Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Huu ni uzi maalum wa kutaja wachezaji wa zamani ambao hukuwahi kuwaona wakicheza. Ukishawataja subiria wakongwe waliomuona akicheza waje wakuoe sifa zake. Mimi sijawahi kumuona George Magere...
2 Reactions
54 Replies
2K Views
Kocha mpya wa Simba ni lazima aendane na falsafa ya timu asitake kutuletea falsafa zake zisizo eleweka hapa. Inajulikana siku zote kuwa Simba falsafa yake ni kuanzisha mashambulizi kwa kutumia...
5 Reactions
52 Replies
2K Views
Okrah ndiyo kwa 99% alisababisha Mzungu Wetu Dejan asiwe na Furaha ndani ya Simba SC mpaka Kukereka na kufikia Kuchukua yale Maamuzi aliyoyachukua ya Kuondoka. Okrah huyu huyu ndiyo alikuwa...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Huu ni muujiza naweza kusema hivyo Mdogo wangu ana miaka 36,alianza darasa la kwanza na Ibrahim Ajib Ilikuwakuwaje ,na inawezekanaje Ajib awe na miaka 26 Classnate wa primary kupishana miaka kumi????
22 Reactions
85 Replies
6K Views
Ukiyastaajabu ya bwana Musa utayaona ya Firauni. Kutokana na ligi kukosa wadhamini mchezaji Musonda amejitwalia trei tano za mayai mabichi baada ya kuibuka mfungaji bora wa mwezi. Afrika ina...
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Akpan na okwa wamegoma kuondoka, hivyo hakuna nafasi ya kuongeza mchezaji wa kigeni Akpan aliambiwa arudi kwenye timu yake ya zamani kwa mkopo, amegoma nakusema anabaki kupambania namba la sivyo...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Winga Mghana Okrah haonekani dimbani, sijamuona Dubai akiwa benchi wala mchezo wa Leo na Mbeya City ambao tumenusurika. Hivi hizi tetesi kuwa hana furaha kuchezea Simba na ameomba arudi kwao ni...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna utofauti mkubwa wa kuchambua ,kutumika kupenyeza ajenda za sehemu Fulani au timu fulani,kutumika muamvuli wa uchambuzi ku attack watu fulani na mwengine yanayoweza kufanana na hayo na...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Niliwahi kusema hapa kuwa huyu mhindi ni mpuuzi sana. Kwa uamuzi wa kuleta kocha mzungu sasa hivi ni kuhujumu timu. Sikubaliani kabisa na kumtoa Chama mapema hivi. Mashabiki mlioko uwanjani...
4 Reactions
51 Replies
3K Views
Muda utaongea. Tuvute subira Unamtoaje Chama kisa anaingia Sakho? Kweli? Tuachieni Mgunda wetu
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Kila kocha uwa anao mfumo wake na aina ya wachezaji anaowataka kwenye mfumo husika, kitendo cha kumtoa chama kocha ameona aendani na kile anachokitaka hasa kasi kati kati ya uwanja, uyu kocha...
11 Reactions
32 Replies
2K Views
Mwanamasumbwi aliyewahi kuzichapa na Mandoga na kuibuka na ushindi mzito SHABANI Kaoneka amerekodiwa akiwa Katika mahojiano na clouds TV ambapo amesema Kuna siku alikuwa kachoka Hana hata dinali...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Kama kumbe kigezo cha kusajili Mchezaji siku hizi ni kwanza ajue kupiga kanzu, nawaombeni mje mnisajili na mimi GENTAMYCINE kwani pamoja na huu uzee (ukongwe) wangu wa miaka 60 sasa huku mitaani...
27 Reactions
117 Replies
7K Views
Wakuu, Baada ya kuangalia game ya Kongo DRC vs Uganda imenipa tafakari kubwa sana. Ilikuwa game ya viwango ambayo hata kama Taifa Stars tungeingia na akina Samatta ingekuwa aibu. Kwanini pamoja...
1 Reactions
11 Replies
508 Views
Kumbuka pambano la Mandonga halikuwa pambano kuu, lilikuwa ni pambano la ufunguzi tu hivyo pesa aliyopewa inaweza isifikie hata iliyotajwa/ Pambano lilijaza nyomi ya wakenya zaidi ya elfu 6...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
"Ligi ilikuwa ngumu kwa sababu ilipaswa tushuke na ikiwezekana tupotee kabisa Duniani, Viongozi wa Bodi ya Ligi walikuwa wanahitaji sana hela hata tulivyokuwa ligi kuu nasikitika kuongea haya...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Pamoja na sajili nzuri mlizofanya (uzuri utakamilika mpaka tuwaone) nilitaraji angesajiliwa beki wa kushoto pia. Nasema hivyo kwakuwa naamini Mohamed Husein ameshuka kiwango pakubwa sana...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
“Hata shabiki nae ana fursa ya kwenda Ulaya vile vile kwa biashara zake anazofanya. Kama wanadhani kwenda ulaya ni rahisi basi shughuli zao pia ziwapeleke Ulaya. Hata ulaya wanatumia mkaa pia...
0 Reactions
11 Replies
860 Views
Dogo amenifanya nicheke sana kwa hili jibu lake.
18 Reactions
54 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…