Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Haya sasa Ally Kamwe nakuwekea hapa Maelezo marefu ya Mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara dhidi yako ili umjue alivyo Mnafiki na Mfitini hata kwa Marafiki zake na wana Yanga SC Wenzake...
15 Reactions
33 Replies
7K Views
Nafuatilia mjadala wa kijinga unaoendelea kwamba eti kwa nini Yanga inafeli kimataifa wakati Simba inafanikiwa! Ili timu iwe imefanikiwa katika mashindano ni lazima ichukue ubingwa na si...
4 Reactions
34 Replies
3K Views
JOCHO LA TOFAUTI: UWEKEZAJI WENYE TIJA KATIKA SOKA LA TANZANIA. Uwekezaji katika Sekta ya michezo ya kubashiri Tanzania (Gaming/Betting Indutry) umekua kwa kasi sana ndani ya miaka 7. Kuna zaidi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna watu wanasema unbeaten ya kununua? Toka mwaka 2019 mechi za simba za ligi tunazinunua ? Mbona hawajashinda? Simba kwanini mnapenda Sana propaganda yaani yanga kukwama tu game moja ya...
0 Reactions
13 Replies
678 Views
Ili kuvutia ufungaji wa magoli mengi kwenye soka na kuongeza burudani, basi FIFA waanzishe utaratibu pale ambapo timu moja itafanikiwa kufunga zaidi ya magoli matatu bila basi waongezewe pointi...
1 Reactions
15 Replies
785 Views
Tukiwambia mje na daftari na pen Simba ikicheza mnaleta kiburi .... Wachezaji wanaruka ruka Kama njegere. Na lazima mpigwe faini au kufungiwa uhuni mliofanya kwa wageni pale uwanjan kabla...
2 Reactions
6 Replies
705 Views
Nimehakikishiwa kuwa Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na Msemaji wa Yanga SC Ally Kamwe nyote mnanisoma na kunifuatilia Kutwa ( 24/7 ) GENTAMYCINE hapa JamiiForums hivyo natumai mtanijibu mwana...
2 Reactions
6 Replies
741 Views
Jeff Bezos, 58, anaripotiwa kutaka timu ya Washington Commanders baada ya kufichuliwa kuwa wamiliki wake, Daniel na Tanya Snyder, walikuwa wakifikiria kuiuza. Wanandoa hao wamemiliki timu tangu...
1 Reactions
5 Replies
751 Views
Wakuu najiuliza tu. Wachungaji na mashehe mashabiki Waumini na washiriki mashabiki. Kwa ulaya EPL,Laliga,etc ila futiboli la kibongo linapromote uchawi na ndumba. Ndio maana Kuna Hadi benchi la...
1 Reactions
19 Replies
927 Views
Aslaam Aleykum wadau wa hapa JF. Acha niende direct kwenye Mada. Mimi ni mdau mkubwa sana wa michezo hasa basketball, Lakini football pia nafuatilia. Pia ni mdau mkubwa sana wa Media, Napenda...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
Sasa Tuisila Kisinda TM Master. Tayari atakuwa ameiva. Wazee waliambiwa na viongozi kumfanyia kazi kama ambavyo huwa tunawafanyia wachezaji ambao wanakuwa tayari kusaidiwa. Aziz Ki mmoja wapo na...
1 Reactions
10 Replies
984 Views
Ni akili ya kawaida tu ambayo wala mihogo mibovu kamwe hawawezi kujua, kuwa ni rahisi sana kwa adui yako kukusoma akijua uko naye karibu tena ndani ya eneo lake kuliko ukimshtukiza tu. Halafu...
3 Reactions
7 Replies
777 Views
~ Kwanza muanze kujua kuwa uwanja wao utajaa ile mbaya. ~ Pili mjue kuwa Waarabu fujo na umafia ni moja ya tunu zao. ~ Tatu aina tu ya ushangiliaji wao tayari ni ushindi tosha. Yaani...
8 Reactions
18 Replies
1K Views
Katika kufuatilia safari ya Yanga ya siku ya leo kuelekea Tunisia kwa mchezo wa marudiano, msafara huo unahusisha watu 41 huku wachezaji wakiwa 22 na waliobaki ni 'wengine'. Nimekumbuka timu zetu...
5 Reactions
12 Replies
2K Views
Unajua Wale wa Tunisia kule kwao watacheza mpira wa kushambulia saana ili kutafuta matokeo Sasa na Yanga wasicheze mpira wa kuzuia maana watakula mengi saana Ila wakicheza mpira wa kushambulia na...
2 Reactions
8 Replies
722 Views
Mbali nchi kuingia kwenye aibu 90' za uwanjani, kuna aibu nyingine nchi imeingia. Video inaonyesha jinsi mashabiki wa Yanga wakiwangia Club Africain. Maji hayo inasemekana ni maji ya maiti...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Karibu katika uzi unaohusu boxing , mubashara kupitia Azam Tv
1 Reactions
12 Replies
968 Views
Kauli #1 *Wote wanaosema kuwa nimewatukana wana Yanga SC kwa kuwaita wala mihogo wapuuzeni kwani ni waongo na sikusema hivyo." Kauli #2 "Ni kweli nilisema hiyo kauli ili kuwaonyesha wana Yanga...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Salaam!. Kama tunavyoona, waliokuwa wawakilishi wengine kwenye mashindano ya kimataifa hapa nchi wameshatolewa, na mmoja ndio anaelekea kwenda Tunisia kutolewa hiyo tarehe 9.11.2022. Kama...
10 Reactions
22 Replies
1K Views
Raisi wetu wa klabu pendwa ya kihistoria hapa nchini na Africa mashariki. Yanga ni klabu kubwa yenye historia nzuri na Pana, hata pepe kalle aliwahi kuimba kuhusu ubora wa yanga. Kuwa wa Rais wa...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…