Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mtendaji Mkuu wa Ligi Kuu ya Hispania ‘LaLiga’, Javier Tebas amesema kuwa klabu hiyo haitakiwi kufanya usajili katika dirisha kubwa mwishoni mwa msimu huu hadi watakapofanikisha kuingiza Pauni...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuelekea mechi ya leo kati ya Yanga SC na Tanzania Prisons.. Msemaji wa Tanzania Prisons anena haya wakati akihojiwa na kituo kimoja cha redio:- Mtangazaji: Kuelekea mechi ya leo, je katika timu...
0 Reactions
10 Replies
940 Views
Baada ya Fatma kutoka kwenye kikao cha review ya hukumu ya mchezaji Feisal Salum dhidi ya Waajiri wake Klabu ya Yanga, Wakili Fatuma Karume maarufu kama 'Shangazi' aliyekuwa upande wa Fei Toto...
1 Reactions
46 Replies
3K Views
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa klabu bingwa Afrika kati ya Simba Vs Vipers SC ya Uganda mchezo utakaochezwa...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Wamekuwa wakitoa ahadi za hadi 30M iwapo Prisons itaifunga Simba. Bado nasubiri ahadi ya dau nono iwapo Tanzania Prisons wataifunga Yanga leo katika ASFC Uzi
0 Reactions
5 Replies
590 Views
Naam, Baada ya hukumu ya awali iliyotolewa na kakamati ya TFF, Fei akiongozwa na genge lake walisema wataomba revie na ikibidi watajiandaa na kuchukua hatua ya kwenda CAS. Niltegemea utekelezaji...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwema wakuu, Nimekaa nikawaza, TZS 5mil kwa kila goli naona kama ni hela ndogo sana. Kwa Serikali kama ya Mama Samia zile ni hela ndogo sana. Pengine hata zingefaa kua ni hela kwa kila mchezaji...
1 Reactions
7 Replies
664 Views
Moja kwa moja kweye maudhui: Mwenyekiti wa zamani wa Simba Ismail Aden amemuonya mchezaji Feisal Salum Fei Toto akikata rufaa Mahakama ya usuluhishi ya FIFA (CAS) atakuwa anapoteza muda tu...
9 Reactions
40 Replies
3K Views
Hilo ninauhakika. Hawana jeuri ya kusema kuwa feitoto alitakiwa afanye Nini kisheria. Nasisitiza hakuna hoja za kisheria zinazombana
2 Reactions
16 Replies
839 Views
Wakuu hii review ya Fei imekaa kimkakati kuwatoa watu kwenye tension ya yule ndugu yao kutoka Zanzibar ambaye anaendelea kutrend kwenye social network.
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Vp hapo wandewa Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
1 Reactions
5 Replies
371 Views
Kijana amevurugwa kichwa, wenye hela wamemvuruga moyo, pepo la fedha nyingi za ghafla likamrukia shingoni. Hapo alipofikia Sasa hahitaji msaada wa wanasheria bali wanamaombi ili kumtoa pepo la...
8 Reactions
14 Replies
785 Views
Messi amenunua simu 35 aina ya iPhone14 za dhahabu na kuwazawadia kikosi cha Timu yake ya Taifa ya Argentina kwa kutwaa Ubingwa wa FIFAWorldCup2022 Inaelezwa kuwa Nyota huyo wa PSG ametumia...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Morrison aliposhinda kesi yake ya kimkataba dhidi ya Yanga, mzigo wa lawama uliwaangukia viongozi, hakuna rangi waliacha kuona, hata busara na maridhiano hamkutaka vifanyike. Binadamu hao hao leo...
3 Reactions
1 Replies
338 Views
ANAYEMTAKA AJE MEZANI🤣🤣. Simba sc walikusudia wawe mabingwa msimu huu kwa hali na mali. Wakaona Yanga inatembea tu. Simba SC wakafanya kikao kukaribia mechi ya YANGA na Azam. Kwa kumtumia Mtu wa...
26 Reactions
55 Replies
4K Views
Juzi kabla ya marejeo(Review) ya kesi ya Fei Toto dhidi ya Young Africans kuna baadhi ya wachambuzi nzala walimhoji kwa makusudi Mama yake Fei Toto ili kuishinikiza kamati ya TFF inayohusika na...
1 Reactions
2 Replies
443 Views
Endeleeni kuchonga lkn mawakili wa Feitoto sasa wanahamishia nguvu CAS, huko hakuna wa kuhonga, huko ni hoja juu ya hoja.Huko wewe unawasilisha hoja na mm nawasilisha. Ninaamini baada ya uamuzi...
1 Reactions
18 Replies
959 Views
Baada ya maamuzi ya mapitio (review) ya shauri la tafsiri ya mkataba haina ya Yanga na Feisal kutoka, baadhi ya watu wanaonekana kusema kuwa haki haijatendeka. Swali langu: Haki ina upande? Je...
4 Reactions
19 Replies
647 Views
Hapa kavalishwa Jacket la Suit ya Mwakalebela. Zito limemvaa. Anajitahidi kusimama wima. Unamwona tu kachoka. Huyu dogo ameteswa sana. na miwani ya welding anasema hapo alikuwa hata haoni vizuri...
17 Reactions
45 Replies
4K Views
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imetumia muda wa saa mbili kumaliza kupitia upya shauri la mchezaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Klabu ya Yanga...
7 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom