Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Singida? Kagera Sugar? Dodoma Jiji? Hawa wachovu sana kwetu. Yaani hawa huwa tunaingia kwenye ligi tukijua kabisa wanapoints zetu. Idadi ya mabao tu ndo tunakuwa hatujui. Mbwa walidhani Singida...
5 Reactions
17 Replies
759 Views
Club ya soka ya Leeds United leo imemtangaza Big Sam kuchukua mikoba hadi mwisho wa msimu , baada ya kutimua kocha wao kutokana na matokeo yasiyoridhisha . Kila la heri Big Sam
5 Reactions
9 Replies
532 Views
Ukistaajabu ya Musa basi utayaona ya firauni... Kuna timu mojawapo hapa nchini Huwa inaanza msimu Kwa mikwara mingi sana ila mwishoni mwa msimu huwa inaangukia pua vibaya...
18 Reactions
27 Replies
2K Views
Mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Tanzania Young Africans Leo wanajitupa dimbani kumenyana na Singida Big Stars katika mchezo wa wa ligi ya NBC.. Ikumbukwe katika mchezo wa awali Yanga...
2 Reactions
143 Replies
11K Views
Napoli sealed their first Serie A title in 33 years as Victor Osimhen's strike earned a 1-1 draw against Udinese. Having missed the chance to win the title in front of their own fans on Sunday...
0 Reactions
1 Replies
392 Views
Mechi ni saa 1 usiku Kuna mabadiliko makubwa kwenye kikosi cha leo na kile cha mwisho kilichocheza kule Morroco Pamoja na hoja ya kuwapumzisha wachezaji lakini mtu kama Moses Phiri kukosekana...
6 Reactions
310 Replies
20K Views
Kizingiti kingine kwa Arsenal ni leo dhidi ya Liver. Mechi hii kwa namna yoyote itamlazimu Arsenal kushinda nje na hapo nafasi kwake itazidi kuwa finyu. Ktk makaratasi game zilizobaki City anao...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Ni kama laana sijui Hajafunga toka muda ule Anaruka ruka uwanjani Anabaki na kipa anakosa
13 Reactions
94 Replies
6K Views
Kilabu ya mpira wa miguu yenye makazi yake Msimbazi jijini Dar es salaam imepambana hatimaye kushindwa kutwaa alama tatu ugenini katika dimba la Majaliwa, Dhidi ya Club ya Namungo, Yenye makazi...
8 Reactions
19 Replies
2K Views
Yanga na man city, ndo timu pekee zenye vikosi vipana zaidi kwa sasa duniani. timu hizi zenye makocha bora zaidi duniani, zina nafasi kubwa sana ya kubeba treble msimu huu, kutokana na parfomance...
2 Reactions
2 Replies
506 Views
Simba msije mkajaribu tena kuiga kunya kwa tembo mtapasuka msamba, Ni ngumu kwa kikosi cha simba kukifanyia rotation kwa baadhi ya mechi vinginevyo inakuwa inatafutwa lawama tu, Timu pekee yenye...
12 Reactions
15 Replies
1K Views
Jedwali hilo la chini linaonyesha wafungaji bora wa kombe la klabu bingwa Afrika mwaka 1974, Abdallah Kibadeni wa Simba SC alikuwa miongone mwa wafungaji bora. Na ndiye alikuwa mchezaji pekee...
7 Reactions
32 Replies
1K Views
Habari zenu.. Daah nasikitika sana,simba ikifanya vibaya analaumiwa mgunda,simba ikifanya vinzuri anasifiwa robertinho.. Simba wenyewe mlimfuata wenyewe mgunda kumuomba awe kocha wenu wa...
1 Reactions
5 Replies
420 Views
" Prof Nabi anngepewa mechi Ile ya Simba vs wydadi basi Ile mechi isingefika hata kwenye matuta, ingeishia dk ya 90 wydadi kafungwa Tena goli sio chini ya Moja" farasi wa vita (2023) Sababu...
5 Reactions
78 Replies
3K Views
Swali mashindano yakibadilika jina rekodi huwa zinafutwa? Na rekodi zinafutwa kwa Simba tu Ila kwa Al Ahly na wengine huwa hazifutwi?
4 Reactions
29 Replies
5K Views
Wakuu, Hivi ile Channel iliyozinduliwa kwa mbwembwe zote na bashasha Yanga TV Channel imeangukia pua? Tujuzeni maana hadi Mpenja ana studio sasa Uto hawasomeki! Ila hizi timu za Kariakoo...
1 Reactions
8 Replies
707 Views
Ukweli ni kuwa arsenal anaongoza ligi kwa bahati bahati hivi ngekewa ngekewa hivi utani utani hivi. Arsenal amecheza mechi ngumu moja tu ya manchester united hawa ndio walimpa challenge. Kwahiyo...
2 Reactions
86 Replies
5K Views
Wydad imeshuka kiwango, hasa baada ya kuondokewa na wachezaji wake muhimu wa msimu uliopita. Simba wangeweza kufika nusu final kwa kupitia Wydad msimu huu kama sio ujinga wa bench la ufundi...
17 Reactions
78 Replies
6K Views
Wanathiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimbaaaaaaa[emoji350][emoji350] Hayawi hayawi Sasa yamekuwa, Ile siku iliyosubiliwa Kwa hamu na waarabu wote hatimaye imefika.. Ni siku ya hukumu kwa mnyama Simba Ni...
23 Reactions
2K Replies
101K Views
Kuanzia kikosi alochopanga kocha hadi uchezaji na hatimae draw ni dhahiri Simba walikuwa wameshakata tamaa ya ubingwa mwaka huu 2023. Hili ni kosa kubwa sn wamefanya. Hata mwaka jana walikata...
1 Reactions
8 Replies
917 Views
Back
Top Bottom