Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Alipata watoto 7 ndani ya miaka 9, akafuga kuku ili asaidie familia kiuchumi. Akakataa kuitwa First Lady na akarudisha zawadi ya mkufu wa Almasi aliopewa na meneja wa mgodi wa Mwadui. Tena akaishi...
10 Reactions
16 Replies
584 Views
Je, Matukio gani makubwa utayakumbuka katika ulimwengu wa kimichezo kwa mwaka 2024? Kwa upande wangu, ni mengi yametokea, Ila haya nadhani yamechukua nafasi kubwa 1.Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi...
2 Reactions
4 Replies
204 Views
Umafia waungwana! Binafsi napata mashaka na wapinzani wa Yanga kama vile Fountain Gate, Dodoma n.k Timu inacheza huoni kama inataka matokeo na kuna wakati wanajipigia pass fupi fupi karibu na...
2 Reactions
18 Replies
601 Views
Rais Mstaafu wa Awamu ya 4 Dkt. Jakaya Kikwete ataongoza Bonanza kama Mgeni rasmi, Bongo Muvi ndani Mbunge wa Chalinze na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Vijana, Ajira, na Watu Wenye...
0 Reactions
0 Replies
251 Views
Kipa ambaye hakucheza mechi 16 alidakishwa mechi ya Yanga, ila mechi iliyofuata ya Mashujaa kipa namba moja akarudi kazini. Sababu za huyo kipa kutodaka mechi ya Hanga hazijulikani
3 Reactions
18 Replies
633 Views
Kocha wa makipa wa klabu ya Gita Gold, Augustino Malindi amefungiwa michezo 16 (kumi na sita) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la kumshika sehemu za siri wamuzi wa akiba...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Wakati tumeingia duru la pili la msimu wa NBC mpaka sasa sijasikia mechi zozote zikipangwa au kuchezwa za FA Cup. Ni kwamba msimu huu kombe halipo au kuna changamoto? Kama wana uhaba wa pesa au...
0 Reactions
20 Replies
576 Views
ha ha ha ametrendi jana
1 Reactions
12 Replies
600 Views
1. Yanga imecheza vizuri mno, hii ni salamu tosha kuelekea mechi yao na Tp mazembe. 2. Nadhani fountain gate ndio timu yenye safu mbovu kabisa ya ulinzi, wamechagua kupishana na Yanga...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwenye mechi ya Dodoma dhidi ya Yanga alidakishwa kipa ambaye hajacheza mechi 16 bila sababu. Ila mechi ya Mashujaa akarejea kipa namba moja
2 Reactions
3 Replies
365 Views
JAMES MILNER: "Wakati Messi alinipiga chenga, nilisikia umati ukipiga kelele, kana kwamba walikuwa wameona bao. Wakati mechi imemalizika, nilimsalimu na nikamwambia, 'Sasa utanifanya kuwa gumzo...
0 Reactions
4 Replies
311 Views
Anonymous (7f90)
Mhe. Waziri; Tafadhali rejea mada tajwa hapo juu, Kwa heshima na taadhima kubwa ninaomba kukuandikia nakuleta mbele yako maoni yangu binafsi na taarifa juu ya baadhiya masuala yanayojiri katika...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Tanzania, kama ilivyo kwa maeneo mengine ya Afrika na duniani, tunapenda sana mpira wa miguu. Mchezo huu umekuwa sehemu muhimu ya utamaduni wetu, ukijumuisha shangwe, mazungumzo na matumaini ya...
3 Reactions
4 Replies
276 Views
Yanga ilifungwa na Azam lakini wanaYanga wanaona poa tu. Kufungwa huku sio udhaifu bali ni mwanzo wa wachezaji na walimu kuongeza umakini na juhudi kwenye mechi. Bila ya hivyo kiburi na...
4 Reactions
37 Replies
1K Views
Wakuu Chama ni mmoja wa viungo washambuliaji hatari wanaotajwa kuwahi kutokea katika historia ya ligi yetu. Huyu mwamba amepotekea wapi? Kipaji chake kilifanya wafau wa michezo na mashabiki wa...
0 Reactions
9 Replies
561 Views
Hadi sasa hivi "SIMBA" ndio timu pekee iliyompiga mtu 5g sio uto wala matawi yake. Mechi ya 14 hii uto wanajaribu kuivunja rekodi ya simba wanashindwa wanaishia kujinyea tu uwanjani. Wameshinda...
6 Reactions
50 Replies
1K Views
Kuna kipa wa Dodoma Jiji hakuwahi kucheza mechi 13 lakini akadakishwa mechi ya Uto. Ila mechi iliyofuata ya Mashujaa kipa namba 1 alirudishwa. Kwao Dodoma Jiji mechi ya Mashujaa ilikuwa muhimu...
5 Reactions
24 Replies
606 Views
Ni wachezaji muhimu na mhimili kwenye kikosi cha kwanza lakini awapo kwasababu za majeraha lakini iyo aijafanya timu itetereke bali dhana nzima ya team work inafanya kazi! Soma Pia: Full Time...
6 Reactions
34 Replies
850 Views
Kusema kuwa Gusa Achia Twende Kwao imeiva kiasi kwamba kila anayekanyaga anakula 4 au 5 sio kweli, uongo, uongo, uongo. Kitendo cha jamaa kuhamia KMC na kujifanya wanafanya mazoezi maana yake...
3 Reactions
14 Replies
542 Views
Mpira ni mchezo wa wazi, jamaa wanavyocheza na aina ya wachezaji wao kusema kuwa wanabebwa sio ukweli Iła ni propaganda zinazoletwa na watu wetu ndani ya Simba kutuandaa kisaikolojia, hii vita ya...
4 Reactions
28 Replies
844 Views
Back
Top Bottom