Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Niwaambie tu ukweli Mashabiki wote wa Utopolo, ukiachana na mambo yetu ya utani wa jadi ila ukweli ni kwamba leo hamtoboi! Kwa mazingira yoyote yale sioni Utopolo wakipata matokeo ya ushindi...
1 Reactions
75 Replies
4K Views
Jamii ya wapenda soka nchini ingali katika majonzi kufuatia kifo cha Mchezaji wa Mtibwa Sugar Iddy Mobby ambaye alifariki akiwa kwenye matibabu kwenye hospital ya Mkapa iliyopo mkoani Dodoma...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Kila nikijaribu kupiga hesabu zinakataa. Wenye kujua mtuambie inawezekana vipi Simba ikatinga hatua inafuata huko Cafcl? Maana nawaona wakimaliza nafasi waliyopo(3) hivyo wao pamoja na vibonde...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Ukiangalia ubora walionao Yanga basi utakubaliana namimi kuwa leo Hawa Real Bamako watakula goli kuanzia 4 na kuendelea. Yanga ndio inaenda kuleta furaha kwa watanzania baada ya wale vilaza wa...
3 Reactions
15 Replies
727 Views
Wananzengo na wadau wote wa Mpira ni upi utabiri wenu kwa hizi timu zetu mbili pendwa? Karibuni Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Ubahili wa Mwamedi Ndio chanzo Cha yote haya. Halafu MASHABIKI mbumbumbu wanamtupia KOCHA LAWAMA. Simba Ina wachezaji WATANO TU. Inonga, Chama, Saido, Manula, Kapombe na Shabalala . WACHEZAJI...
10 Reactions
51 Replies
2K Views
Naaam, huku makolo fc wakiendelea kurusha maneno na kuhangaika na feisal nakusahau kabisa tar 26 Wana mchezo muhimu Sana Tena wakicheza yope mbele ya KMC lazima watalala yooooo. Ikitokea makolo...
10 Reactions
16 Replies
1K Views
Ni kweli, real Bamako (isomeke Bamakoooo) wanashika nafasi ya mwisho, ni wachanga kwenye michuano hii(kama yanga tu) ila nimewaangalia facial expressions yao tangu wanatua terminal III hadi...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Ni kweli tumeshinda, lakini kwa kuangalia performance ya timu, ni dhahiri kwamba tumeshinda lakini tunaogopa. Bado tuna kazi kubwa ya kujenga timu ya ushindani hasa kimataifa.
10 Reactions
56 Replies
3K Views
Siku hizi sio mpenzi sana wa soka Tanzania. Niliwafahamu kwa kusikiliza RTD, kusoma magazeti ya Uhuru/Mzalendo, na Mfanyakazi la mwandishi James Nhende aliyepigwa na Zamoyoni Mogella kwa madai ya...
23 Reactions
72 Replies
3K Views
Nimejaribu kuvaa viatu vya Feisal kwamba ningekuwa ndo Mimi yeye ningeitisha press conference nikaonba msamaha nikarudi yanga Ila Sasa ambacho ningewafanyia wangeniruhusu niondoke bure wao...
4 Reactions
13 Replies
875 Views
Hivi simba nayo ipo kwenye michuano ambayo mamelod sundown, Zamaleki, Es Tunis, Wydad Ac wapo?
0 Reactions
8 Replies
502 Views
Uzi huu ni Kwa wale wapenzi na mashabik wai vigogo kutoka Uganda hapa nazungumzia Vipers Sports Club. Klabu hii yenye maskani yake jijin Kampala ndio mabingwa wa ligi ya Uganda. Siku ya jumaosi...
18 Reactions
138 Replies
5K Views
Wakuu, Hongereni saaaana tumeshinda! Ila nina ushauri mdogo kwa viongozi wa Simba. Kiufundi Simba haichezi vizuri na imejaa makosa mengi sana kiulinzi na hata inaposhambulia. Ushauri muhimu...
12 Reactions
14 Replies
1K Views
Mliki frustrate wenyewe mapema sana. Mara hamtaki kuingia vyumbani mara sijui nini. Sisi wengine tuliwaeleza nyie mkatulie mcheze mpira Simba wanafungika. Tukawaambia mkawakabe watu flani...
5 Reactions
39 Replies
3K Views
Naona watu wanalalamika kuwa simba jana pamoja na kushinda lakini wamesheza mchezo mbovu, lakini maoni yangu ni tofauti kabisa kwa sababu tangu yashindano ya ligi ya mabigwa ianze jana ndo kidogo...
8 Reactions
55 Replies
3K Views
Haya sasa serikali ichangamkie hiyo fursa ya kujitangaza kimataifa kupitia bongo zozo USSR === Alichoandikiwa Bongozozo kutoka liverpool na ambacho amekiweka kwenye account yake ya Facebook...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jaman tuambiane ukweli, tunapoikosoa timu yetu tusionekana wabaya ama tuna chuki, tunatumia haki yetu ya kikatiba kutoa maoni. Timu yetu Leo imeshinda bao 1 0 dhidi ya Vipers, sasa hivi...
2 Reactions
44 Replies
2K Views
Sishangai kabisa vipers kucheza mechi 4 bila kufunga goli lolote kwakweli ni shida kubwa sana liko kwenye eneo la mwisho la vipers, kuanzia beki, na viungo wako vizuri sana lakini ushambuliaji ni...
0 Reactions
1 Replies
546 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…