Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ibenge Yupo amejenga jina tayari, mbabe Wa mbinu. Anaogopwa! Kikubwa kinachombeba ni mbinu Ya Michuano husika. Kujua Michuano inahitaji nini kwa wakati husika? Na kuweza kutengeneza mipango ya...
1 Reactions
17 Replies
860 Views
Mechi imeanza na saizi tayari MC Algier ametangulia bao moja FT: 1-1 Msimamo wa kundi
11 Reactions
339 Replies
12K Views
Leo Mukwala alipoingia tu kule Tunisia nilimchukia sana kocha Fahdu, sikuona sababu za kumtoa Ateba ambaye aliwashika sana waarabu.Kwani ni lazima ufanye sub? Hata Mpanzu alipotoka akaingia...
4 Reactions
6 Replies
597 Views
🇳🇬🗣️ John Obi Mikel: Baba yangu alitekwa nyara wakati nilipokuwa nikiichezea Nchi yangu Nigeria katika Kombe la Dunia la Mwaka 2018 lililopigwa nchini Urusi. Tulikuwa tunakaribia kucheza dhidi...
24 Reactions
85 Replies
8K Views
BUNDI anaelekea kulia katika Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) kwa sababu Mwenyekiti wa chama hicho, Lameck Nyambaya kubananga katiba yake. Tangu achaguliwe kushika wadhifa huo kwenye...
0 Reactions
2 Replies
335 Views
Yanga iliyumba kwa hujuma tu. Hii ndio ndio Yanga na walipaswa kuwa vinara wa kundi. Tunawaombea wazidi kufanya maajabu, kazi iliyombele Yao sio ya kitoto.
12 Reactions
22 Replies
1K Views
Wahenga walisema "baraka inaweza kujificha". Siku chache zilizopita Simba ilienda Singida ikakutana na mechi ngumu ya kukamiwa. Walio nyuma ya Singida wakawaahidi wachezaji wao mapesa mengi...
14 Reactions
28 Replies
1K Views
Simba tunahitaji point 1 tu dhidi ya bravos ili tufuzu, kivipi yaani? Tukipata sare tunafikisha alama 10 bravos anabakiwa na alama zake 7, bravos kama atamfunga cs sfaxien kwenye mchezo wake wa...
16 Reactions
61 Replies
2K Views
1.Simba imecheza vizuri sana mpaka ilipokuja kuvurugwa na kocha dakika ya 76. 2. Elie Mpanzu aongezewe muda wa kucheza ni mashine ya boli. 3. Simba ni imara zaidi golini na inabebwa na mlinda...
16 Reactions
23 Replies
2K Views
Kuna watu wamekuwa wakijifanya wapenzi wa Gamondi utafikiri walikuwa wanamjua huyo Gamondi kabla ya Hersi kumleta Yanga. Yaani anajifanya kususa timu kisa tu uongozi kuachana na Gamondi na kuwatoa...
3 Reactions
10 Replies
652 Views
Presha inazidi kupata kulekea hapo kesho 19 Oktoba kwenye mchezo wa Dabi ya Kariakoo itakyowakutanisha watani wa jadi Simba SC dhidi ya Yanga SC mchezo huu utakaochezwa katika Dimba la Benjamin...
0 Reactions
1 Replies
430 Views
Yaani Tp mazembe walivyo wabovu wameshajichokea bado yanga anahangaika kumfunga mazembe tena kwa mpira wa papatu papatu ama kweli yanga bado sana yaani hamna kitu.
4 Reactions
59 Replies
2K Views
Ni mechi ambayo ilihitaji wachezaji wanaokimbia sana kiwanjani , kulikuwa na matumizi ya mipira mingi mirefu , power play kwenye nyakati nyingi : Simba walianza na plan nzuri sana dhidi ya Sfaxien...
7 Reactions
9 Replies
701 Views
Naomba tujiunge group letu pendwa la watani wa jadi Tanzania wewe ukitaka kujiunga gusa hapa tu : SIMBA VS YANGA utakuwa umeungana na wana michezo wenzako karibu sana mdau wa soka unakaribishwa...
1 Reactions
0 Replies
205 Views
i salute you kinsmen kwa jina la gusa achia twende kwao nimechunguza sana kauli ya bwana chasambi kuwa ndani ya team yake hakuna role model wake ila yanga wapo anaowakubali akiwemo max mpia sasa...
0 Reactions
5 Replies
482 Views
Kuna jambo limenishangaza jana la kitendo cha ball boys kuiba begi la golikipa wa TP Mazembe na kukimbia nalo. Kilichonishangaza zaidi ni kitendo cha Rais wa Yanga Hersi Said ambaye pia ni...
15 Reactions
53 Replies
2K Views
Habari jf, Kwa misimu miwili mfululizo timu ya Simba haijawa katika kiwango kizuri hili halipingiki. Usajili mzuri umefanyika lakini matunda bado hayaridhishi hii inawezekana ni kutokana ni...
14 Reactions
99 Replies
6K Views
Mchezo wetu (Liverpool) ugenini dhidi ya Manchester United ni mechi maalum kwa United kuliko wanapocheza dhidi ya timu nyingine, wanacheza kwa bidii zaidi ya kawaida yao, ndio maana inakuwa mechi...
1 Reactions
6 Replies
844 Views
Walitoa mpaka clip wakimong'onya na mkataba feki wa Kagoma halafu mchezaji mwenyewe walienda kumlipa kwa mafungu kama wananunua nyanya. Hivi hawa mwiko nyuma wanatuonaje sisi wapenzi wa mpira...
5 Reactions
15 Replies
793 Views
Back
Top Bottom