Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

https://www.youtube.com/watch?v=NTfMlQAdvLs Mtangazaji: Katika uchezaji wako wa mpira Chasambi, nani unamtizama kama kioo kwako" Chasambi: Namtizama kama kioo kwenye timu yangu au...
8 Reactions
54 Replies
3K Views
Bondia Hassan Mgaya amefariki dunia, siku moja baada ya kupigwa TKO katika pambano la raundi sita lililofanyika Tandale kwa Mtogole, Dar es Salaam katika ukumbi wa Dunia Ndogo, na kupoteza fahamu...
13 Reactions
87 Replies
5K Views
Historia inaonyesha Simba fc ilianzishwa mwaka 1936,ikitumia jina la queens,baadaye ikabadilika kuwa eagle,kisha Sunderland kabla ya kuitwa mnyama Simba mwaka 1971. Klabu hii ilianzishwa na...
2 Reactions
42 Replies
1K Views
ligi yetu kuna upangaji wa matokeo, Wachezaji hawakabi, wachezaji wanajifunga, Makocha hawaoneshi kuumia. kocha wa Yanga asije akajidanganya kaisuka timu, Ni Bahasha ndizo zinatengeneza...
9 Reactions
121 Replies
3K Views
Heri ya mwaka mpya wana JF. Kwa muda mrefu sasa yanga a.k.a kayoko fc wamekuwa na shida ya mawinga kwa maana ya natural wingers kumbuka pacome sio winga kiasili ni no 10. Kwanini tusifanye hii...
3 Reactions
5 Replies
351 Views
Anakugharimu ukiwa bado unatazama, anasafisha kazi chafu kwa ustadi, na yupo mbele ya muda wake. Unapojiuliza, "Hivi Kagoma yupo kweli?" yeye tayari ameshaiba mpira na kuanzisha shambulizi...
14 Reactions
29 Replies
1K Views
Simba SC VS Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024 Mechi itachezwa uwanja wa KMC Complex saa 10: 15 Jioni
14 Reactions
531 Replies
30K Views
1. Mousa Kamala(Simba) 2.Yao Kouassi Attohoula (Yanga) 3. Paschal Msindo(Azam) 4. Abdulazak Hamza(Simba) 5 Ibrahim Bacca (Yanga) 6. Nelson Munganga (Tabora United) 7. Pacome Zouzou (Yanga) 8...
10 Reactions
50 Replies
1K Views
Zikiwa zimesalia siku mbili michuano ya mapinduzi cup uanze kutumia vumbi huko Zanzibar, timu za Uganda na Burundi zimejiondoa Sasa zimesalia timu 4 tu ambazo ni Zanzibar heroes, Kilimanjaro...
11 Reactions
42 Replies
2K Views
Djuma Shabani soka la bongo limeshamkataa! Maana tangu atoke Yanga SC amekuwa wa kuhangaika tu. Ameenda huko Namungo kacheza mechi chache sana tena si kwa hule uzoefu wake so naona time yake...
0 Reactions
3 Replies
352 Views
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
29 Reactions
817 Replies
59K Views
Leo nikiwa matembezi yangu Kariakoo kujitafuta, nimeona jezi za Yanga na Simba za msimu huu Mpya zikiuzwa elfu 3 ,elfu 5 na Elfu 7 zimemwagwa chini machinga tena karibu na jengo la Simba mtaa wa...
4 Reactions
40 Replies
1K Views
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limethibitisha kuwa klabu ya Yanga imekamilisha taratibu zote za kumtumia Abdihamid Moallin kama kocha msaidizi namba mbili wa kikosi chao ambapo...
1 Reactions
7 Replies
577 Views
Simba watamsajili djuma Shabani kama mbadala wa kapombe Baada ya kuachana na klabu ya Yanga msimu uliopita Na kutua Azam FC, beki wa kulia raia wa Congo DR Djuma Shabani anategemea kujiunga na...
10 Reactions
44 Replies
5K Views
Huyu Manara anatufunga kamba 😂 Eti anasema anaamini asipovaa jezi wanafungwa na ile mechi ya Tabora hakuvaa wakala Tatu na ndio kisa cha kuhama pale Azam Complex Pia, Soma: Full Time: Yanga SC...
3 Reactions
20 Replies
764 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema Tanzania imejipanga kutumia balozi zake zote zilizopo katika mataifa mbalimbali duniani, ili...
0 Reactions
0 Replies
191 Views
Marefa wawili wa Tanzania, Frank Komba na Ahmed Arajiga, wamechaguliwa miongoni mwa marefa 65 watakaosimamia mechi za Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) 2025...
0 Reactions
2 Replies
359 Views
Nimeshaona dalili hawa Yanga mwaka huu watakuwa na tantalila nyingi. Embu ona mifano michache ya timu kubwa na hata zile ndogo zilivyosherehekea mwaka mpya. Wenzetu wakaamua kutuangushia...
2 Reactions
8 Replies
501 Views
Klabu ya Simba SC imefanikiwa kumuingiza winga wake mpya, Elie Mpanzu, kwenye mfumo wa usajili wa CAF, hatua inayomruhusu kuichezea timu hiyo katika mechi za Kombe la Shirikisho (CAF Confederation...
0 Reactions
4 Replies
470 Views
Joshua Mutale ni moja ya mawinga hatari sana hapa Africa, ni kiungo wa pembeni sio wa kawaida, ana uwezo wa kupiga chenga, anao uwezo wa kufunga mabao katika mazingira yoyote, anaweza kucheza pia...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom