baleke kuwa ni "talk of town"...
2 Reactions
111 Replies
5K Views
Ndugu zangu makolo hongereni kwa kumaliza msimu huu na makombe kedekede.Timu yenu mmeiharibu wenyewe kwa kuwapa wachezaji wenu sifa zisizofaa na hiyo imepelekea wachezaji wenu kuwa na OVER...
7 Reactions
5 Replies
823 Views
Tatizo tunaishi kwa mazoea na usimba na uyanga Yanga wakati inaanza mwaka huu wa mashindano ilikuwa ya 75 Leo hii yanga ipo ndani ya top 20 best club in Africa. Wakishika nafasi ya 20 wakati...
2 Reactions
40 Replies
3K Views
Kwa mara nyingine tena mabingwa wa robo fainal caf Simba Leo wamefanikiwa Tena kufa kiume huko mtwara baada ya kubanduliwa goli 2-1 na Azam katika mchezo wa nusu fainali Azam Confedaration Cup...
10 Reactions
16 Replies
1K Views
"Mechi ni ngumu, lakini mimi natamani tufungwe na Azam halafu Yanga watwae kombe la CAFCC ili Simba tupate uchungu tusisajili akina Sawadogo tena" "Unajua tukishinda na tukafanikiwa kuchukua (FA)...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Ikiwa habari ya kesho ni hii basi huyu dada anatakiwa kuingia moja kwa moja peponi. Msije kuniua, nimetumia lugha ya picha tu. Nachotaka kusema kocha ametafuniwa kila kitu!
10 Reactions
36 Replies
4K Views
Watu wengi wanazunguka zunguka lakini mikosi kwa simba ilianzia hapa kwa kumkejeli mungu. Lakini wangekua na msimu bora sana mwaka huu
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakuu Afrika hii kuna makocha alafu kuna huyu mzee Pitso mosimane ni kocha nusu Mwamba baada ya kuachana na Al Ahly ya Egypt Alisajiliwa na team ilioshuka daraja huko uarabuni..Rais wa team hiyo...
12 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari zenu.. Nina masikitiko sana msimu huu simba hawajachukua kombe lolote. Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa yanga mimi ni mwananchi kabisa na siwezi kuishabikia simba daima. Ila kinachoniumiza...
2 Reactions
11 Replies
825 Views
Back
Top Bottom