Chonde chonde wanasimba siku ya uchaguzi mtaletewa pilao na ukoo wa mo
Nawaomba msile hicho chakula ogopa chakula cha aina hiyo kutoka kwa dini ya Shia mtapitisha ajenda bila kujielewa
Baada ya yanga kupewa jina la wala mihogo mimi nilitabiri kuwa jina hili litakuwa na bahati yake kwenye mashindano haya
Na leo nimekuja kusema kuwa yanga ndo atakuwa bingwa wa shirikisho najua...
Inaonekana Pep Gudiola amekinai ubingwa wa Epl kwasababu amechukua mara nne ndani ya miaka mitano
Pep kinachombakisha Manchester city ni aibu ya kuondoka bila kuchukua kombe la Uefa
Amebaki...
Wajuvi wa siasa na harakati za nje ya uwanja inapokuja mechi ya Simba na Yanga embu tuelimishane.
Wote tunakumbuka Clautus Chama alipotolewa katika mechi na Mbeya City alikwenda moja kwa moja...
LEO tukiwa tunaadhimisha miaka 37 ya kuzaliwa kwa Ronaldinho Gaucho, mmoja kati ya Wanasoka mahiri kuwahi kutokea katika uso wa Dunia.
Wengi wanaamini bado hakuna mchezaji aliyefanikiwa kuziba...
Kazi iendelee.
Kuna hali Fulani ya kushuka kwa soka bongo inaonekana hasa katika kipindi hiki ambacho Alhaaji Bingwa gwiji Haji Manara kufungiwa kujihusisha na soka.
Mimi sio mfuatiliaji sana wa...
Kuendelea kubaki na pesa uliyonayo ni muhimu kama vile kutafuta nyingine..., na wikiendi hii ya FA CUP ninawashauri wadau wakae likizo..., Sababu historically FA Cup huwa ina Upsets nyingi sana...
1. Hivi Simba SC haijawahi Kufungwa Chama akiwemo?
2. Hivi Simba SC haijawahi kutoka Sare Chama akiwemo?
3. Hivi Simba SC ilipofika hatua ya Robo Fainali ya CAFCL mwaka Chama alikuwepo?
Na...
IMANI KAJULA NDIYE CEO WETU MPYA
uongozi wa Klabu umefikia makubaliano ya kumuajiri Ndugu Imani Kajula kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) kwa mkataba wa miezi sita✍️
Kajula anachukua nafasi...
Acha niandike kimipasho. Yaani ronaldo analipwa pesa nyingi na kashindwa kuipa ushindi timu yake jana...wakafungwa 3-1 na Al Ittihad wakiwa nusu fainali ya Saudi Super Cup. Huyu sio mbuzi wangu...
Lebron James and Giannis Antetokounmpo will be captains in the 2023 NBA all star game
Eastern conference starters
.Giannis Antetokounmpo (Milwaukee bucks)
.Kevin Durant (Brooklyn nets)
.Jayson...
Hii ni taarifa aliyoitoa yeye mwenyewe kwa Waandishi wa Habari, kwamba anatishiwa kuondolewa uhai wake kwa kuomba Uongozi wa Simba.
Sasa tunajiuliza hapa Simba pana nini hadi watu waanze kutaka...
Tupo vizuri,maboresho tuliofanya dirisha dogo hili yamelipa vizuri.
Sasa shida tuliyonayo ni washambuliaji wa pembeni,ni wazi wamekua wakipoteza nafasi nyingi..
Kocha Nabi style ya sasa ya...
Na Mimi GENTAMYCINE nasema kama kuna mwana Yanga SC hapa mwenye Picha za Gael Bigirimana akiupiga mwingi Ligi Kuu ya Uingereza tena akiwa Timu ya Newcastle United FC kama tulivyoaminishwa...
Hapa tanzania hakuna uchaguzi bali kuna kuchagua hakuna sehemu yoyote unayoweza kupinga.
Kulalamika kwenu vijiweni nyie utoporo kuwa tumepanga sio uchaguzi CEO. mbona nyie la kwenu mlipanga na...
Ndugu na kiongozi wetu,
Kipindi chote cha utawala wako hukuwa tofauti na wajumbe wengine wa bodi. Umeshindwa kabisa kuonekana ni mwakilishi wa wanachama.
Matawi ya Simba hamasa imekufa na...
Salaam!
Kumbe ndio maana kila siku wanahangaika kumuandikia barua za kubembeleza ili arudi utopolo, pamoja na kushirikiana na wale wanasiasa wanaoongoza mpira wetu pale viwanja vya Karume.
Sasa...
Oi oi oi,
Wakuu leo nataka kufahamu kwanini Ulaya wanacheza mpira mzuri sana? Naangalia memchinya ARS na MUN, wanacheza vizuri sana bila kuvunja sheria za mpira.
Kulikoni huku kwetu watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.