Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kocha Nabi namsifia sana kutokana kuitengeneza Yanga kucheza kitimu zaidi na mbinu zake katika kuzikabili mechi kubwa Tukiachana na usajili wa wachezaji wazuri, tuhuma za kuhonga na mbinu...
7 Reactions
11 Replies
2K Views
Tatizo ni kwamba watu warefu kwa kawaida hawakai kwenye form kwa muda mrefu , lakini pia Halaand anatumia mguu mmoja tu wa kushoto wakati R7 mashine inakubali kote kote. Halaand ni mrefu zaidi ya...
0 Reactions
9 Replies
990 Views
Klabu ya Yanga SC si kwamba imefuzu tu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika, bali imeongoza katika vitu vingi kwenye michuano ya CAFCC mwaka huu. Yanga SC ambayo imetinga nusu...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Yanga anaenda kudraw na Singida, Simba anashinda na Namungo zinabaki point 3, then Yanga anashinda na Dodoma anakuja kudraw na Mbeya city. Simba anashinda na Ruvu shooting, Yanga anadraw tena na...
10 Reactions
63 Replies
5K Views
Post ya Feisal baada ya Maamuzi ya kamati na hadhi ya wachezaji ya TFF
9 Reactions
75 Replies
5K Views
Klabu ya Paris Saint-Germain imeripotiwa kumsimamisha mshambuliaji Lionel Messi kwa wiki mbili bila mshahara baada ya Nyota huyo raia ya Argentina kukwepa mazoezi ya klabu hiyo na kukwea pipa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nadhani Wakati umefika sasa wa TFF kupeleka Jina CAF la timu itakayoshinda AZAM CUP iiwakilishe NCHI kombe la Mabingwa CHAMPIONS CUP na Timu itakayokuwa Bingwa wa LIGI KUU iwakilishe KOMBE la...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Wakuu, Feisal anajua hili goma linachezwa wapi na wazito gani! Sasa kamuweka Fatuma [emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hangaikeni nae! Fatuma nae sio Uto kivileee amekaza! Alafu hataki...
9 Reactions
112 Replies
6K Views
Inasikitisha sana! Kiukweli nauona mwisho wa kijana huyu, kwa kweli ni majonzi. Nakumbuka kuna kijana aliitwa Singano, na aliitwa Messi pia, lakini baada ya kupata umaarufu akalewa na akajakuwa...
4 Reactions
14 Replies
952 Views
Kwa mwaka huu mlipofika mtakuwa mmejitahidi Mjipange kwenda kudefend tu msishuke daraja ligi ya kwenu huku caf hamna chenu Tz mtakufa bao 3 Huku ngoma itaenda droo
3 Reactions
19 Replies
870 Views
"Marumo Gallants wameingia kwenye michuano ya CAFCC kibahatibahati na wameitumia hiyo bahati kufika hapa walipo. Waliingia michuano hii kutokana na Mamelodi Sundowns kuwa bingwa wa ligi na...
1 Reactions
9 Replies
966 Views
Pichani ni Manchester Derby iliyopigwa mwaka 1947. 🤝 Siku zote mechi hii ya mahasimu wa Jiji la Manchester haijawahi kuwa ya kitoto kabisa. Mechi iliyopita iliisha kwa Manchester City kupata...
5 Reactions
15 Replies
930 Views
Aisee natazama hii mechi ya Singida BS vs Yanga nashangaa kweli Singida hawataki kushambulia Yanga halafu wanaruhusu mashambulizi mengi kiasi kuwa dakika ya 20 pekee wamesharuhusu magoli 2 uwanja...
9 Reactions
58 Replies
6K Views
Achana na habari ya kushuka daraja, lakini performance ya hawa Gallants ni moto, wako vizuri sana. Kama kuna watu weshuhudia game ya jana kati ya Pyramid dhidi ya Al Ahly wataona moto wa pyramid...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Statistics Stephen Aziz Ki Mechi 21 Dakika 1342 Magoli 9 Pasi za goli 4 CLatous Chama Mechi 23 Dakika 1836 Magoli 3 Pasi za Magori 14 Clatous Chama Yupi Yupo kwenye kiwango kwa...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu, Ni dhahiri kwa hali ilipofikia inaonyesha fika kuwa Yanga wameamua kutia aibu brand ya klabu na mashabiki wao kuijumla. Hii ni kuhusiana na sakata la Feitoto Kila dalili...
6 Reactions
167 Replies
11K Views
"Tumepata athari ya kifedha baada ya mchezo (dhidi ya Simba Sc) kusogezwa mbele, kwa sababu mchezo kama ungechezwa tarehe 6 kama ilivyopangwa basi tarehe 7 tungerudi na hivyo watu wangepumzika na...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Hili sakata la Feitoto nadhani sasa lifike mwisho maana linazunguka hapo hapo kila siku na Fei anajifanya kichwa ngumu.
6 Reactions
58 Replies
3K Views
Kuna kikundi Cha wahuni (waliokufa kiume) walizani kuwa yanga itadondosha pointi kizembe mwisho wa siku matumaini yao yamegeuka imekua ndivyo sivyo. Prof wa mpira Nabbi kaingiza full mkoko kikosi...
14 Reactions
52 Replies
2K Views
Anaandika Wakili Msomi simon.esq, Mkurugenzi wa sheria wa Yanga Sc _____________ Kwa ridhaa ya timu ya Yanga (klabu ya Wananchi) napenda kuongelea kwa mara ya mwisho sakata la mdogo wetu Feisal...
9 Reactions
37 Replies
3K Views
Back
Top Bottom